Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
 
Msikilize huyu Msaudi Arabia akiwaambia kuwa hiyo Al Aqsa Mosque wanayosema ni ile ya Jerusalem ni UONGO. Anasema kuna huo Msikiti ndani ya Saudi Arabia yenyewe na siyo huko Israel. Anaongezea kusema kuwa itakuaje mtume alienda kwenye msikiti huo Jerusalem wakati Msikiti ulijengwa 682 na Mtume alikufa 632?

View: https://x.com/CherylWroteIt/status/1847368757846675643

Al aqsa ilijengwa miaka mingi baada ya Mohammed kufa kuna propaganda zaidi ya ukweli
 
Binadamu kaumbwa kwa udongo , sio minyoo
Evolution occurs when species change over time through a process called natural selection. This means that individuals in a population have small differences in traits, like color or size, due to random genetic mutations. If a trait helps an individual survive and reproduce in its environment—such as being better camouflaged from predators or needing less water—it’s more likely that this trait will be passed down to future generations. Over many generations, these advantageous traits become more common, gradually changing the species.

Adaptation is the result of evolution and refers to the traits that help an organism survive and thrive in its specific environment. For example, a polar bear's thick fur is an adaptation for surviving cold climates. Adaptations can be physical, like changes in body structure, or behavioral, like migratory patterns in birds.

When the environment changes—due to climate shifts, new predators, or other factors—species must adapt to these new conditions to survive. Those individuals with traits better suited to the new environment will likely reproduce more, and their traits become more common over generations. If a species cannot adapt, it may become extinct. Evolution and adaptation together explain the incredible variety of life on Earth and how organisms have developed specialized traits to live in different environments.
 
Evolution occurs when species change over time through a process called natural selection. This means that individuals in a population have small differences in traits, like color or size, due to random genetic mutations. If a trait helps an individual survive and reproduce in its environment—such as being better camouflaged from predators or needing less water—it’s more likely that this trait will be passed down to future generations. Over many generations, these advantageous traits become more common, gradually changing the species.

Adaptation is the result of evolution and refers to the traits that help an organism survive and thrive in its specific environment. For example, a polar bear's thick fur is an adaptation for surviving cold climates. Adaptations can be physical, like changes in body structure, or behavioral, like migratory patterns in birds.

When the environment changes—due to climate shifts, new predators, or other factors—species must adapt to these new conditions to survive. Those individuals with traits better suited to the new environment will likely reproduce more, and their traits become more common over generations. If a species cannot adapt, it may become extinct. Evolution and adaptation together explain the incredible variety of life on Earth and how organisms have developed specialized traits to live in different environments.
Huu ni utapeli hakuna la maana hapa, tulitee ule mnyoo ambao binadamu alitokea huko, halafu utuambie kwa mazingira ya sasa ameadapt kwenda kwenye kitu gani ? Evolution na adaptation ni kichaka cha kuficha uwongo wenu
 
Hujui na hujaelewa how evolutions works tatizo mnakurupuka nani alikuambia kitu kinageuka kuwa kitu kingine shule gani wewe ulifundishwa?!!
Tunataka utuletee huo mnyoo binadamu alipotokea, halafu utuambie kwa mazingira ya sasa kitu gani kinatokea? au hiyo minyoo imeisha kwasasa?
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Usijaribu kuwazuga wasiojua lolote hapa kwenye ukumbi huu, history uliyotoa umesoma kwa hao ambao leo wanatambua uwepo wa Taifa la Palestine na ndio maana kutwa kucha wanaandamana huko uzunguni kudai Free Palestine.,

Hakuna asiyejua ulimwengu mzima kwamba Middle East ni ya waarabu, na hakuna asiyejua kwamba chimbuko la Mazayni Middle East lilianzishwa ni Wazungu wa Britain baada ya World war II, mayahudi waliingizwa Middle East kama Diaspora na kuanza kukatiwa vipande vya ardhi ya Palestine mpaka walipodai kuwa sasa wapewe mamlaka kamili kwenye ardhi ya Palastine na wazungu wakafanya hivyo kwa lengo la kuidhibiti Mashariki ya kati na rasmi 1948 wakatanga Taifa bandia la Israel ata babu yako anaelewa umri wa taifa bandia la Israel kabla hakuku na Taifa liitwalo Israel.

Hiyo mistrari unayosoma kwenye biblia ilipenyezwa ni US na magharibi kutaka kuwaaminisha wakiristo duniani kwamba Taifa la Israel ni taifa la Mungu hivyo wawaunge mkono ni wenzao ndio mana leo wakiristo wengi wanaiunga mkono Israel lakini hawaelewi kwamba Israel dini yao si Christian dini yao ni Judaism na yesu wanamtemea mate na kumtukana.

Na kwa sababu wanajua hili ni Taifa bandia wao walilisimika kudhibiti mashariki ya kati ndio mana waliinyima mamlaka Palestine kuwa na Jeshi lao kama nchi na wakaahidi kwenye katiba zao US na magharibi watalilinda Taifa la Israel kama unavyoona leo ukimgusa Israel umemshika sharubu US na nchi za ulaya, lakini zipo nchi ambazo si wanafiki wanajua na kutambua Taifa la Palestine kama Ujerumani, Australia nk.
 
