Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Lete hapa palipoandikwa TAIFA LA ISRAEL??
Mbona ni swali rahisi sana?
Ndio maana nikakwambia shida yako ni C&P halafu huna ulielewalo.
Taifa la Palestina limetajwa kwenye Quran,?.!! Haahahaha kwani nchi gani hazijatajwa na leo zipo na wala hamna shida wewe unatafuta Justification gani? Biblia imetaja vema taifa la Israel basi
 
In your eyes dividing India 🇮🇳 so that Muslims can have their own land was ok but dividing Palestine mandate isn't because Jewish will have part of Muslim possession!! Ridiculous
You are getting into another debate my friend.
Stop been that dumb.
Nani kasema ardhi ya Palestine mandate ilikataliwa kugawanywa!?
UN katika resolution yake ya kwanza na pili haikutenda haki.
Hizo resolution zilikua zinampa eneo kubwa Israel kuliko Palestina.
Wakati resolution ya tatu inatoka Israel ikaanza kupora hadi ardhi ambayo Palestina walibaki nayo.
 
Taifa la Palestina limetajwa kwenye Quran,?.!! Haahahaha kwani nchi gani hazijatajwa na leo zipo na wala hamna shida wewe unatafuta Justification gani? Biblia imetaja vema taifa la Israel basi
Ona unaanza kujichanganya sasa😂😂😂😂.
Palestine imetajwa ndio katika Qur'an.
Hapa tunaizungumzia Israel sio mataifa mengine.
Maana madai yenu Palestina haikuwahi kuwepo yani kana kwamba Israel ilikuwepo kabla.
Huwa unajivuruga vibaya sana we jamaa.
 
You are getting into another debate my friend.
Stop been that dumb.
Nani kasema ardhi ya Palestine mandate ilikataliwa kugawanywa!?
UN katika resolution yake ya kwanza na pili haikutenda haki.
Hizo resolution zilikua zinampa eneo kubwa Israel kuliko Palestina.
Wakati resolution ya tatu inatoka Israel ikaanza kupora hadi ardhi ambayo Palestina walibaki nayo.
Wayahudi walipewa 55% kwenye mgawanyo ambao 80% ya hii ni jangwa bovu desolute wasteland na walikubali. Ukweli unabaki waarabu hawakusema wamepewa mgao mdogo ila hawakukubaliana na Wayahudi kupewa taifa they chose war thinking young Israeli would be a pushover
 
Wayahudi walipewa 55% kwenye mgawanyo ambao 80% ya hii ni jangwa bovu desolute wasteland na walikubali. Ukweli unabaki waarabu hawakusema wamepewa mgao mdogo ila hawakukubaliana na Wayahudi kupewa taifa they chose war thinking young Israeli would be a pushover
Lete ushahidi wa wao kuchagua vita!?
Nipo hapa nasubiri.
 
Ona unaanza kujichanganya sasa😂😂😂😂.
Palestine imetajwa ndio katika Qur'an.
Hapa tunaizungumzia Israel sio mataifa mengine.
Maana madai yenu Palestina haikuwahi kuwepo yani kana kwamba Israel ilikuwepo kabla.
Huwa unajivuruga vibaya sana we jamaa.
You guys are deligimizing Israel and trying to justify Palestine in place of it but can prove the point
 
Ona unaanza kujichanganya sasa😂😂😂😂.
Palestine imetajwa ndio katika Qur'an.
Hapa tunaizungumzia Israel sio mataifa mengine.
Maana madai yenu Palestina haikuwahi kuwepo yani kana kwamba Israel ilikuwepo kabla.
Huwa unajivuruga vibaya sana we jamaa.
Countries mentioned in the Bible
  • Egypt
  • Iran
  • Iraq
  • Turkey
  • Jordan
  • Lebanon
  • Greece
  • Italy
  • Syria
  • Saudi Arabia
  • Bulgaria
  • Romania
  • Bosnia
  • Croatia
  • Israel
 
Name: The name "Muhammad" is mentioned four times in the Quran.
Kuna Tofauti kati ya Kutajwa na Masimulizi..

Hicho ulichokisema Ni masimulizi yaani Maelezo ila Muhamad Imetajwa Si katika masimulizi bali katika Maonyo na Marejeo

Na Ninaweza kukuonyesha Mara zote zilikuwa zinamaanisha nini..

1.Surah Al Imran (3:144): "Na Muhammad si chochote ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? im…"

2. Surah Muhammad (47:2): "Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad…"

3. Surah Al-Fath (48:29): "Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri,..."

4. Surah Al-Ahzab (33:40): "Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii…"

Hizo ndo mara zote Nne Muhamad Inatajwa kwenye Quran na Hakuna Sehemu yoyote ina masimulizi zaidi ya Maonyo au Maelekezo..

Sasa wewe Ulipata wapi Kuna story Kwenye Quran...

Quran sio story Wala masimulizi Mkuu..
Quran Ni kitabu cha Mashairi/Uandishi wa kishairi kama Unavyozungumzia Mithali au Zaburi kwahyo ni vigumu Kukuta Masimulizi
 
Quruani ni masimulizi tu Allah kasema au Mohamed kasema au Mjomba wake Mohamed kalaaniwa Abu Lahabi.

No Story za kutunga na zingine ni zimekopiwa kutoka katika Dini nyingine.
Bhasi sawa Jitahidi Usome Kitu na Kukielewa kabla ya Kuchangia chochote....Unaweza Pia uka uliza kwa wanaojua..
Quran si Kitabu cha masimulizi
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Mpuuzi mmoja ww sasa ile Oslo accord viability land ilikua ipi
 
Hakuwahi kupaa wala kufika Jerusalem ike propaganda ya wavaa makobazi
Msikilize huyu Msaudi Arabia akiwaambia kuwa hiyo Al Aqsa Mosque wanayosema ni ile ya Jerusalem ni UONGO. Anasema kuna huo Msikiti ndani ya Saudi Arabia yenyewe na siyo huko Israel. Anaongezea kusema kuwa itakuaje mtume alienda kwenye msikiti huo Jerusalem wakati Msikiti ulijengwa 682 na Mtume alikufa 632?

View: https://x.com/CherylWroteIt/status/1847368757846675643
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya


1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)



View: https://youtube.com/shorts/EIIKBbl9F2U?si=I5yclg1a5laogPF2
 
Back
Top Bottom