Hakuna serikali yoyote duniani iliyofanikiwa kuwadharau Raia wake huku ikifanya itakavyo milele ikafanikiwa

Niwajibu wetu kuwakumbusha na kuwaelimisha
 
Eti kweli? Lussu kalala mbele na pesa za mwambulukusu na mdudu?

Mbowe nae kagoma kugawa mgao kwa lussu.
Eti lile deal la DPWorld mmetema bungo, au mmeendelea kukaza fuvu?
 
CCM nimeiunga mkono since , ila issue ya bandari na wanavyowadanganya halaiki wasio na elimu imeniudhi sana.
Mbona Kenya china walitaka bandari wakapewa ardhi wajijengee on a public private partnership basis ila hawakupewa bandari ya taifa .
Tz ndo nchi pekee kumpa mtu bandari fully furnished ni idea nzuri , tutakuwa lini indepedent kwa mwendo huu.
Umaskini na elimu duni ukiongeza uchawa unafanya walio madarakani kuonekana wanajua sana na hawakosei, pathetic state of affairs nchini
 

It is not about the date or year...kama wananchi wengi wanadharaulika. Kama rushwa, dhuluma na wizi wa mali ya umma umetamalaki....ni suala la muda.
 
Jamani hii dawa inyopikwa ya bandari tayari imeanza kufanya kazi hata mgonjwa hajainywa. Bado iko chunguni inachemka matapeli wa bandarini matumbo ya kuharisha yamewashika na tegu wanatoka hovyo.
Bandari lazima ishughulikiwe sababu huku mtaani walala hoi wanapata bifhaa kwa ughali sababu matapeli yameisha kata chao huko bandarini kwa hiyo mfanya biashara hana budi ila kuongeza bei ya bidhaa. Anae umia ni mtanzania mtaani.

Mama kazia hapo hapo dawa inaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…