Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.
 
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.
Hata misri na syria zilithubutu
 
Swadaktaaaa umeuliza swali muimu sana wa wadau wenye akili kunavitu vyakujifunza apa tena sana inafikilisha sana inataka watu wajadili kiuwelevu sio kitaifa teule sijui wana wajakobo awapigiki. Shida kweli mahaba. Mm naongezea kidogo yule babu Tramp wkt ni rais alifika pale Iraq kuliko pigwa baadae na Iran wkt huo alipofika alisema namnukuu,, HII NI KAMBI BORA SANA KUWEPO NJE Y USA NI SALAMA NA MAZUBUTI SANA,, nawakumbusha iyo kambi ya Iraqi anayoisifia Tramp kwanzia Bush na wengine waliokuja mbele yake wamefika apo akiwepo na uyo Tramp iyo seem inasemekana kulikuwa na ikulu y Sadam Hussein ipo chini y ardhi kwaiyo wao wakaikarabati zaid kias viongozi wao wakubwa ndio wanapofikia. Je tujiulize.kulikuwa na ulinzi wa aina gani adi wao kua na amani rais wao kufikia apo. JE IRAN akupeleka mauwa apo Je Israel ilipo maadui zake wamemzunguka kila kona Je kulikuwa na ulinzi w aina gani adi wao wakubali kulala usingiz ktk kama ile mpo ktkt ya maadui wenu ulinzi gani mzuli wasipewe wao kutokana na ali yao uko mid est so maoni yangu mm naamini Iran ndio bingwa w technology kwasasa kawadhidi wenzie ndio mana anajiamini zaid anajua wananini wenzie ndiomana anawabutua tu popote atakapo.
 
Hiyo ni mikwala tu hana chochote,unakumbuka mkwala wa Saddam Hussein,alipokomaliwa ikaja kugundulika kuwa ni mwepesi kama karatasi...
 
Na armata 14 Toa maoni au kwakuwa sio rafiki na utash wako ingekuwa kinyume chake sasaivi kashafika anadadavua kusifia wazungu wake🤣🤣🤣🤣 njoo mkuu tunakutegemea sote pande zote tupe elimu kuusu Iran kwann anatwanga seem ngumu zakuogopeka fafanunua 🙏🙏
 
Wanajivunia urusi na mafuta(fedha)
Israel Kuna warus Milion 2 hatujui kazi zao
 
Israel ni simba wa kwenye makaratasi mkuu, jaribu kufikiria mpaka sasa wameshindwa kukomboa mateka wao na Hammas anaendelea kushambulia ndani ya tel aviv.
We nawe!

Unauliza Mateka leo??

Israel baada ya watu wake kutekwa, Israel ndio iliyofanya sherehe kuliko hata hao Palestine

Sababu hiyo ndiyo imefanya Israel ilimiliki eneo lote la Parestine na wanampango na tayari mpango huo umekwisha anza na ramani zipo za kujengwa majengo ya walowezi wa Ki Israel huko Gaza

Sababu hiyo hiyo ndiyo inayofanya waendelee kutoa dozi pale Lebanon na usishangae maeneo baadhi yakachukuliwa kinguvu na kuwa sehemu ya Israel

Sasa wewe endelea kuongelea mateka na wakati wenzako hawana hata habari ila ni kujitanua kinguvu kupitia sababu ya mateka
 
We nawe!

Unauliza Mateka leo??

Israel baada ya watu wake kutekwa, Israel ndio iliyofanya sherehe kuliko hata hao Palestine

Sababu hiyo ndiyo imefanya Israel ilimiliki eneo lote la Parestine na wanampango na tayari mpango huo umekwisha anza na ramani zipo za kujengwa majengo ya walowezi wa Ki Israel huko Gaza

Sababu hiyo hiyo ndiyo inayofanya waendelee kutoa dozi pale Lebanon na usishangae maeneo baadhi yakachukuliwa kinguvu na kuwa sehemu ya Israel

Sasa wewe endelea kuongelea mateka na wakati wenzako hawana hata habari ila ni kujitanua kinguvu kupitia sababu ya mateka
Wamejitanua mpaka wapi mkuu wakati juzi mashambulizi yametokea ghaza
 
Hamas wakowapi mpaka sasa?
Screenshot_20241009_115741_Chrome.jpg
 
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.
kwa maelezo yako nachelea kusma pengine Iran ndo taifa teule ila benja na mashoga wenzie wanapambana namapishi makali ya propaganda
 
Back
Top Bottom