zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
SEMA serikali imedharau mawazo ya Lissu na Mbowe na wafuasi wao.
Nashangaa anatujumuisha wote as if watz wote wanaichukia serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SEMA serikali imedharau mawazo ya Lissu na Mbowe na wafuasi wao.
Unawezaje kukufuru Mungu kwa kusifia serikali inayouza bandari ili kulipa mafao wake wa viongozi ?Chadema hamjawahi kuisifia serikali ya ccm kwahiyo hakuna cha ajabu hapa.
Wanaosapoti wengi wako hiviMada zako utazani watanzania wote wamekutuma uwaongelee
We na wenzio kama mnaipinga serikali bhc jua na mimi na wananchi wengine tuna support
Mpigie kura lissu
Sisi tumpgie samia
Wote sisi ni watz hatuezi kua sawa kimawazo
Ya Sudani KusiniSerikali ipi imewadharau wananchi?
Unazo akili ?Nashangaa anatujumuisha wote as if watz wote wanaichukia serikali
Kwa hali hii, jamaa wataachia wengine kweli?Hivi wewe ungekuwa Rais ungekubali kufuta vipengele vya katiba ambavyo Jemima Jackson ametuonesha wakati ukiwa unagombea? Watu mnasema tu kwa vile ni makapuku.
Rejea
Vipengele vya Katiba vinavyompa JEURI Rais wa nchi. Ibara 46(1) inayompa KINGA ya kutoshtakiwa kwa kosa la JINAI, ibara 41(7) inayokataza matokeo ya kura za Uraia yasichunguzwe, hata na mahakama & ibara 74(12) inayokataza Tume ya Uchaguzi (NEC) kufikishwa mahakamani.
Kinachofanyika ni kwamba, Rais anatoa MAAGIZO kwa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi WAMPENDELEE yeye na chama chake, NEC itatekeleza AGIZO. Ukitaka kumuadhibu Rais huwezi, ibara 46(1) inamkinga, humgusi kabisa! Ukitaka kuiadhibu NEC, huwezi, ibara 74(12) inaipa ULINZI, NEC haigusiki. Ukitaka kwenda mahakamani KUPINGA matokeo kwamba Rais ameiba uchaguzi, pia huwezi, ib 41(7) INAKATAZA – yaani matokeo yakoshatangazwa ngoma imeisha, hata kama una USHAHIDI umeshinda wewe.
Ipo siku inakuja wataelewa tu kwa sasa wamelewa pombe kali hivyo hawawezi kuelewa.Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.
Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.
Msije kusema hatukuwaambia .
Wachache saaaanaaa,watakuelewa😂Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.
Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.
Msije kusema hatukuwaambia .
Sidhan kama wafia CCM na machawa pro max Watakuelewa, watakuja na kauli za kubeza!!Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.
Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.
Msije kusema hatukuwaambia .
Bandari imeuzwa sh.ngapi?Unawezaje kukufuru Mungu kwa kusifia serikali inayouza bandari ili kulipa mafao wake wa viongozi ?
kwa akili yako unaona hii nchi iko sawaMtatunga kila aina ya uongo watanzania wa leo siyo wajinga.
Haiko sawakwa akili yako unaona hii nchi iko sawa
Na tatizo ndio liko hapa. Serikali ikishajua wananchi hamna cha kuwafanya ndio basi tenaKura yako haina impact yoyote kwenye matokeo ya uchaguzi. Ni kiini macho tu kisha wanawatangaza wanaowataka.
Hapo ulipo kuna umeme?Mada zako utazani watanzania wote wamekutuma uwaongelee
We na wenzio kama mnaipinga serikali bhc jua na mimi na wananchi wengine tuna support
Mpigie kura lissu
Sisi tumpgie samia
Wote sisi ni watz hatuezi kua sawa kimawazo
Mwenye majibu ni HangayaBandari imeuzwa sh.ngapi?
Kumbe hujui. NonsenseMwenye majibu ni Hangaya
Chadema bila kutoka kwenye uenyekiti Mbowe hamna kitu, hawaeleweki, utakuta wako kumchafua shujaa magu tuUnawezaje kukufuru Mungu kwa kusifia serikali inayouza bandari ili kulipa mafao wake wa viongozi ?
Eti kweli? Lussu kalala mbele na pesa za mwambulukusu na mdudu?Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile.
Na wala hakuna serikali ilfanikiwa kwa kutegemea vyombo vya dola na watekaji, haijawahi kuwepo, kudharau baadhi ya wastaafu na kupuuza maoni yao ya msingi na kuchukua maoni ya kijinga ya wastaafu wachache wahafidhina ni kujichimbia kaburi.
Msije kusema hatukuwaambia .