Palestina imetajwa?
Mbona hata Tanzania haijatajwa ?! Siyo kazi ya Quran kutaja majina ya nchi zote zilizopo duniani.!!.
Katika Suurat Al hujurati Allaah anasema ". Hakika sisi tumekuumbeni kutokana na mwanaume mmoja (Adamu) na mwanamke mmoja (Hawaa) na tumekufanyeni makabila na mataifa mbalimbali ili mjuane , Hakika aliye mbora wenu zaidi mbele ya ya Allaah ni yule mwenye kumcha Allaah zaidi." .
Kutajwa na kutokutajwa hakumaanishi ubora wowote kwani hata IBILISI NA FIRAUNI WAMETAJWA SANA KATIKA QURAN katika sura tafauti tafauti na kutajwa kwao hakumaanishi kuwa wana ubora wa aina yoyote mbele ya Allaah.
 
Kiarabu: Filasṭīn

Kiebrania: Palestina



Neno Palestina lililopewa na waandishi wa Kigiriki katika karne ya 12 BC walichukua (kuitawala) sehemu ndogo ya ardhi kwenye pwani ya kusini, kati ya maeneo ambayo sasa ni Tel Aviv–Yafo na Gaza. Baadae Jina hilo lilifufuliwa na Warumi

ulizo taja ni empire zenye nguvu zilizotawala hazikuwai kuwa inchi na zilitoka maeneo tafauti na ziliwakuta wenyeji amabao ni Palestinians Wapalestina walikuwa wenyeji, wenyeji asilia ya Ottoman empire iliyodhibitiwa na Palestina. Hakukuwa na kitu kama Israeli wakati Wapalestina walizaliwa katika nchi ambayo walikuwa asili yao na Madai ya kwamba walikuwa wahamiaji tu ni masimulizi ya uwongo
kuhalalisha kuwanyang'anya watu mali na utakaso wa kikabila, na sensa za watu kipindi Cha Ottoman empire na Uingereza zinapingana

1850-1851, idadi ya watu ilikuwa 340,000. Waislamu (ambao walikuwa ma babu na babu wa Wapalestina wa kisasa Waislamu) walikuwa 300,000, Wakristo walikuwa 27,000, na walikuwa mababu wa Wapalestina Wakristo, na Wayahudi walikuwa 13,000.

Kufikia 1947, idadi ya Wayahudi ilikuwa 33% ya idadi ya watu. Idadi ya Wayahudi ilitokaje kutoka 4-5% ya idadi ya watu hadi 33%? Ilikuwa ni uhamiaji mkubwa.
Kwa hivyo uhamiaji haukuwa sana kutoka kwa Waarabu au Wapalestina, ulitoka kwa Wayahudi waliotoka nje ya Palestina. Mara nyingi inadaiwa kinyume chake, lakini rekodi za Imperial ya Ottoman na Uingereza zinaonyesha utofauti .Waarabu wa Palestina ni wazi walikuwa tayari huko na wenyeji wa kuzaliwa

Hakukuwa na Ichi iliyoitwa Lebanon 1930. Je, ilimaanisha kuwa Walebanon hawakuwa wenyeji wa nchi yao? ,majina ya inchi yanatungwa au yanabadishwa lakini haiondoi haki za wakazi kuwa wenyeji ikiwa wenye asili Yao
 
17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.
Nilisubiri nione ujinga wako!! Eti individual states haikua na makabila? Je makabila kama caphtorites, Casluh, Rephaites, Hivites, Gilgashites walikua sio wakazi wa hapo?

Hao kina Yakobo umepotosha, walitokea mesopotamia huko kwa babu yao Abraham wakavamia nchi kama tu Uingereza ilivyovamia Tanzania je utasema waingereza ni wakazi halali wa Tanzania?

Empty brains kabisa, hata Tanganyika haikuwahi kuwa taifa kabla ya 1960s je inahalalisha mgeni kuichukua Tanzania?
 
17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.
Nilisubiri nione ujinga wako!! Eti individual states haikua na makabila? Je makabila kama caphtorites, Casluh, Rephaites, Hivites, Gilgashites walikua sio wakazi wa hapo?

Hao kina Yakobo umepotosha, walitokea mesopotamia huko kwa babu yao Abraham wakavamia nchi kama tu Uingereza ilivyovamia Tanzania je utasema waingereza ni wakazi halali wa Tanzania?

Empty brains kabisa, hata Tanganyika haikuwahi kuwa taifa kabla ya 1960s je inahalalisha mgeni kuichukua Tanzania?
 
Kwanini wewe ulitaka aseme palestina wakati yeye alipaa akiwa Yerusalemu. Kuna ulazima wa kusema nilala kilimanjaro? wakati kiuhalisia ulilala Moshi.
Muhammed hajawahi kwenda Jerusalem kupaa bali alioteshwa kwenye ndoto.
 
Back
Top Bottom