Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hii ni hoja yenye kueleza kuhusu historia ya eneo ambalo leo linajulikana kama Palestina na Israel kwa mtazamo wa kihistoria, lakini kuna masuala kadhaa yanayohitaji kufafanuliwa zaidi ili kupata uelewa kamili wa historia ya eneo hili, ambalo limekuwa na utawala mbalimbali kwa kipindi kirefu.

Kuhusu Neno “Palestina”: Neno "Palestina" limekuwa likitumika kwa maelfu ya miaka kurejelea eneo la pwani ya mashariki ya Bahari ya Mediterania, ambayo leo ni Israel, Palestina, na sehemu za Lebanon na Syria. Hata kabla ya enzi ya Uingereza na Ottoman, jina hili lilitumika sana. Kwa mfano, Wagiriki na Warumi walitumia jina "Palestina" kwa eneo hili na jina hilo liliendelea kutumika, hasa baada ya Warumi kuliita eneo hili "Provincia Palaestina" mwaka 135 CE baada ya vita na Wayahudi.

Ukosefu wa Taifa la Kijamii Lililojitegemea: Historia inathibitisha kwamba eneo la Palestina na Israel ya sasa limewahi kuwa chini ya tawala nyingi za kigeni, kama vile Misri ya kale, Milki ya Babeli, Milki ya Kirumi, na Milki ya Ottoman. Lakini, hili halimaanishi kuwa watu wa Kipalestina hawakuwepo. Kwa mfano, majina ya maeneo kama vile Yeriko na Gaza yamekuwepo kwa muda mrefu sana, na jamii zimekuwa zikiishi katika maeneo haya kwa maelfu ya miaka.

Muundo wa Kisasa wa Taifa la Israel: Taifa la Israel la kisasa liliundwa mwaka 1948 baada ya Umoja wa Mataifa kupitisha Azimio la mgawanyo wa eneo la Palestina (Partition Plan) mwaka 1947, na kusababisha mgawanyiko wa eneo hilo kati ya taifa la Kiyahudi na Kiarabu. Hata hivyo, uundwaji wa Israel haukufuta uwepo wa watu wa Kipalestina ambao wameishi katika eneo hilo kwa vizazi vingi.

Swali la Utaifa wa Palestina: Palestina haikuwa taifa la kisasa na lenye mipaka na utawala wake rasmi kabla ya karne ya 20 lakini hilo halimaanishi kuwa hapakuwa na watu wa Kipalestina au utamaduni wa Kipalestina. Utambulisho wa Palestina kama utaifa wa kisasa ulianza zaidi katika karne ya 19 na 20 kutokana na vuguvugu la utaifa katika Mashariki ya Kati.

Kuhusu Haki za Ardhi na Migogoro: Mgogoro wa Israel na Palestina si tu suala la kihistoria bali ni suala la kisasa, linalotokana na migongano ya kidini, kisiasa, na kijamii, na kudai haki juu ya ardhi. Umoja wa Mataifa na nchi mbalimbali duniani zinaamini kuwa haki za mataifa haya mawili zinahitaji kuheshimiwa kwa msingi wa haki na usawa kwa jamii zote.

ILA SIJAMPINGA MTOA MADA..Ingawa ni kweli kwamba Palestina haijawahi kuwa taifa lenye mipaka na utawala kamili kwa kipindi kirefu cha historia yake eneo hili lina historia ndefu na tamaduni nyingi zilizojengeka kwa vizazi kadhaa. Jina "Palestina" lilitumika kwa muda mrefu kuwakilisha eneo hili, na kuwepo kwa jina hilo si suala la kizazi cha sasa pekee. Hoja ya kihistoria haiwezi kuwa sababu ya kuamua madai ya kisasa ya ardhi au haki za kisiasa bila kuzingatia changamoto za kisasa zinazokumba pande zote mbili.
 
Lilikuwa Jerusalem kwenye eneo la Temple Mount Historia inasema lilibomolewa kwa mara ya pili.

Nasasa mahala pake umejengwa Msikiti wa Al Aqsa na Beitul Maqdis.
Yeah mpaka Hapo Umekuwa Muwazi..
Hekalu lilivunjwa Mwaka 70.AD na lilijengwa Msikiti Kipindi cha Mtume au Islamic State au Islamic Empire..
 
Yeah mpaka Hapo Umekuwa Muwazi..
Hekalu lilivunjwa Mwaka 70.AD na lilijengwa Msikiti Kipindi cha Mtume au Islamic State au Islamic Empire..
Huo Msikiti ulijengwa wakati wa Umayad Caliphate miaka mingi baada ya Mohamed kufa hata hiyo Story iliyomo kwenye Quruani inaonekana ni ya kutunga haina ukweli wowote.

Ila hawa Waumini wa Kiislamu ukiwaambia wanakuwa ni wakali sana sijui ni kwa nini.
FaizaFoxy
 
Huo Msikiti ulijengwa wakati wa Umayad Caliphate miaka mingi baada ya Mohamed kufa hata hiyo Story iliyomo kwenye Quruani inaonekana ni ya kutunga haina ukweli wowote.

