Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

Nje ya mada sijui: Kuna soul ties nyingi mno ndo maana single mother au asie single mother falls back to the ex. Imagine, mwanamke kaolewa na kaka mmoja, ana watoto wake wawili anapendwa na mwanaume hakuwa na mambo mengi. Lakin akajaga kukutana na ex wake waliokuwaga an item in the past.

Akashindwa kujizuia na she fell back in love with him. Jamaa akamrubuni na yeye akakaa standby. Mume akaja kugundua wakagombana sana ila dada alikuwa a corporate chic..akavunja ndoa majestically. Ex chappp akamlamba miguu kidogo weee mwisho akatimua na mil 56 za dada. Ukawa msiba kwa dada...najaribu kusema nini,

Tupunguze body counts jamani. Wengi wetu zinatufanya unstable kihisia. Na mwanamke uliyeko somewhere peaceful..meet an ex ama past endeavour, hakuna kuwa na namba zao ama chit chats na lunch dates. Ni rahisi sana kuanguka. Kuna wenye misimamo sikatai, but be watchful..usijiamini sana sometimes. Believe in God and Put your trust in Him. Kuna disasters nyingi naziona katika vizazi vya sikuhizi...watu hatutaki kulet the bygones be the bygones kiasi kwamba na ndoa tunazirisk kwaajili ya fake moments we think we are having...mara nyingi the grass aint greener on the other side. Know this and know peace!!!
 
Hii sio chai kweli in JF comments
 
Ujue mmewe kaamua kuwa zoba au mjinga ili maisha yaende. Nakusalimu dada mkubwa!
 
Mtoto wa kiume wa singo maza daima hampendi baba yake wa kambo uwa anajisikia vibaya kuona mama yake analala na mtu mwingine tofauti na baba yake siku zote anatamani baba yake na mama yake waishi pamoja. Kile kifeeling cha kiume uwa hakipotei
 
Single mothers ni tatizo kubwa.
 
Hapo bwege kati yenu ni yaule anapenda dezo.Mwanaume yeyote anayependa mteremko hajakamilika
 
Kwa nn umuoe wakati kuna mume wake aliyezaa nae huko ni kuingilia mahusiano ya watu
Siyo kweli bwana, sasa hivi kuna vijana wa hovyo, ambao wanapiga Mimba wanawake Kwa kuwaahidi kuwaoa halafu wanawatelekeza, sasa mtu akiachwa maana yake na maisha yake yasimame? Hii siyo kweli bwana, ila kama mwanamke ameachana na mwanaume na huyo mwanaume hajaoa mwanamke mwingine na wanawasiliana hapo ndo kuweka mawazo yako kwa makini, lakini wako wanawake wamezalishwa na walio wazalisha wakaoa wanawake wengine, sasa wafanyeje? Maisha yao yaishie hapo hapo?

Ninatambua ujinga mwingi sana wa single mama, ambao walisababisha wao wenyewe kua single mama, lakini wako ambao wametendwa na wanaume na ukikutana nao utajua tu kua huyu hana shida isipokua alikutana na wanaume washenzi
 
May God bless you man....Amani kwanza.....kama ndoa yawapa amani ni poa....pesa inakupa amani ni poa.Asante bro
 
Wana miaka mangapi kwenye ndoa?
 
Father xmas unawaimgiza chaka warembo
 
Madam will u marry me please?
Wanawake wote wangekua na ideology kama ya kwako hakika tungekua na kizazi bora na ndoa zenye amani Tz nzima,neno michepuko lisingekuepo tena.
 
Madam will u marry me please?
Wanawake wote wangekua na ideology kama ya kwako hakika tungekua na kizazi bora na ndoa zenye amani Tz nzima,neno michepuko lisingekuepo tena.
I humbly decline this offer πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…. But on a serious note...the road that leads to deception is very blur...it always starts with random convoz, random laughters, hitting each other in excitement, giving/getting a ride daily and having heartfelt conversations. Hizi kwa mwanamke alieolewa ni detrimental kwa sabbu tunatekwa navyo kirahisi..why??emotions zinakuwa involved and we are emotional entities.

Ndo maana ni vile dunia inampaisha mwanamke, but the rate of women cheating I feel its very high kuliko wanaume...kwa sabbu dunia imetupaint kivngne ndo maana halipigiwi kelele. Leo itengenezwe dawa yoyote afu iwekwe, kwamba ambae hajawah kucheat aruke hapa ataishi ama la anakufa..utaona tu!!! Many of us get fond of people especially if they make us happy. Sisemei wenye kazi tu ama wasomi, lakin hata mama wa nyumban, muuza genge akiwa a supporting pillar tu kihisia kwa huyu mwanamke, habar imeisha.

Tunatakiwa tustruggle kutoentertain unusual connecting with third parties when we are in a family. Being in the presence of someone consistently huwaga inaleta connection ndo maana hata ukute mtu ana strong standing gani, kuna always a moment of vulnerability itakujaga tu...so for me nimejifunza kuavoid unnecessary things that could make me lose my guard. Nimejifunza I shouldnt trust myself and my will for am a weak creature..I rely on the Holy Spirit ili yeye ndo awe confidence yangu. Sio wote waliocheat hawakuwa na msimamo, some walikuwa nayo na bado wakaanguka. Maybe you need it...yes you...πŸ™‚πŸ™‚
 
Mabinti wasio zaa ni wengi tupambane nai
 
Umeongea point let ask you out of topic inawezekana kwa mwanamke kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye ni rafiki wa karibu sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…