Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
@Watu wasiojulikana tayari wamesha Anza yao. Mwalimu aliyechinjwa Kyela ni CHADEMA kindakindaki na bonge la muhamasishaji.
Acha kufikiria kwa kutumia mapigo ya moyoTrust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria..na hili litawagharimu pakubwa.
Aibu hata enzi ya chama kimoja Nyerere alikuwa anashindanishwa na kivuli chake ndiyo inapatikana hiyo % sasa leo wajumbe 150 ndiyo wanatupa Mbunge Aibu Sheet hole kweli kweli halafu tunasema tuna wasomi karne hii vitu vya ajabu hapo hata helkopta ya mabua hatuwezi tengeneza
Komeo la mbao!!!Sheet hole ndo nini? Badala uwekeze kwenye elimu unakuja jaza server hapa na kuandika utumbo.
Shosti, Uboongo wako una mavi wewe sio Bure ....
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Tupu zenu ziko njeMajimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Nasema kama wanafikiria kuwawekea pingamizi wagombea wengine, nawashauri wafanye hivyo. Lisu katekeleza vema sharti la wadhamini!Sharti ilikuwa wasiopungua 200 kila mkoa bila kizuizi hata wadhamini wakiwa 10,000 kila mkoa hivyo kuwa na Amani kila mkoa Tundu Lissu alipata wadhamini kwa mamia ya makumi, ndiyo maana hata Tume ilipelekewa Maboksi na Maboksi . Hilo la wadhamini wala usitie shaka lori semi trela lenye nyaraka lipo Dodoma.
Nadhani katumia kama kama za Akina BM kutumia daftariHivi hashimu rungwe alipata wapi wale wadhamini?
I think that was a tricky bro ....ile walichokifanya chadema ni bonge moja la akili kwa sababu kadhaa .Umeandika vema, well articulated.
1. Inahitajika timu ya watu tangu jana alipoitishwa kupitia jina kwa jina na kupiga smu kuhakiki kama hao bado wanaishi.. unawapigia simu wote kuona atakaye pokea au ambazo hazitapokelewa zitakuwa ngapi. Ukipata 10% hzijapokelewa, then unaweka pingamizi
2. Wanasheria kupitia fomu za waliopitishwa kuzihakiki.. kutafuta dosari kama zipo....sijui taratibu huwa zinakuwaje , unapewa kila kopi ya aliyepitishwa?
LAKINI: Mshana jr was it deliberate kutohakikiwa mikoani au walikuwa hawajui? Kama walikuwa hawajui, that is a grave mistake to recorn!
Lengo la kuzunguka lilikuwa ni kutafuta wadhamini. Sisi tumepata hao wabunge kwa figisu figisu za kishamba kama za kule Ruangwa na Mtama. Hili si la kujisifia hata kidogo, ni la kufikirisha sana na linahitaji hofu ya Mungu kuliepuka. Tujiandae kwa kampeni zitakazotupa wakati mgumu kujibu baadhi ya mashambulizi, yaani tulijua vita imekwisha tukapiga maji tukalala, adui aliyekuwa mahututi kaibuka na kutushtukiza sasa tuna muda mchache wa kujipanga na atatusumbua kwa kweli. Mechi imebadlika dakika za majeruhi, wachezaji wa akiba tushawaweka wote, refa na washika vibendera plus kamisaa wa mechi ni wa kwetu lakini bado tunambwela mbwela na kufanya mambo ya kitoto.Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Wew ni fala kweli yaani anazunguka halafu anaachakufanya yale ya msingi yanayomhusu ,? Ni akili za wapi kila kitu kipo clear unazunguka halafu hao wadhamini wanahakikiwa na mkurugunzi wa uchaguzi kwa jimbo husika?Hivi huwa ukiandika unafikiri kweli au unaandika tu almradi uonekane umeandika!?
Kwanini wapite bila kupingwa, ccm wanaogopa uchaguzi? Hili halikubaliki, tunawanyima wananchi haki yaoChadema wajipange na kampeni tu sasa. And vile vile waweke pingamizi kwa hawa waliopita bila kupingwa.
Watakuambia ni nguli wa sharia sasa ntashindwaje kungamua swala dogo kiasi hichoUmeandika vema, well articulated.
1. Inahitajika timu ya watu tangu jana alipoitishwa kupitia jina kwa jina na kupiga smu kuhakiki kama hao bado wanaishi.. unawapigia simu wote kuona atakaye pokea au ambazo hazitapokelewa zitakuwa ngapi. Ukipata 10% hzijapokelewa, then unaweka pingamizi
2. Wanasheria kupitia fomu za waliopitishwa kuzihakiki.. kutafuta dosari kama zipo....sijui taratibu huwa zinakuwaje , unapewa kila kopi ya aliyepitishwa?
LAKINI: Mshana jr was it deliberate kutohakikiwa mikoani au walikuwa hawajui? Kama walikuwa hawajui, that is a grave mistake to recorn!
Tundu Lissu anaona mbali...... Matukio mengi machafu amesha ya pre empty kabla hata hayajatokea huyo ndio Tundu Lissu kipenzi cha watzTundu ni mtu wa pekee sana, ana utofauti na hao wengine wagombea, sikuwahi sikia hata mkuu wa nchi kuzunguka kutafuta saini mbali na pale alipopokea lile gimbi. Hivi hakujua mtaani au kijijini mtu mpaka ufuge gimbi lifikie pale linakuwa limebeba maroho yote, hili mtani utalijua kiroho.
Gimbi linaona watu wakizaliwa, wakiroga, wakitambika, wakifa, limeshughudia misiba limesikia watu wakisema na linaongea na ardhi, leo hii mkuu top leader unalishika kwenye kadamnasi, haikuwa nzuri.
Mwalimu Nyerere alipokuwa anapewa zawadi walikuwa wanampokelea. Na akitoka hapo anaenda kwa kiongozi wa mila kusema naye.
Anyways hayatuhusu,
Ya Lissu leo ni makubwa, ni nini kimewalazimisha kushezesha orodha? Suala la kiroho sana hilo.
Je hao wagombea wengine waliopitishwa tu yaani bora liende si ni lazima watakuwa bora liende, tutaona.
Ni nini kilikusudiwa kimtokee, mpaka ikafika tunaona namba za magari kuwa yanamngoja nje tukasikia mengi mengi vile.
Mwisho nguvu zao zikamezwa, Ikawa kimyaaa.
Sitaki kumalizia kuandika kitu ambacho kilishaandikwa, ardhi ni shahidi. We will see.
Mshana Jr hulali ?
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka