Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Ameanza kuitwa jaji wakati wewe bado unalamba makamasi chekechea.

Jibuni hoja za Warioba acheni vihoja.
Usisahau wewe umeshindwa kumjibu mtoa post kuwa Jaji Warioba alipewa ujaji na nani. Wikipedia inasema "He served as a judge.......!" Sijui unaelewa maana yake?
 
Tulipofikia sasa ni kubaya sana, kweli mtu unahoji ujaji wa Mzee Warioba?bora kuendelea kushabikia simba na yanga sio hili la ujaji ni aibu tupu
 
Huna Akili TIMAMU ww na yawezekana una mawenge zaidi ya mzee warioba,Hv hii serikali yako inasikiliza nn kwa Akili yako ambayo haijai hata kwenye kisude,Hv unadhani kuna jambo linalozidi usalama wa watu fisi ww.Una zaidi ya mawenge ndio maana unamtusi mzee warioba.
 
muerevu mbona unaweweseka ukiwa na mihemko iliyoambatana na pointless kiasi hicho?

Relax na ujieleze taratibu na wadau waweze kukuelewa.

sasa unakutupuka na kumbwelambwela tu hapa na hakuna cha maana unachoeleza zaidi ya makasiriko 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…