Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Kusema wasamaria pia walikuwa wayahudi hapo ndipo natapata mkanganyiko.

Kila kabila lipate eneo leke kadri ilivyofaa.
Yes, Samaritans au Wasamaria ni descendants kutoka Kwa Israelites yaani Wana Wa Israel but they are not considered to be Jewish...
Hapo Sijui Unanielewa Nikisema Hivyo

Wasamaria ni wale Waisrael waliobaki Samaria baada ya Assyrian Empire (Shamu) kuwakuyuga northern Kingdom of Israel around 720 BCE.

Samaritans practice Samaritanism, an Abrahamic monotheistic religion that is similar to Judaism. The Samaritans' primary sacred text is the Samaritan Pentateuch, which they believe is the original and unaltered Torah.

Na Wasamaria Ni watoto wa Yakobo Kabila Mbili za watoto wa Yakobo yaani Ephraim na Mannase nadhani unawajua hao watoto wa Yakobo..
 
Scientists estimate that the universe is 13.8 billion years old by combining data from multiple sources, including:
  • Cosmic microwave background (CMB)
    The leftover light from the Big Bang. By measuring how far away the scattered light is, scientists can estimate the age of the universe.




  • Globular clusters
    These dense collections of stars formed at roughly the same time, so they can be used as cosmic clocks. By looking at the cooler, fainter stars that remain, scientists can estimate the age of the universe.










    • Friedmann equations
      These equations relate how the universe has expanded over time to how fast it's expanding today.




    • Hubble constant
      This describes the expansion of the universe.
Kwa maelezo haya hakuna anae jua Dunia vizuri
 
Nimesoma hakuna uthibitisho wowote labda wewe unaweza kuuleta
All animals share a single common ancestor, which was likely a single-celled organism similar to modern-day choanoflagellates. Choanoflagellates are microscopic eukaryotes that live in water and have a collar-shaped structure and a single whip-like flagellum.












Here are some other key points about the ancestors of all animals:
  • The earliest known ancestor of most animals today is the wormlike creature Ikaria wariootia, which lived 555 million years ago in Australia. Ikaria wariootia had bilateral symmetry, which is a property shared by 99% of animals today.












  • The first split in the animal lineage separated the ancestors of today's sponges from all other species. Sponges lack a nervous system and muscles, which other animals have.






  • Later, the common ancestor of non-sponge animals evolved muscles and neurons, allowing them to move around.






  • The muscle-and-neuron-carrying animals then split into two main lineages: cnidarians, which includes jellyfish, and bilaterians.
 
All animals share a single common ancestor, which was likely a single-celled organism similar to modern-day choanoflagellates. Choanoflagellates are microscopic eukaryotes that live in water and have a collar-shaped structure and a single whip-like flagellum.











Here are some other key points about the ancestors of all animals:
  • The earliest known ancestor of most animals today is the wormlike creature Ikaria wariootia, which lived 555 million years ago in Australia. Ikaria wariootia had bilateral symmetry, which is a property shared by 99% of animals today.










  • The first split in the animal lineage separated the ancestors of today's sponges from all other species. Sponges lack a nervous system and muscles, which other animals have.




  • Later, the common ancestor of non-sponge animals evolved muscles and neurons, allowing them to move around.




  • The muscle-and-neuron-carrying animals then split into two main lineages: cnidarians, which includes jellyfish, and bilaterians.
Mkuu ndio maana nikakwambia huu ni upuuzi , hakuna akili itakubali huu ujinga
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Former President Clinton, alizungumza wakati wa kampeni ya Kamala Harris, ameamua kuwatolea uvivu wapalestina na Yassier Arafat wao Kuwa walimdanganya kuhusu Yale maku baliami ya amani ya Oslo.

View: https://x.com/emilykschrader/status/1852274754821947903
 
Hii chai wametia sukari nyingi mpaka huwezi kunywa
Niliwahi muuliza mtu mahali fulani ...tusubiri miaka mingapi watu watokee toka kwenye Eukaryotes tuje kuishi nao ?
Alibaki kuangua kicheko tu, Kisha akaniambia Sayansi na mwanasayansi mkuu wanakutaka wewe mfuataji u-obey.
Just OBEY kile wanasema.
 
Waliosoma mpaka form six wanafahamu namna gani taifa la israeli liliundwa kwa msaada mkubwa wa mataifa ya magharibi. Palestine zamani ilikaliwa na uingereza na hivyo basi kabla ya hapo kuna mikataba lukuki ilifanyika ili kuboresha namna ya kuhalalisha ukaliwaji wa wa palestine dhidi ya taifa la israel. Hakuna hata sehemu moja katika dunia katika documentary yoyote inayoruhusu taifa moja kulikalia taifa jingine kwa mabavu kwa maslahi ya mataifa makubwa ya magharibi. HII NI MAUAJI YA HALAIKI MAUAJI HAYA NI KINYUME CHA SHERIA ZA KIMATAIFA NA SISI KUUNGA MKONO MAUAJI YOYOTE KWA WATU MADHULUMU WATOTO ,WANAWAKE WAZEE KWA HALI YOYOTE ILE BILA KUJALI NI WATU WA ITIKADI YA DINI GANI. KUFANYA HIVYO NI HATUA YA UWENDAWAZIMU NA SIO HATUA YA URAZINI UBINADAMU
Wewe mbumbumbu kweli. Heni msikilize musiłam Halisi akupe elimu

View: https://x.com/VividProwess/status/1845209854094328073
 
Niliwahi muuliza mtu mahali fulani ...tusubiri miaka mingapi watu watokee toka kwenye Eukaryotes tuje kuishi nao ?
Alibaki kuangua kicheko tu, Kisha akaniambia Sayansi na mwanasayansi mkuu wanakutaka wewe mfuataji u-obey.
Just OBEY kile wanasema.
Hawana tofauti na wale binadamu alikuwa sokwe, lakini masokwe tunao na hakuna mabadiliko yeyote kuwa binadamu
 
Israeli imetajwa wapi kwenye Quran kuwa ni taifa?! Acheni kuzungumza mambo msiyokuwa na elimu nayo! Wengi wenu hiyo Quran hata kuishika hamjui lakini mmekaa kuisingizia mambo ya uongo tu.
بنو إسرائيل ( banuu Iraaiyl, watoto au kizazi cha Israaiyl ambaye ni Nabii Yaaquwb) wametajwa kama kabila na siyo taifa wala siyo nchi.
Kwani kuna ufahari gani au muhimu gani kuishika na kuijua hicho kitabu kilichohifadhi mila za kiarabu (uislamu)?
 
Back
Top Bottom