Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Musa hakuwa Muislam na Jina lake halikuwa Musa
MUSA jina lake Ni Moshe hayo majina mengine ni Yaliyotoholewa..

Musa alikuwa Muisrael aliyefundishwa kwenye Dini ya Misri na kulelewa kama Mwana mfalme..
Na baadae Musa alikuwa ni Miongoni mwa Wakombozi wa BaniIsra..

Ila kama anamaanisha Musa alikuwa Ni Mu'Islam ni kweli Maana Islam maana Yake Ni Mnyenyekevu au Kunyenyekea Ni kweli Musa alikuwa Mnyenyekevu Mbele ya Mungu ila hakuwahi kuwa Muislm kama Dini
Uislam ni unyenyekevu kwa Mungu mmoja muumba wa kila kitu na kuamini akhera,dini ya kiyahudi haiamini akhera na ilikuja baada ya musa kuondoka
 
Musa alikuwa muislam aaahaahaaa uislam huu wa juz juz hapa ambao muhamad muanzilish aliwakuta hata nduguze wakiwa wakristo aahaah huu huu unaoenezwa kwa mtutu wa bunduki au mwngne
Musa hakuwa myahudi, uyahudi ulianzishwa baada ya yeye kuondoka, unaelewa uislam ni nini?
 
Hilo kabila orijin yake ni wapi? Walikuwa wanaishi wapi?
Israeli imetajwa wapi kwenye Quran kuwa ni taifa?! Acheni kuzungumza mambo msiyokuwa na elimu nayo! Wengi wenu hiyo Quran hata kuishika hamjui lakini mmekaa kuisingizia mambo ya uongo tu.
بنو إسرائيل ( banuu Iraaiyl, watoto au kizazi cha Israaiyl ambaye ni Nabii Yaaquwb) wametajwa kama kabila na siyo taifa wala siyo nchi.
o
 
Naona neno CHRIST linawakera sana bwana britanicca siku hiz nyie ma atheists ndio maana mmeacha kutumia BC (Before christ) mmehania kwenye BCE (Before Common Erra).
Bado itabaki ukwel ule ule, kuzaliwa kwa Christ ndio game changer kwenye time refference na kuhesabu miaka.
 
Naona neno CHRIST linawakera sana bwana britanicca siku hiz nyie ma atheists ndio maana mmeacha kutumia BC (Before christ) mmehania kwenye BCE (Before Common Erra).
Bado itabaki ukwel ule ule, kuzaliwa kwa Christ ndio game changer kwenye time refference na kuhesabu miaka.
Wazungu wameachana na Mungu mtu,CE-current erra
 
Punguza ujinga wako. Musa was a Levite..
A pure jewish blood, descendant of Levi son of Jacob and grandson of Ibrahim
Ibrahim na jacob hawakuwa wayahudi,jacob alikua ndiye israel baada ya kumpigapiga ngwala Mungu aliposhuka duniani,dini ya kiyahudi ilianzishwa baada ya musa kuondoka, ibrahim hakuwa muisrael bali muiraq wa Ur huko ukaldayo
 
Uislam ni unyenyekevu kwa Mungu mmoja muumba wa kila kitu na kuamini akhera,dini ya kiyahudi haiamini akhera na ilikuja baada ya musa kuondoka
Dini ya Kiyahudi Haiamini Akhera wala Siku ya Hukumu wala Siku ambayo watu watasimamishwa..

Imani hiyi ipo kwenye dini Mbili peke yake Ukristo na Uislamu peke yake..

Unajua kwanini??

Kwa sababu hakuna Maandiko Yanayosuport Uwepo Wa Kiama
 
Ibrahim na jacob hawakuwa wayahudi,jacob alikua ndiye israel baada ya kumpigapiga ngwala Mungu aliposhuka duniani,dini ya kiyahudi ilianzishwa baada ya musa kuondoka, ibrahim hakuwa muisrael bali muiraq wa Ur huko ukaldayo
U r very right about Ibrahim na umenifanya nifungue jicho nikatafit zaidi. But i agree with you about Ibrahim. He was from Ur migrated to Canaan and started his lineage of Jewish people. Thank you. I need to study more about this
 
Bado haiondoi ukwel, utabak pale pale, Christ alipozaliwa tu, changed everything wakubali wakate.
Changed everything ipi?..wayahudi wanna kalenda yao haihusiani na yesu, kadhalika wahindi na wachina,kalenda ya Gregory ni miaka mingi baada ya yesu,kwenye kalenda katumika kama historical figure,yaani kama uanzishe kalenda baada ya el nini au kufa kwa nyerere, nothing special
 
Naona neno CHRIST linawakera sana bwana britanicca siku hiz nyie ma atheists ndio maana mmeacha kutumia BC (Before christ) mmehania kwenye BCE (Before Common Erra).
Bado itabaki ukwel ule ule, kuzaliwa kwa Christ ndio game changer kwenye time refference na kuhesabu miaka.
But Mkuu Yesu Amezaliwa 6-4 BCE..

Nilitegemea Labda Angezaliwa Kwenye 1 AD ingesound Not Fabre/Fabricated

Na aliyeanzisha Hizi Naming system alikuwa anaitwa Father Dionysius Exiguus kwenye 6th century hapo yaani Kati ya Miaka 501 mpaka 600..

Kwanza alikuwa Padre/Kiongozi wa Kanisa pili Haikuwa Naming maarufu mpaka pale Rumi walipoona Inafaa na Kuipitisha Rasmi Kisiasa..
Ajabu ni kwamba Israel,China,Wahindi haitumiki kabisa
 
Hoja zingine ni za kijinga,kwani kabla ya 1961 kulikuwa na Taifa linaitwa Tanganyika?
Ila kulikuwa na watu katika eneo hilo ambapo badaye walikuja kupata uhuru na kuunda Taifa la Tanganyika.

Haiwezekani ukusanye watu kutoka eneo A uwapeleke eneo B kisha hao watu waunde Taifa,huku watu waliokiwepo hapo toka awali wakataliwe kuunda Taifa.
Umemaliza kila kitu
 
HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya

1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.

2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.

3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.

4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.

5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.

6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.

7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.

8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.

9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.

10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.

11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.

12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.

13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.

14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.

15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.

16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.

17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.

Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.

View attachment 3139944

Anaandika TAT kule Twitter (X)
Historia ya kubuni Ili mradi tu palestina adhulumiwe ardhi yake, Mungu yupo pamoja nao anawatambua ndio maana pamoja na kuchangiwa na nchi tatu kubwa duniani lakini wameendelea kuwa tishio kwa israel!
 
Back
Top Bottom