Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Kweli ni jambo zuri kama wanataka kumpa ardhi mwekezaji amiliki, ila ningependeza umiliki wake uwe wa kikomo. .


Pia waarabu wametawala Zanzibar, ingependeza wangegawia ardhi au kumegewa kule zanzibar hata mji mkongwe ingeleta maana zaidi. Imagine kuwe na mbuga Zanzibar, itakuwa kivutio kikubwa sana. Hii itawafanya wapemba wawe kivutio kama walivyo wamasai kule Ngorongo. Na wazanzibari wanawapenda sana waarabu haitoleta shida, just thinking outside the box. .
 
Baba yake Sabaya aliwahi kuwa DC wakati wa Hayati Mzee Mkapa …hakubembeleza bembeleza kama kina Samia mara sijui kujengea nyumba sijui makazi bora …yeye aliamka asubuhi na kutia kiberiti nyumba zote zilikuwa Serengeti wakati huo
Huyo mzee yuko wapi siku hiz? Naona laana zinamtafuna mwanae lengai
 
Kweli ni jambo zuri kama wanataka kumpa ardhi mwekezaji amiliki, ila ningependeza umiliki wake uwe wa kikomo. .


Pia waarabu wametawala Zanzibar, ingependeza wangegawia ardhi au kumegewa kule zanzibar hata mji mkongwe ingeleta maana zaidi. Imagine kuwe na mbuga Zanzibar, itakuwa kivutio kikubwa sana. Hii itawafanya wapemba wawe kivutio kama walivyo wamasai kule Ngorongo. Na wazanzibari wanawapenda sana waarabu haitoleta shida, just thinking outside the box. .
Wawekezaji wanawekeza sehemu inayoendena na uwekezaji wao
 
Tunafanya hivi mkuu kwa maslahi ya umma wa watanzania na vizazi vyetu vijavyo tukiacha kufanya hivyo ngorongoro haitakuwepo Tena miaka michache mbele
Kwa nini usiwatoe na kuacha kama milki ya watanzania why ulete mwekezaji kwenye hifadhi ya taifa? Mmeshindwa kuingiza watalii kupitia royal tour hadi mkabidhi waarabu?
 
Huyo mzee yuko wapi siku hiz? Naona laana zinamtafuna mwanae lengai
Lengai Hana laana hizi kesi zake ni za mchongo na kisiasa mda si mrefu atakuwa uraiani Kama gaidi MBOWE ameachiwa sembuse sabaya
 
Wanao wahamasisha wamasai kufanya fujo plan yao haiwezi kufanikiwa wanajisikiaje baada ya kutuulia nguvu kazi yetu na zoezi kuweka alama likiendelea kama kawaida.Tunawashauri waache lengo la kuokoa hifadhi ya ngorongoro ni kwa nia njema kabisa ili watoto wetu na wajukuu zetu hapo baadae wanafuike na rasilimali za nchi yao.
 
Kwa nini usiwatoe na kuacha kama milki ya watanzania why ulete mwekezaji kwenye hifadhi ya taifa? Mmeshindwa kuingiza watalii kupitia royal tour hadi mkabidhi waarabu?
Royal tour imesaidia Sana watalii Wanamiminika, tunataka kuwekeza ngorongoro kisasa ili watalii wakifika tuwe na sehem nzuri ya kuwahifadhi
 
Wawekezaji wanawekeza sehemu inayoendena na uwekezaji wao
Mbali na kuwa crater
Wamasai ni kivutio kikubwa cha utalii
Especially the way they interact with animals
Living amongst animals

Kuna zoos kuna national reserve za kutengeneza kabisa na kuhamishia wanyama
Maoni yangu wangepeleka Zanzibar ingekuwa kivutio zaidi, think about it. .
 
Lengai Hana laana hizi kesi zake ni za mchongo na kisiasa mda si mrefu atakuwa uraiani Kama gaidi MBOWE ameachiwa sembuse sabaya
Awe uraiani au kokote laana imesha mwandama. Ni criminal
 
Wanao wahamasisha wamasai kufanya fujo plan yao haiwezi kufanikiwa wanajisikiaje baada ya kutuulia nguvu kazi yetu na zoezi kuweka alama likiendelea kama kawaida.Tunawashauri waache lengo la kuokoa hifadhi ya ngorongoro ni kwa nia njema kabisa ili watoto wetu na wajukuu zetu hapo baadae wanafuike na rasilimali za nchi yao.
Wewe NI miongoni wa watanzania wazalendo na wenye maono ngorongoro lazima ilindwe kwa nguvu zote
 
Mbali na kuwa crater
Wamasai ni kivutio kikubwa cha utalii
Especially the way they interact with animals
Living amongst animals

Kuna zoos kuna national reserve za kutengeneza kabisa na kuhamishia wanyama
Maoni yangu wangepeleka Zanzibar ingekuwa kivutio zaidi, think about it. .
Wawekezaji hawajachagua zanzibar
 
Royal tour imesaidia Sana watalii Wanamiminika, tunataka kuwekeza ngorongoro kisasa ili watalii wakifika tuwe na sehem nzuri ya kuwahifadhi
Sa hivi hakuna sehemu ya kuwahifadhi? Mnawaondoa wazawa ili muwape wageni wawinde wanyama tu. Waondoe halafu livalie mwenyewe km serikali.
 
Wawekezaji hawajachagua zanzibar
Wanajua ni kwao na rais hawawez kuondoa wazanzibar, wamasai wanatimliwa ili waarabu waje kupiga mema ya nchi isiyokuwa ya kwao.
 
KiLa kaya Moja imepewa nyumba serekali haiwezi kutoa nyumba mpaka kwa watoto
Mbona hili la wamasai wengi ni member wapya? Mmetumwa kuja kutetea waarabu kula mema ya taifa hili?
 
Mi hii serikali ningeiunga mkono kama kusingekuwa na hira za kuingiza waarabu. Kuilinda ngorongoro ni must ila kukiwa hakuna hira mbaya ya ujanjaujanja wa ccm na wizi wao
 
Wanajua ni kwao na rais hawawez kuondoa wazanzibar, wamasai wanatimliwa ili waarabu waje kupiga mema ya nchi isiyokuwa ya kwao.
Rais wetu ni mtanzania hi habar ya uzanzibar wewe unaitoa wapi
 
Mbona hili la wamasai wengi ni member wapya? Mmetumwa kuja kutetea waarabu kula mema ya taifa hili?
Memba mpya au wa zamani si hoja iliyopo mezani mkuu, wamasai NI vyema mkaondoka kwa hiari
 
Mi hii serikali ningeiunga mkono kama kusingekuwa na hira za kuingiza waarabu. Kuilinda ngorongoro ni must ila kukiwa hakuna hira mbaya ya ujanjaujanja wa ccm na wizi wao
Hakuna hila kwenye Jambo hili mkuu serikali Ina Nia njema kabisa
 
Back
Top Bottom