Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Katika historia ya nchi hii, ha kuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Kubabake mtabisha mpaka visivyobishika. Ila dawa imekuingieni maungoni.

 
Katika historia ya nchi hii, ha kuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Upimwe akili wewe Siyo mzima
 
Huyo sio Jaji, ujaji mpaka ajielezee saaaana kama unatafuta chawa kwenye manyoya ya kondoo
Sababu umekariri na uwezo wako upo limited, haya na tufanye hivyo. Ila CV yake ni beyond huo ujaji unaouhoji.

Ameshakuwa Mwanashuria Mkuu wa Serikali, Ameshakuwa Waziri wa Sheria na Katiba, ameshakuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa rais, ameshakuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa mipaka ya bahari.
Ameshakuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rushwa. Ameshakuwa Mwenyekiti wa Tume ya Katiba mpya.

Angalia vigezo vinavyotumika kumchagua Jaji wa hiyo Mahakama, ringanisha na vigezo anavyotumia rais wenu nchini mwenu kuteua majaji
 
Sababu umekariri na uwezo wako upo limited, haya na tufanye hivyo. Ila CV yake ni beynd huwa ujaji unaouhoji.
Angalia vigezo vinavyotumika kumchagua Jaji wa hiyo Mahakama, ringanisha na vigezo anavyotumia rais wenu nchini mwenu kuteua majaji
Jamaa ana minyoo kwenye ubongo sio uongo kabisa huyu si ndio chiembe ?
 
Katika historia ya nchi hii, ha kuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Katika historia ya nchi hii, ha kuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Uko darasa la ngapi kwa sasa?

Utakapofika Form One, utafundishwa kwenye somo la Uraia jinsi msomi Jaji Warioba alivyoupata Ujaji, Uanasheria Mkuu wa Serikali, Ujaji Mkuu na hatimaye Ujaji katika mahakama ya Kimatiafa!

Walimu wako wa Uraia watakufungua macho upate kujua kuwa Warioba ni miongoni mwa majaji waliojipatia heshima ndani na nje ya nchi kutokana na uweledi wake katika Sheria.

Jitahidi ufike Form One utafundishwa hayo yote!
 
Uko darasa la ngapi kwa sasa?

Utakapofika Form One, utafundishwa kwenye somo la Uraia jinsi msomi Jaji Warioba alivyoupata Ujaji, Uanasheria Mkuu wa Serikali, Ujaji Mkuu na hatimaye Ujaji katika mahakama ya Kimatiafa!

Walimu wako wa Uraia watakufungua macho upate kujua kuwa Warioba ni miongoni mwa majaji waliojipatia heshima ndani na nje ya nchi kutokana na uweledi wake katika Sheria.

Jitahidi ufike Form One utafundishwa hayo yote!
Bado yupo Vidudu sasa hivi hapo kamasi linamtoka mpaka mdomoni na hana leso
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (1985 - 1990)
Alihudumu kama Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ambapo alihusika katika masuala ya sheria na ushauri wa kisheria kwa Serikali.
HAPA TU PANAJIBU UPUPU WAKO WOTE ULIOANDIKA
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Ili uwe jaji lazima uteuliwe na raisi wa Tanzania tu, au usimamie kesi za Tanzania tu? Huna elimu wewe.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (1985 - 1990)
Alihudumu kama Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ambapo alihusika katika masuala ya sheria na ushauri wa kisheria kwa Serikali.
HAPA TU PANAJIBU UPUPU WAKO WOTE ULIOANDIKA
Wewe ng'ombe, mwanasheria mkuu sio Jaji, usitumie kichwa kubebea kamasi
 
Back
Top Bottom