Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Hiyo "Serikali" yako haina, narudia, HAINA adhma njema. Hakuna.
...na kwa Taarifa yako, hakuna Serikali isiyokuwa na Kikomo...
Wanafikiri watakuwa na hayo mamlaka milele tutafukua hata makaburi yao na kupinga pingu mifupa yao
 
tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio kuiletea nchi maendeleo bali ni ulaji na kutafuta ukwasi
 
tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio kuiletea nchi maendeleo bali ni ulaji na kutafuta ukwasi
Nchi ngumu sana
 
Mapenzi na Chama chako ndo yanayokuponza. HUPASWI KULAUMIWA

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Usinijaze ubongo wako Tafadhali.
Kwanza, Hakuna wakuniponza, nabeba msalaba wangu mwenyewe.

Pili, Hakuna anaenilaumu. na hivyo basi Usinitwike lawama zako, hazishikiki.

Chama changu ndicho chenye hatamu, penda usipende. Au ukatae haibadilishi uchungu, haibadilishi mimi kusimamia haki kwa Wananchi wa Nchi yangu. Haibadilishi mimi kusemea ninachoona kuwa ni fedheha kwa Jamii.

Utulie.
 
Wajidanganye kunyanyua miguu kutoka Masai land kwenda handen ndio wataisoma namba vizur
Tanzania ni nchi yetu wote, Kila raia anaruhusiwa kuishi atakapo pia sheria inaruhusu rais kubadili matumiz ya ardhi kwa manufaa ya umma na serikali imejipanga vizur katika hili tuishukuru kwa kuwa na mkakati mzuri wa kuilinda ngorongoro kwa ajili yetu na vizazi vyetu
 
tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio kuiletea nchi maendeleo bali ni ulaji na kutafuta ukwasi
Mama Samia anaupiga mwingi wawekezaji NI mhim kwa uchumi wetu
 
Usinijaze ubongo wako Tafadhali.
Kwanza, Hakuna wakuniponza, nabeba msalaba wangu mwenyewe...
Uhuru wa kuamua na kusema chochote ni matokeo ya serikali ya CCM kuwa madarakani, hata hivyo Mama Samia ameonyesha njia sahihi, kuwa upinzani haimanishi huwez kuona mazuri ya upande mwingine
 
Tanzania ni nchi yetu wote, Kila raia anaruhusiwa kuishi atakapo pia sheria inaruhusu rais kubadili matumiz ya ardhi kwa manufaa ya umma na serikali imejipanga vizur katika hili tuishukuru kwa kuwa na mkakati mzuri wa kuilinda ngorongoro kwa ajili yetu na vizazi vyetu
Mkakati wa kuvunja sheria? Mkakati wa kuvurunda sheria?
Mkakati wa kutoheshimu Katiba na mipaka ya utawala?
 
Haliwezekani watanzania wenzenu waitwao Masai waendelee kuishi Kama wanyama, tunataka wawe na huduma Bora za kijamii Kama maji shule afya n.k
Wametafutia eneo handeni.Mbona unakuwa mlalamishi sana?
 
1.Ngorongoro ni jina la wilaya

2 Ngorongoro ni jina la tarafa iliyopo ndani ya wilaya ya Ngorongoro yenye tarafa tatu

3.Ngorongoro ni jina la kreta iliyomo ndani ya tarafa ya Ngorongoro

4.Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ni eneo lote la tarafa ya Ngorongoro
Wafugaji wanaohamasishwa kuhamia Msomera ni wale wanaoishi ndani ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro(Tarafa ya Ngorongoro )na kwamba si Wafugaji wote katika eneo hilo wanatakiwa kuhama

5.Si mara ya kwanza serikali kuchukua hatua ya kupunguza idadi ya wafungaji ndani ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro (tarafa ya Ngorongoro)kwani serikali iliwahi kuwahamisha wafungaji wa jamii ya kabila la wamag'hati au Watatoga kwenda maeneo mengine nje ya hifadhi hatukusikia kelele
 
Wewe NI miongoni wa watanzania wazalendo na wenye maono ngorongoro lazima ilindwe kwa nguvu zote
Mbona hueleweki mala ngolongolo lazima ilindwe Kwa nguvu zoote mala apewe mwekezaji nyie walamba miguuu mbona mnataka kuwa wapumbavu saaan jmn

Sent from my Nokia 4.2 using JamiiForums mobile app
 
tushangae wote mkuu vurugu zote hizo eti kuna mwekezaji ndo anamilikishwa kwani huko kwenye madini,gesi na mafuta hao wawekezaji wametuletea nini cha maana kama nchi mbali na wakubwa kulamba 10% zao tena wanapewa mikataba ya ajabu kweli si chini ya miaka 33 hadi 99! kwa afrika uongozi sio kuiletea nchi maendeleo bali ni ulaji na kutafuta ukwasi
Inawezekana wawekezaji
Wakawa wanatuletea pesa
Sema tatizo,hao pesa inayowapitia
Wanaila wao

Ova
 
Baba yake Sabaya aliwahi kuwa DC wakati wa Hayati Mzee Mkapa …hakubembeleza bembeleza kama kina Samia mara sijui kujengea nyumba sijui makazi bora, yeye aliamka asubuhi na kutia kiberiti nyumba zote zilikuwa Serengeti wakati huo
na yeye wakamchomea nyumba! na pia laana inamtafuna mpaka vizazi vyake! hapa utakuwa umeelewa
 
Back
Top Bottom