Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Na hakuna sehemu imeandikwa israhell kama ipo ileteni
Al-Isra' 17:1

سُبْحَٰنَ ٱلَّذِىٓ أَسْرَىٰ بِعَبْدِهِۦ لَيْلًا مِّنَ ٱلْمَسْجِدِ ٱلْحَرَامِ إِلَى ٱلْمَسْجِدِ ٱلْأَقْصَا ٱلَّذِى بَٰرَكْنَا حَوْلَهُۥ لِنُرِيَهُۥ مِنْ ءَايَٰتِنَآۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلْبَصِيرُ

SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka MSIKITI WA MBALI, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenye kuona.
English -
Exalted[1] is He who took His Servant [i.e., Prophet Muḥammad (ﷺ)] by night from al-Masjid al-Ḥarām to al-Masjid al-Aqṣā,[2] whose surroundings We have blessed, to show him of Our signs. Indeed, He is the Hearing,[3] the Seeing.[4].

* Katika hizo Aya kuna neno MSIKITI WA MBALI au MASJID AL AQSA. Jee msikiti huu upo wapi?
 
Al-Isra' 17:1

سُبْحَٰنَ ٱلَّذِىٓ أَسْرَىٰ بِعَبْدِهِۦ لَيْلًا مِّنَ ٱلْمَسْجِدِ ٱلْحَرَامِ إِلَى ٱلْمَسْجِدِ ٱلْأَقْصَا ٱلَّذِى بَٰرَكْنَا حَوْلَهُۥ لِنُرِيَهُۥ مِنْ ءَايَٰتِنَآۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلْبَصِيرُ

SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka MSIKITI WA MBALI, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenye kuona.
English -
Exalted[1] is He who took His Servant [i.e., Prophet Muḥammad (ﷺ)] by night from al-Masjid al-Ḥarām to al-Masjid al-Aqṣā,[2] whose surroundings We have blessed, to show him of Our signs. Indeed, He is the Hearing,[3] the Seeing.[4].

* Katika hizo Aya kuna neno MSIKITI WA MBALI au MASJID AL AQSA. Jee msikiti huu upo wapi?
Miskito huo uko wapi? Msikilize huyu Msaudi akikwambia kuwa ule wa Jerusalem ni Uongo!! Badala yake huo Msikiti Uko ndani ya Saudi Arabia “Al Aqsa Mosque is in Al Ju'ranah, a village in Mecca province, in western Saudi Arabia”

View: https://x.com/CherylWroteIt/status/1847368757846675643
 
Mleta mada unaweza kunitafsiria hapo kwenye mstari wa blue?
Balfor.png
 
Back
Top Bottom