Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Sio kila cha science ni ukweli, huwezi kusema asili ya binadamu ni jamii ya minyoo ,halafu ukaleta justification ya simu ni vitu tofauti, tafuta ile minyoo igeuka binadamu sasa hivi
Always ninyi watu wa Madrasa ni Anti Science lakini mnaamini Muhammed alipaa mbinguni huku amebebwa na Farasi mwenye uso wa Mwanamke wa Kiajemi.
 
Always ninyi watu wa Madrasa ni Anti Science lakini mnaamini Muhammed alipaa mbinguni huku amebebwa na Farasi mwenye uso wa Mwanamke wa Kiajemi.
Wewe endelea kuamini kuwa binadamu alianzia kwenye minyoo, hata kama ni science hii ni chai
 
FB_IMG_1704607109583.jpg
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Philistines are seafaring people from crete who inhabited Levant before jews arrived from messopotamia
 
Israeli imetajwa wapi kwenye Quran kuwa ni taifa?! Acheni kuzungumza mambo msiyokuwa na elimu nayo! Wengi wenu hiyo Quran hata kuishika hamjui lakini mmekaa kuisingizia mambo ya uongo tu.
بنو إسرائيل ( banuu Iraaiyl, watoto au kizazi cha Israaiyl ambaye ni Nabii Yaaquwb) wametajwa kama kabila na siyo taifa wala siyo nchi.
Palestina imetajwa?
 
Waliosoma mpaka form six wanafahamu namna gani taifa la israeli liliundwa kwa msaada mkubwa wa mataifa ya magharibi. Palestine zamani ilikaliwa na uingereza na hivyo basi kabla ya hapo kuna mikataba lukuki ilifanyika ili kuboresha namna ya kuhalalisha ukaliwaji wa wa palestine dhidi ya taifa la israel. Hakuna hata sehemu moja katika dunia katika documentary yoyote inayoruhusu taifa moja kulikalia taifa jingine kwa mabavu kwa maslahi ya mataifa makubwa ya magharibi. HII NI MAUAJI YA HALAIKI MAUAJI HAYA NI KINYUME CHA SHERIA ZA KIMATAIFA NA SISI KUUNGA MKONO MAUAJI YOYOTE KWA WATU MADHULUMU WATOTO ,WANAWAKE WAZEE KWA HALI YOYOTE ILE BILA KUJALI NI WATU WA ITIKADI YA DINI GANI. KUFANYA HIVYO NI HATUA YA UWENDAWAZIMU NA SIO HATUA YA URAZINI UBINADAMU
Taifa la Palestina we umelipata wapi hili??
 
Hizi stories mnazoleta mnajiabisha.
Hizo himaya ulizozitaja ziliwahi ku exist wakati mmoja na kila moja iliiongoza Palestina kwa wakati wake.
Sawa hakukuwahi kuwepo na Palestina,ila je KULIWAHI KUWEPO NA ISRAEL!?
Mwaka wa kupatikana uhuru wa Palestina unajulikana na aliyeitawala Palestina anajulikana.
Je unamjua aliyeitawala Israel!?
Bora hata Palestina ilikua moja ya majimbo ya hizo caliphates and sultanates ila Israel haikuwahi ku exist.
Halafu hizo himaya usiziorodheshe kwa mafungu kana kwamba zote zilitkuwepo sehemu moja.
Kila moja ilikua na mako makuu yake na Himaya yake.
Tena kuna zingine zilitokea kwa wakati mmoja zikigombania ukuu.
Why did the Quran mention Bani Israel despite Palestine being first than Zionist Israel?


