Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Warioba kachagua cheo kizuri cha Jaji wanamuonea wivu. Wengine wanakimbilia udokta yeye akaona isiwe taabu nwaachia udokta
 
Ameanza kuitwa jaji wakati wewe bado unalamba makamasi chekechea.

Jibuni hoja za Warioba acheni vihoja.
Umempa nafasi kubwa sana kwenye kuramba kamasi.

Huyo itakuwa hata wazazi waliomleta duniani walikuwa hawajajuana!!.
 
huo ni ujaji tu kama wa BSS,
Huna ujuacho. Kwani hao Majaji wanaoteuliwa na rais wana kipi ambacho Jaji Warioba hana? Unajua maana ya Judge?
Kwa nchini Tanzania unavijua vigezo vya mtu kuteuliwa kuwa Jaji? HIvi unaja kwamba kwa hivi sasa Majaji wanatakiwa kuwepo hadi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi?
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Uenda wazimu umekuwa mwingi sana.
Huyu mzee anafanya kazi nzuri.
 
Before today nilikuwa naiheshimu ID yako... Nadhani nilikuwa wrong sana.
Gentleman,
binafsi namuheshimu anae niheshimu asieniheshimu simjali,

hata hivyo kwenye maendeleo niko pamoja na wananchi wote licha ya tofauti za mirengo.

so,
huna haja ya kubabaika na mimi kwasasabuab ya kusema ukweli 🐒
 
kwahiyo hakuwahi kuhudumu kama judge wa mahakama kuu, huo ndio ukweli,
Mashudu wewe kichwabox mmekaririshwa ujaji mpaka uwe mahakama kuu tu au sio? Yeye alikua jaji wa kimataifa sio wa kitaifa tu huelewi? Kumbuka kabla ya hapo alishashika nafasi ya Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa anashindwa vipi kua jaji?
 
Kwanini kuna wanaojiita madokta na hamsemi. Acheni wivu na Jaji warioba😃😂
unajua bunda, wajita neno jaji maana yake ni mjomba, ukitaka kumwita mjomba unasema yego jaji warioba, sasa tutumie jina kamili yego jaji warioba
 
Hoja ya police kutumia kisiasa, hili hulijui au ni mgeni hapa Tanganyika
Police kupendelea CCM hilo hulijui?
Jibu hoja
Uchaguzi kunajisia, dhuluma katika uchaguzi haya huyajui?
Watu kuuliwa na vyombo vya usalama hili nalo hulijui
Kama unakataa
Apia Kwa Mungu sema akuuwe siku ya leo
polisi wanaachaje kuyadhibiti manyumbu ya Chadema ambayo toka nyumbani anaenda kupiga kura akiwa na fikra za kushindwa uchaguzi?

hakunaga upendeleo kwenye uchaguzi, ukileta fujo unachezea virungu vizuri tu bila upendeleo 🐒
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Acha kupotosha ,Aliteuliwa na Rais Mkapa.
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Ndio maana nyie uvccm Huwa nawaita wapumbavu Kwa ukosefu wenu wa Elimu ona sasa mlivyo wapumbavu hamjui anaitwa Jaji kutokana na ujaji upi.
Kwa taarifa yenu ujaji wa mzee warioba hata hao majaji wako unaowataja hawawezi kufika unajua ITLOS wewe empty brain?
 
polisi wanaachaje kuyadhibiti manyumbu ya Chadema ambayo toka nyumbani anaenda kupiga kura akiwa na fikra za kushindwa uchaguzi?

hakunaga upendeleo kwenye uchaguzi, ukileta fujo unachezea virungu vizuri tu bila upendeleo 🐒
Pole Kwa mme wako
 
Ndio maana nyie uvccm Huwa nawaita wapumbavu Kwa ukosefu wenu wa Elimu ona sasa mlivyo wapumbavu hamjui anaitwa Jaji kutokana na ujaji upi.
Kwa taarifa yenu ujaji wa mzee warioba hata hao majaji wako unaowataja hawawezi kufika unajua ITLOS wewe empty brain?
Huo ni ujaji kama wa Master Jay pale Bongo Star Search
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Una Miaka Mingapi??
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hii mbona ni sawa tu na kusema hakuna mtu yeyote aliyempigia kura Rais Samia Suluhu kuwa rais wa nchi hii.🤠🤠
 
Back
Top Bottom