Hakuna nyumba ya mtu inayoelea, amka kafanye kazi!

Hakuna nyumba ya mtu inayoelea, amka kafanye kazi!

Imebidi nicheke tu Ila jamaa katema fact ingawa kuchesha Ila ujumbe umefika na kawachana wale Jamaa matapeli ngoja niishie hapa, amka ukafanye kazi hakuna nyumba inayoelea 🤣
 
huyu kidogo anaakili...
nafikiri awashukie pia wale ambao hujidai wanyenyekevu wapakwa mafuta wanao soma shule sana na kutumia shule zao kuwateka waumini wao akili kwa vitisho kua eti kama hudhurii jumuiya hatukuziki kana kwamba wao ndio wana coupon za mbinguni huku wao wakiwa na miradi mikubwa ya mashule,benki,vyuo,hosipitali nk iliyozalishwa na sehemu ya sadaka zao na kuwacha waumini wao wasiojielewa hoi kiuchumi
 
Back
Top Bottom