Follow


Request


Answer


More
All related (40)
Recommended


Profile photo for Michael Mills


Michael Mills
·
Follow
Worked at Australian Public Service (1973–2001)Feb 5
Jews and supporters of Israel often claim that the Qur’an states that “Holy Land” (al-ard al-muqaddasa) was given by God to the Israelites (Bani Israil). The part of the Qur’an that they quore in support of that claim is the 5th Sura, Al-Ma’idah (the Dining table).
In that Sura, Muhammad speaks at length about how Moses was sent as a prophet to the Jews bringing a revelation to them that was essentially the same as the revelation that Muhammad was making to the Arabs, and how the Israelites disobeyed Moses and as a result lost the favour of God, and were denied entry to the Holy Land.
It is worth quoting the relevant verses of Surat al-Ma’idah in extenso.
5:12 And Allah had already taken a covenant from the Children of Israel, and We delegated from among them twelve leaders. And Allah said, "I am with you. If you establish prayer and give zakah and believe in My messengers and support them and loan Allah a goodly loan, I will surely remove from you your misdeeds and admit you to gardens beneath which rivers flow. But whoever of you disbelieves after that has certainly strayed from the soundness of the way."
5:13 So for their breaking of the covenant We cursed them and made their hearts hard. They distort words from their [proper] usages and have forgotten a portion of that of which they were reminded. And you will still observe deceit among them, except a few of them. But pardon them and overlook [their misdeeds]. Indeed, Allah loves the doers of good.
Verses 14 to 17 concern the Christians.
5:18 But the Jews and the Christians say, "We are the children of Allah and His beloved." Say, "Then why does He punish you for your sins?" Rather, you are human beings from among those He has created. He forgives whom He wills, and He punishes whom He wills. And to Allah belongs the dominion of the heavens and the earth and whatever is between them, and to Him is the [final] destination.
5:19 O People of the Scripture, there has come to you Our Messenger to make clear to you [the religion] after a period [of suspension] of messengers, lest you say, "There came not to us any bringer of good tidings or a warner." But there has come to you a bringer of good tidings and a warner. And Allah is over all things competent.
5:20 And [mention, O Muhammad], when Moses said to his people, "O my people, remember the favor of Allah upon you when He appointed among you prophets and made you possessors and gave you that which He had not given anyone among the worlds.
The next verse, 5:21, is the one that is quoted as God giving the Holy Land to the Israelites. Note that it consists of words spoken by Moses, not God, so the words “my people” means the people of Moses.
5:21 O my people, enter the Holy Land which Allah has assigned to you and do not turn back [from fighting in Allah 's cause] and [thus] become losers."
The following verses show the Israelites disobeying Moses, and as a punishment not being allowed to enter the Holy Land.
5:20 And [mention, O Muhammad], when Moses said to his people, "O my people, remember the favor of Allah upon you when He appointed among you prophets and made you possessors and gave you that which He had not given anyone among the worlds.
The next verse, 5:21, is the one that is quoted as God giving the Holy Land to the Israelites. Note that it consists of words spoken by Moses, not God, so the words “my people” means the people of Moses.

5:21 O my people, enter the Holy Land which Allah has assigned to you and do not turn back [from fighting in Allah 's cause] and [thus] become losers."
The following verses show the Israelites disobeying Moses, and as a punishment not being allowed to enter the Holy Land.
يَـٰقَوْمِ ٱدْخُلُوا۟ ٱلْأَرْضَ ٱلْمُقَدَّسَةَ ٱلَّتِى كَتَبَ ٱللَّهُ لَكُمْ وَلَا تَرْتَدُّوا۟ عَلَىٰٓ أَدْبَارِكُمْ فَتَنقَلِبُوا۟ خَـٰسِرِينَ ٢١
my people! Enter the Holy Land which Allah has destined for you ˹to enter˺. And do not turn back or else you will become losers
5:22 They said, "O Moses, indeed within it is a people of tyrannical strength, and indeed, we will never enter it until they leave it; but if they leave it, then we will enter."
5:23 Said two men from those who feared [to disobey] upon whom Allah had bestowed favor, "Enter upon them through the gate, for when you have entered it, you will be predominant. And upon Allah rely, if you should be believers."
5:24 They said, "O Moses, indeed we will not enter it, ever, as long as they are within it; so go, you and your Lord, and fight. Indeed, we are remaining right here."
5:25 [Moses] said, "My Lord, indeed I do not possess except myself and my brother, so part us from the defiantly disobedient people."
5:26 [ Allah ] said, "Then indeed, it is forbidden to them for forty years [in which] they will wander throughout the land. So do not grieve over the defiantly disobedient people.
 
Al maktoum Quran 5.21

my people! Enter the Holy Land which Allah has destined for you ˹to enter˺. And do not turn back or else you will become losers
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Wazungu hamenj kwenye eneo la watu ,hapo mlitakiwa kueleza hao Palestines wameshushwa kutoka angani au?
 
my people! Enter the Holy Land which Allah has destined for you ˹to enter˺. And do not turn back or else you will become losers
Unapenda ku copy na paste vitu pasi na kufahamu nini vinamaanisha.
Je hiyo holy land ndio Israel!??
Lete sehemu ambayo inaonesha kuwa kuna ardhi ama taifa la Israel.
Hapo inazungumziwa ardhi takatifu sio taifa la Israel.
 
Back
Top Bottom