Ila hawa Waumini wa Kiislamu ukiwaambia wanakuwa ni wakali sana sijui ni kwa nini.
FaizaFoxy
Hiyo sio Quran ni Hadith za Mtume chief kwenye Quran hakuna Masimulizi ya Mtume
 
Kwa wakati huyo taifa la Saudi Arabia au Syria zilikuwepo? Mbona leo ni nchi?
Israel predates the Holly Quran hutaki acha na kwenye Biblia Israel imetajwa kama nchi au Falme
 
History Logo


  1. Home
  2. Topics
  3. Middle Eastern History
  4. Israel

Israel​

By: History.com Editors
Updated: October 10, 2023 | Original: June 30, 2017
copy page link
The Timna Valley, Israel.
DEA / C. SAPPA/Getty Images

Table of Contents​

  1. Early History of Israel
  2. King David and King Solomon
  3. The Balfour Declaration
  4. Conflict Between Jews and Arabs
  5. The Zionism Movement
  6. Israeli Independence
  7. Arab‑Israeli War
  8. Arab‑Israeli Conflict
  9. Israel Today
  10. The Two‑State Solution
  11. Sources:
Israel is a small country in the Middle East, about the size of New Jersey, located on the eastern shores of the Mediterranean Sea and bordered by Egypt, Jordan, Lebanon and Syria. The nation of Israel—with a population of more than 9 million people, most of them Jewish—has many important archaeological and religious sites considered sacred by Jews, Muslims and Christians alike, and a complex history with periods of peace and conflict.

Early History of Israel​

Much of what scholars know about Israel’s ancient history comes from the Hebrew Bible. According to the text, Israel’s origins can be traced back to Abraham, who is considered the father of Judaism (through his son Isaac) and Islam (through his son Ishmael) and Christianity (through Isaac).
Abraham’s descendants were thought to be enslaved by the Egyptians for hundreds of years before settling in Canaan, which is approximately the region of modern-day Israel.
The word Israel comes from Abraham’s grandson, Jacob, who was renamed “Israel” by the Hebrew God in the Bible.

King David and King Solomon​

King David ruled the region around 1000 B.C. His son, who became King Solomon, is credited with building the first holy temple in ancient Jerusalem. In about 931 B.C., the area was divided into two kingdoms: Israel in the north and Judah in the south.
Around 722 B.C., the Assyrians invaded and destroyed the northern kingdom of Israel. In 568 B.C., the Babylonians conquered Jerusalem and destroyed the first temple, which was replaced by a second temple in about 516 B.C.
For the next several centuries, the land of modern-day Israel was conquered and ruled by various groups, including the Persians, Greeks, Romans, Arabs, Fatimids, Seljuk Turks, Crusaders, Egyptians, Mamelukes, Islamists and others.

The Balfour Declaration​

From 1517 to 1917, what is today Israel, along with much of the Middle East, was ruled by the Ottoman Empire.
But World War I dramatically altered the geopolitical landscape in the Middle East. In 1917, at the height of the war, British Foreign Secretary Arthur James Balfour submitted a letter of intent supporting the establishment of a Jewish homeland in Palestine. The British government hoped that the formal declaration—known thereafter as the Balfour Declaration—would encourage support for the Allies in World War I.
When World War I ended in 1918 with an Allied victory, the 400-year Ottoman Empire rule ended, and Great Britain took control over what became known as Palestine (modern-day Israel, Palestine and Jordan).
The Balfour Declaration and the British mandate over Palestine were approved by the League of Nations in 1922. Arabs vehemently opposed the Balfour Declaration, concerned that a Jewish homeland would mean the subjugation of Arab Palestinians.
The British controlled Palestine until Israel, in the years following the end of World War II, became an independent state in 1947.

Conflict Between Jews and Arabs​

Throughout Israel’s long history, tensions between Jews and Arab Muslims have existed. The complex hostility between the two groups dates all the way back to ancient times when they both populated the area and deemed it holy.

Both Jews and Muslims consider the city of Jerusalem sacred. It contains the Temple Mount, which includes the holy sites al-Aqsa Mosque, the Western Wall, the Dome of the Rock and more.

Much of the conflict in recent years has centered around who is occupying the following areas:

  • Gaza Strip: A piece of land located between Egypt and modern-day Israel.
  • Golan Heights: A rocky plateau between Syria and modern-day Israel.
  • West Bank: A territory that divides part of modern-day Israel and Jordan.
 
H

Holly land which Allah has bestowed to you (Children of Israel)
Hamna cha context msipindisha Quran mnayoiamini
Swali simple JE IMETAJWA NCHI YA ISRAEL AU ARDHI TAKATIFU!??
Mbona unaruka ruka kijana😂😂😂😂
 
Swali simple JE IMETAJWA NCHI YA ISRAEL AU ARDHI TAKATIFU!??
Mbona unaruka ruka kijana😂😂😂😂
Enter the land and don't turn?! What do you were then planning after entering? or what had God commanded them to do?
Kuna sehem ya Quran inapinga utaifa wa Israel!!?
 
Enter the land and don't turn?! What do you were then planning after entering? or what had God commanded them to do?
Kuna sehem ya Quran inapinga utaifa wa Israel!!?
Lete hapa palipoandikwa TAIFA LA ISRAEL??
Mbona ni swali rahisi sana?
Ndio maana nikakwambia shida yako ni C&P halafu huna ulielewalo.
 
Back
Top Bottom