Mkuu Scandnavia zilikuwa na bodi za Marco Polo kutoka Brasil, siyo za kutengenezwa hapa nchini.Kiwanda cha Scania kiliendelea kutumika kwa ajili ya mabasi ya Scania ambapo bodi zilitengenezwa hapa hapa nchini na kina Quality Garage , Yusufu Ali nk. Unakumbukka Kwacha, Scandnavia etc enzi hizo ilikuwa ni Scania tupu. Baadae wakaja wachina na basi zao cheap za Yutong sijui.
Unafikiri madaktari na walimu wameajiriwa na serikali? Unafikiri serikali ina nafasi za kazi kwa wasomi wote? Chunguza.
'Tumechoka taifa hili, unalima pamba unakwenda unasafirisha malighafi..halafu wakishatengeneza nguo, wanazivaa wanakuletea mitumba wakati pamba yako, mnalitaka hilo vijana?..sisi tunataka tukilima pamba yetu, tuna-process, zile nguo tunawapelekea ikiwezekana tunazivaa kwanza"..JPM'Hiyo ni moja ya sababu ndogo ya kuua kiwanda cha Scania, sababu kubwa utake usitake nenda kafanye uchunguzi kwa nini waziri wa viwanda Mahinda aliuwawa kwa risasi, utagundua tulikwama spare parts na wataalamu wa kurekebisha mashine, sio kwa Scania tu, ila kwa viwanda vingi hasa vya ngo vilivyoitwa something text. Mahinda aligundua mashine zilizonunuliwa ni za zamani na mbovu, spare parts zake hazitengenezwi tena. Kwa ujumla tulitegemea wazungu kurekebisha na kuendesha viwanda vyetu.
"Tumechoka taifa hili, unalima pamba unakwenda unasafirisha malighafi..halafu wakishatengeneza nguo, wanazivaa wanakuletea mitumba wakati pamba yako, mnalitaka hilo vijana?..sisi tunataka tukilima pamba yetu, tuna-process, zile nguo tunawapelekea ikiwezekana tunazivaa kwanza"..JPM
"Tumechoka taifa hili, unalima pamba unakwenda unasafirisha malighafi..halafu wakishatengeneza nguo, wanazivaa wanakuletea mitumba wakati pamba yako, mnalitaka hilo vijana?..sisi tunataka tukilima pamba yetu, tuna-process, zile nguo tunawapelekea ikiwezekana tunazivaa kwanza"..JPM
Nilimaanisha madaktari na walimu wote hawaja ajiriwa na serikali, wapo wa shule na hospitali za private.Sijui kiswahili ni kigumu kwako?
Mdau ameuliza:Mbona JK aliweza kuajiri walimu wote na madaktari?
Wewe ulichojibu sasa:Unafikiri madaktari na walimu wameajiriwa na serikali?
Tatizo wewe hujui kuhusu haya, labda ulikuwa mtoto hata hujazaliwa, kina Mahinda ni marafiki zangu wa karibu, mzee wangu alikuwa serikalini, naibu katibu mkuu wa wizara ya ardhi.I say, wewe una conspiracy theory za ajabu sana! Tatizo la kuchukua hadithi za vijiweni mitaani na kuzileta JF!