Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Nyie ndiyo mmeiingiza nchi kwenye mikataba ya hovyo na sasa mnataka kuiingiza kwenye mkataba wa uraia pacha sababu ya kutanguliza matumbo yenu mbele.Pole sana, sampuli yako mnajifanya mnajua kumbe hamjui, akili yako inawakilisha wapuuzi walioiingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo