Hakuna serikali yoyote duniani iliyofanikiwa kuwadharau Raia wake huku ikifanya itakavyo milele ikafanikiwa

Hakuna serikali yoyote duniani iliyofanikiwa kuwadharau Raia wake huku ikifanya itakavyo milele ikafanikiwa

Mada zako utazani watanzania wote wamekutuma uwaongelee
We na wenzio kama mnaipinga serikali bhc jua na mimi na wananchi wengine tuna support
Mpigie kura lissu
Sisi tumpgie samia
Wote sisi ni watz hatuezi kua sawa kimawazo
Wanaosapoti wengi wako hivi

FB_IMG_1575390806699.jpg

IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Hivi wewe ungekuwa Rais ungekubali kufuta vipengele vya katiba ambavyo Jemima Jackson ametuonesha wakati ukiwa unagombea? Watu mnasema tu kwa vile ni makapuku.

Rejea
Vipengele vya Katiba vinavyompa JEURI Rais wa nchi. Ibara 46(1) inayompa KINGA ya kutoshtakiwa kwa kosa la JINAI, ibara 41(7) inayokataza matokeo ya kura za Uraia yasichunguzwe, hata na mahakama & ibara 74(12) inayokataza Tume ya Uchaguzi (NEC) kufikishwa mahakamani.

Kinachofanyika ni kwamba, Rais anatoa MAAGIZO kwa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi WAMPENDELEE yeye na chama chake, NEC itatekeleza AGIZO. Ukitaka kumuadhibu Rais huwezi, ibara 46(1) inamkinga, humgusi kabisa! Ukitaka kuiadhibu NEC, huwezi, ibara 74(12) inaipa ULINZI, NEC haigusiki. Ukitaka kwenda mahakamani KUPINGA matokeo kwamba Rais ameiba uchaguzi, pia huwezi, ib 41(7) INAKATAZA – yaani matokeo yakoshatangazwa ngoma imeisha, hata kama una USHAHIDI umeshinda wewe.
Kwa hali hii, jamaa wataachia wengine kweli?
 
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.

Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.

Msije kusema hatukuwaambia .
Ipo siku inakuja wataelewa tu kwa sasa wamelewa pombe kali hivyo hawawezi kuelewa.
 
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.

Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.

Msije kusema hatukuwaambia .
Wachache saaaanaaa,watakuelewa😂
 
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.

Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.

Msije kusema hatukuwaambia .
Sidhan kama wafia CCM na machawa pro max Watakuelewa, watakuja na kauli za kubeza!!
 
Hakuna kitu kinachokaa Milele iwe kizuri au kibaya....

All things trend toward disorder. More specifically, the second law of thermodynamics states that “as one goes forward in time, the net entropy (degree of disorder) of any isolated or closed system will always increase.”
 
Kura yako haina impact yoyote kwenye matokeo ya uchaguzi. Ni kiini macho tu kisha wanawatangaza wanaowataka.
Na tatizo ndio liko hapa. Serikali ikishajua wananchi hamna cha kuwafanya ndio basi tena
 
Mada zako utazani watanzania wote wamekutuma uwaongelee
We na wenzio kama mnaipinga serikali bhc jua na mimi na wananchi wengine tuna support
Mpigie kura lissu
Sisi tumpgie samia
Wote sisi ni watz hatuezi kua sawa kimawazo
Hapo ulipo kuna umeme?
 
Unawezaje kukufuru Mungu kwa kusifia serikali inayouza bandari ili kulipa mafao wake wa viongozi ?
Chadema bila kutoka kwenye uenyekiti Mbowe hamna kitu, hawaeleweki, utakuta wako kumchafua shujaa magu tu
 
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.

Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.

Msije kusema hatukuwaambia .
Eti kweli? Lussu kalala mbele na pesa za mwambulukusu na mdudu?

Mbowe nae kagoma kugawa mgao kwa lussu.
 
Back
Top Bottom