Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Nani humu anakijuwa kisa cha kwenye biblia cha mahari ya magovi?

Niliwahi kjukileta zamani hapoahapa JF:

 
umejaribu kuandika ila andiko lako linaonyesha wazi huna knowledge ya international law, na hujui how states are created
 
Yaani nimechoka kwakweli...
Ndiyo yale ya UNAKUTA MTU UNAMUHESHIMU VIZURI TU MARA SIKU UNAMKUTA MTAANI ANAKATA KIUNO KWENYE GARI LA VODACOM ILI APEWE ZAWADI YA TISHETI
Hatari DINI shidaa imemnyonyo kamq kuku mnyonyoe afu umwache atembee ndio nimejua kumbe haaaaaa ndio uyuuu anakata miuno mwalim wake alimwambia kijana pambana kusoma ndio mwalim anamkuta kijana anataka miuno kwenye FusoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kwani nini maana ya Taifa?
 
Kwa
Kwahiyo unakubaliana na mpango wa Mazayuni kuwaua Wapalestina wote ili Waisrael wachukue eneo lao!?
Twasubiri maoni yako mkuu.
 
Uzi Unaukweli kwa 100%

Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana kwa ajili ya Elimu

Mleta Mada Hongera Sana..

Ila Mleta Mada britanicca nataka Kukuuliza maswali ya Kisomi kidogo ningeomba Unijibu Ukiweza..

Kama Hakukuwahi Kuwa na state au Serikali ya Palestina.. kwanini Kulikuwa na mamlaka inayoitwa Hivyo mpaka Kufikia mwaka 1948 ambapo ilivunjwa..
Ilikuwaje Kukawa na Serikali ya Palestina

ushahidi hii chini Ni leseni ya Udereva maka 1936 imeandikwa The Government of Palestine


Ushahidi wa Pili ni currencies na Coin zinazoonyesha Mamlaka ya Nchi hiyo..

 
Kwenye website yao ya Utalii hawamtaji kama Yesu alikuwa Myahudi πŸ˜… πŸ˜…

Historia yao ni fupi kama wosia wa mtoto
Wanafiicha kwa lengo la kuhadaa Dunia lakini ukwel utabaki palepale kuwa hao ni Waarabu waliovamia wakitokea Hejazi.
 
Mbona wao kwenye Meza yao UN wamejiandika PALESTINE STATE?!
View attachment 3139997


Soma Hiyo Herufi ya Mwanzo imeandikwaje kwa Lugha ya Kiarabu Ni ف Yaani Fe..

Na kwa Kingereza Obvious itaitwa Palestine..

Au unasahau hata Israel Ni YISRAEL na sio Israel..

Au unasahau Msumbiji ni Wanaita wao Nchini mwao na Nchi Jirani tu ila Wao Wakiwa Nje wanatumia Jina la Kingereza ambalo ni Mozambiq..

Kama bado hujajua Hivyo vyote..

kwa Kumalizia Nitakuomba Unitofautishie kati ya James Na JacoB ni nani Yakobo kati yaoπŸ˜…πŸ˜…
 
Umeandika nini sasa na wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…