Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

Halafu vitoto vya singo mazas vinakuaga vijeuri na tabia za ajab ajab..ukikatia mboko utaonekana Kama hukapendi,kwa hiyo inabidi tu utulie huku ukiendelea kushangaa..Kwa utafiti nilioufanya vitoto vya singo mazas vinakuaga na mambo flan yan unaweza kujiuliza haka ni katoto au kajini...bora huyo singo maza awe na mtoto wa kike
 
Halafu vitoto vya singo mazas vinakuaga vijeuri na tabia za ajab ajab..ukikatia mboko utaonekana Kama hukapendi,kwa hiyo inabidi tu utulie huku ukiendelea kushangaa..Kwa utafiti nilioufanya vitoto vya singo mazas vinakuaga na mambo flan yan unaweza kujiuliza haka ni katoto au kajini...bora huyo singo maza awe na mtoto wa kike
Kweli huo mtihani mkuu
 
Halafu vitoto vya singo mazas vinakuaga vijeuri na tabia za ajab ajab..ukikatia mboko utaonekana Kama hukapendi,kwa hiyo inabidi tu utulie huku ukiendelea kushangaa..Kwa utafiti nilioufanya vitoto vya singo mazas vinakuaga na mambo flan yan unaweza kujiuliza haka ni katoto au kajini...bora huyo singo maza awe na mtoto wa kike
Single mother wa mtoto wa kike hana hata shida huyo ni sawa na hajazaa unaishi nae poa kabisa ila wa mtoto wa kiume kuishi nae ni muujiza ni 1/100
 
Mtihani mkubwa kwa single mothers ni kubalansi upendo kati ya mtoto wake na mpenzi wake.

Akimpenda sana mtoto wake atahakikisha mtoto anapata love ya baba yake mzazi hivyo atakuwa na mawasiliano very active na baba wa mtoto wake ili kuwakeka karibu.

Akimpenda sana bwana wake atazuia mawasiliano ya yeye na ex wake ambae ni baba wa mtoto wake maana hakuna mwanaume anapenda kuona mke au girlfriend wake anakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na baba wa mtoto wake hii connection wote tunajua ni hatari.

Huu ni mtihani ambao single mothers unawasumbua sana wanajikuta kama wapo kifungoni kwenye magereza mawili tofauti.

Kama binti unataka amani kwenye ndoa yako hapo baadae jitahid usizae nje ya ndoa.
Ifike muda mtupumzishe jamani, sio kila single mother kazaa nje ya ndoa,
Not every venture ends in climax
 
Single mother wa mtoto wa kike hana hata shida huyo ni sawa na hajazaa unaishi nae poa kabisa ila wa mtoto wa kiume kuishi nae ni muujiza ni 1/100
Laivu,unaweza kukuta kanacheza huko weee ila muda wa shoo paap haka hapa kanazinda...Kuna kamoja hako usiku nikilala na mama yake yan kanaliaa kichizi kanataka kalale katikati yangu na mama yake...yan ni kana komaaa kabisa imagine katoto ka miaka miwili
 
Kuna dada mmoja katika salamu zake za mwaka huu mpya 2024, aliomba tuache kuwapiga madongo single mothers.

Naona hata wiki ya kwanza ya mwaka mpya hatujamaliza,maombi yake hayajazingatiwa.
Kila siku same diss...halafu usikute majumbani kuna wenye dada single mothers Wengi Tu still wakija humu ni same stories.....
 
Shida nyingine ya single mother wana psychological damage kutokana na kutendwa wanakuwa hawaamini mwanaume kwa asilimia kubwa so inapelekea kutokupa mapenzi ya dhati atapretending mwanzoni wa mapenzi baada ya hapo anarudi kwenye uhalisia wake
Sio wote nina rafiki amekuwa kama dada mumew kamkuta na watoto wawili na wanapendana hakuna mfano yule dada ana furahia sana maishayake na mumewe na Yuko positive kwenye kilajambo kuhus yeye na mumewe na watoto ambao sio mumewe na kamzalia jamaa mtoto mmoja
 
Dada zangu.
Ukitupiwa limao usipoteze nguvu kuwaza vile yatakutesa kwa uchachu,poteza nguvu kubuni mbinu yakuyageuza yawe kitu kizuri.

To all single mothers in here,tumia hizi kashfa kama hamira yakutunisha wallet yako.

There is nothing good than money in this world.Ukiwa na pesa uolewe au usiolewe utafurahia maisha.

Kumbuka,vile unavyotamani kuingia kwenye ndoa wapo wenzio nao wanatamani kutoka ila hawawezi kwa sababu za kiuchumi.

Kumbuka tena,ni rahisi HELA kukupa ndoa iila NDOA haikupi hela.

Ndoa ni kitu kizuri ila hakijawa kizuri kwa wote wenye ndoa ndio mana kila siku wenye ndoa wanalalamika hapa.

A copy to my best girl To yeye
 
Shida nyingine ya single mother wana psychological damage kutokana na kutendwa wanakuwa hawaamini mwanaume kwa asilimia kubwa so inapelekea kutokupa mapenzi ya dhati atapretending mwanzoni wa mapenzi baada ya hapo anarudi kwenye uhalisia wake
Sio kila single mother ni kwasababu ya kutendwa

Asilimia kubwa ma single mother wanaongezeka mtaani kwasababu ya kupenda mserereko wakiamini kumzalia mtoto mwanaume watapata child support na kuishi kupitia iyo iyo support

Utafiti mwingine unaonyesha masingle mother wengi wamezalishwa na waume za watu, wakiamini mwanaume alieoa na mwenye familia anajiweza kiuchumi na anajua kuhudumia familia
 
Back
Top Bottom