King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hata leo habembelezwi mtu, watahama tu serikali ikamilishe adhima yake njema
Dhamira njema ya kumpa muarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata leo habembelezwi mtu, watahama tu serikali ikamilishe adhima yake njema
Mipango mizuri ipi??? Elimu ipi unatoa ww?? Unaonekana mchumia tumbo tu wewe....Tunaendelea kuwaelimisha mpaka waelewe hawana hati miliki ya ngorongoro serikali ndio yenye mamlaka ya kubadili matumiz ya ardhi na kulinda rasilimali zetu Sasa Hawa wamasai wataka kukwamisha juhudi za serikali na mipango mizuri
Elimu ni pamoja na kukubali kujifunza upya ulichofundishwa mwanzo......Sio ufugaji wa kujaza mifugo mingi katika eneo dogo
Ni kweli na wao wanaishi katika umaskini uliokithiri pale mbugani.Hakuna zahanati wala shule na wao hawaruhuhusiwi kujenga chochoteTunaendelea kuwaelimisha mpaka waelewe hawana hati miliki ya ngorongoro serikali ndio yenye mamlaka ya kubadili matumiz ya ardhi na kulinda rasilimali zetu Sasa Hawa wamasai wataka kukwamisha juhudi za serikali na mipango mizuri
Mimi nakuunga mkonoWalitaka kuibadilisha hati kutoka Hifadhi mpaka kuwa makazi ya watu
Wamasai wale wa zamani sawa ila sasa wamekuja watu kuwekeza Ng’ombe kwao na kujenga nyumba za kudumu
Hilo hata mimi napinga kadri wanavyoongezeka ndivyo wadudu, ndege, na hata baadhi ya wanyama wanapotea kabisa katika ardhi hiyo
Wengi wasiopenda natures watapinga vikali
Wewe ni mmasai wa wapi?Mipango mizuri ipi??? Elimu ipi unatoa ww?? Unaonekana mchumia tumbo tu wewe....
Una uhakika huko wanakohamishiwa kimabavu na serikali kuna hizo huduma unazosema? Au unakubali kila unachoambiwa? Waziri mkuu anasema Ngorongoro hakina machafuko, kisha mkuu mkoa anajitokeza kusema polisi kauwawa?! Ukiamini waongo wa hivyo utakuwa na akili nzito sana.Watanzania wenzangu, ngorongoro NI lazima ilindwe kwa nguvu zote.
Japo wamasai hawataki kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao Kama maeneo mengine ambapo paliwahi kufanyika operation Kama hii lkn ni lazima waondoke ili Nia njema ya serikali ya kuilinda na kuhifadhi ngorongoro yafanikiwe.
Hatuwezi kuchekea kundi dogo la watanzania wenzetu kutuharibia rasilimali yetu, wametengewa maeneo mazuri kabisa kwa ajili ya shughuli zao, wamejengewa makazi na huduma Bora za kijamii Kama maji, shele na hospital zinapatikana lkn wanaigomea serikali kwa hoja za kipuuzi kabisa.
Pia Wamasai hawana ubavu wa kushindana na serikali wasidanganywe na hizi kelele za wapingaji ambao ni waoga, wanafiki na watakaa pembeni wamasai wabishi watakapoanza kushughulikiwa.
Kwa hili la Ngorongoro naiunga mkono serikali ya Mama Samia, kwamba kuongoza nchi sio kuchekeana chekeana.
Mtalamba miguuu mwisho nanyie mtalabwa nyumaa maaan Akili huna hata za kutambua wew ni jinsia gani
Sent from my Nokia 4.2 using JamiiForums mobile app
Haliwezekani watanzania wenzenu waitwao Masai waendelee kuishi Kama wanyama, tunataka wawe na huduma Bora za kijamii Kama maji shule afya n.kNi kweli na wao wanaishi katika umaskini uliokithiri pale mbugani.Hakuna zahanati wala shule na wao hawaruhuhusiwi kujenga chochote
Nakubaliana na wewe asilmia [emoji817]Walitaka kuibadilisha hati kutoka Hifadhi mpaka kuwa makazi ya watu
Wamasai wale wa zamani sawa ila sasa wamekuja watu kuwekeza Ng’ombe kwao na kujenga nyumba za kudumu
Hilo hata mimi napinga kadri wanavyoongezeka ndivyo wadudu, ndege, na hata baadhi ya wanyama wanapotea kabisa katika ardhi hiyo
Wengi wasiopenda natures watapinga vikali
Wajidanganye kunyanyua miguu kutoka Masai land kwenda handen ndio wataisoma namba vizurUna uhakika huko wanakohamishiwa kimabavu na serikali kuna hizo huduma unazosema? Au unakubali kila unachoambiwa? Waziri mkuu anasema Ngorongoro hakina machafuko, kisha mkuu mkoa anajitokeza kusema polisi kauwawa?! Ukiamini waongo wa hivyo utakuwa na akili nzito sana.
Ni hivi hao Wamasai wakikubali kuondoka huko ngorongoro kwa mabavu wataenda kuteseka ile mbaya huko handeni.
Tunafanya hivi mkuu kwa maslahi ya umma wa watanzania na vizazi vyetu vijavyo tukiacha kufanya hivyo ngorongoro haitakuwepo Tena miaka michache mbele
Kwahiyo zijengwe nyumba laki mbili?Wamasai wako zaidi ya laki 2 huko Ngorongoro sasa hizo nyumba walizojengewa Handeni ni ngapi?
Acheni propaganda!
Hiyo "Serikali" yako haina, narudia, HAINA adhma njema. Hakuna.Hata leo habembelezwi mtu, watahama tu serikali ikamilishe adhima yake njema