Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

TANAKH au Mnaita Biblia Agano la Kale na Support ya Maandiko mengi Kama Talmud na midrash hazioneshi..
Hayo maandiko ndiyo Quran inasema yametiwa mikono,hao jamaa waliichonga ndama wamfanye Mungu wakati musa yupo hawashindwi kuzua mambo baada ya musa kuondoka
 
Waacheni wafilisti waishi kwani walimkosea nini Mungu, maana kuna sehemu kwenye biblia, agano la kale Mungu aliwaambia waisrael wawaue wafilisti wote asibaki hata mmoja wakati huo mtawala wa Israel Sauli, lakini yeye hakutii, Mungu akawambia itakuwa miiba kwenu na kweli ukifatilia yani Israel na Palestina vita yao haiishi na haita isha.
Ikiwa Mungu anatusihi kusamee ilikuwaje akaamuru wafilisti wote wauwawe?

Baada ya kuona Sauli amekaidi kuwauwa wafilisti kwann yy mwenyewe Mungu hakuwauwa hao wafilisti mpaka aseme kwamba itakuwa miiba kwenu milele? Ina maana ameruhusu binadamu wawatese wenzao wasiokuwa na hatia?
 
Hayo maandiko ndiyo Quran inasema yametiwa mikono,hao jamaa waliichonga ndama wamfanye Mungu wakati musa yupo hawashindwi kuzua mambo baada ya musa kuondoka
Tatizo ni kwamba Kungekuwa hata kuna maandiko machache kati ya Hayo yaliyotiwa Mikono wangeamini ila Hakuna support yoyote Means Hicho kitu hakipo..
Japo wao wanasiku zao za Hukumu na Kusamehewa dhambi ambazo hufanyika mwanzo na mwisho wa Mwaka wa Kiyahdi
 
Ikiwa Mungu anatusihi kusamee ilikuwaje akaamuru wafilisti wote wauwawe?

Baada ya kuona Sauli amekaidi kuwauwa wafilisti kwann yy mwenyewe Mungu hakuwauwa hao wafilisti mpaka aseme kwamba itakuwa miiba kwenu milele? Ina maana ameruhusu binadamu wawatese wenzao wasiokuwa na hatia?
Kuna matatizo mengi kwenye bible,agano la kale ni kitabu cha wayahudi, kwenye vitabu vyao wanajipa uspesho
 

Attachments

  • FB_IMG_1720978172840.jpg
    FB_IMG_1720978172840.jpg
    32.5 KB · Views: 2
Tatizo ni kwamba Kungekuwa hata kuna maandiko machache kati ya Hayo yaliyotiwa Mikono wangeamini ila Hakuna support yoyote Means Hicho kitu hakipo..
Japo wao wanasiku zao za Hukumu na Kusamehewa dhambi ambazo hufanyika mwanzo na mwisho wa Mwaka wa Kiyahdi
Ila kuna madhehebu ya kiyahudi yanaamini siku ya mwisho na maisha baada ya haya
 
Hoja zingine ni za kijinga,kwani kabla ya 1961 kulikuwa na Taifa linaitwa Tanganyika?
Ila kulikuwa na watu katika eneo hilo ambapo badaye walikuja kupata uhuru na kuunda Taifa la Tanganyika.

Haiwezekani ukusanye watu kutoka eneo A uwapeleke eneo B kisha hao watu waunde Taifa,huku watu waliokiwepo hapo toka awali wakataliwe kuunda Taifa.
Asante mdau. Mifano ipo mingi mno!
Binadamu alikuwa anahama hama sana kutokana na hali ya hewa, upatikanaji wa chakula nk nk..
Sasa Hawa wanaoitwa eti 'taifa teule' kutoka vitabu vya hadith ghafla wakwapuwe nchi ya wenzao kisa vitabu ni udhalimu, UKATILI, wizi na uporaji.
 
Nyerere siyo Mungu kuna mambo alipuyanga tu hivo kwa Palestina yeye alifuata mkumbo wa East tu
tatizo lako na wewe upo mahaba ya kikristu sana. Angalia kwenye ramani yako uliyotoa pamoja na makala yako. Unatumabia hapajawahi kuwa taifa linaitwa Palestina lakini wakati huo huo ramani yako ina PHILISTIA. SASA sijui humu jukwaani wote unatuona mazuzu au?
 
gallow bird Habari tena..

Unajua Nimecheka utanisamehe sana...
Kiukweli nisiwe Mnafiki Nimecheka..

Katika Andiko lako ulilogoogle Kuna mahali umeona Kuna Hukumu ya watakatifu au Waovu?
Kuna mahali umeona Imeandikwa Kiama? Au Imeandikwa Simply kwamba Myahudi Ana amini Akifa Anaenda Mbinguni..

Hakuna Dini ambayo Haiamini Maisha Baada ya Kufa Ila Dini zinazoamini kuna Kiama ya Wafu na Kuwa Kuna Hukumu Ya waliokufa na Hukumu ya Watakatifu ni Wakristo na Waislamu peke yake nitarudia Hii zaidi ya Mara 100

na nikufundishe kitu unapozungumzia Orthodox Judaism ndo unazungumzia Judaism hiyo in a whole..

Sasa lets Make a Simple clarification kwako..

UFUFUO NA HUKUMU

katika ukristo na Uislamu inaaminika kwamba kuna siku moja (Qiyama) Ambayo Wanadamu wote watafufuliwa na kuhukumiwa kwa Makosa Yao waliyofanya Wengine wakihukumiwa kwa Ajili ya Kwenda Mbinguni/Peponi na wengine waovu wakipelekwa Jehhanamu au Motoni..
huku Kipindi wanasubiri Hiyo siku wanakuwa Kaburini

na hii ukielezea kwa wakristo watakuelewa zaidi na hata ukielezea kwa waislamu inaonekaa ni kama smooth tu kusema hivyo...

Sasa nini Wayahudi huamini nini?

Though Wayahudi katika hili, madhehebu yao na Marabbai wamepishana Misimamo lakini wote wanakubaliana na kuafikiana kwamba Hakuna siku itakayokuwa Moja itaitwa siku ya Qiyama Au siku ya mwisho ambayo watu watahukumiwa kwa pamoja..

Na Wana Amini kuwa hakuna siku Moja Special Itakayoitwa siku ya Hukumu kwa sababu wao kila mwaka wana Sherehe moja inaitwa Rosh Hashanah
"Na wao wanaamini kuwa hiyo ndo siku ya Hukumu Kila mwaka na katika siku hiyo Mungu huangalia Dhambi na matendo ya Kila mtu aliyofanya mwaka uliopita...(Na hii hufanyika mwanzo wa mwaka wa kiyahudi)"

Na kuna Yom Kippur Siku kuu nyingine wanaamini ndo siku ambazo Mungu Hupokea Msamaha na hufanya maamuzi ya mwaka mwingine kwako kama na ndo muda ambao wao huomba toba ya kweli na hizi siku ndo wao huziita SIKU ZA HUKUMU (Judgements Days)... Ambazo ni Rosh Hashanah na Yom kippur


Zikipita hizi siku ambazo wao Huziita (Aseret Yemei Teshuva) wakiwa kwenye ni siku 10 kama sijasahau sana Huwa ni Toba zikiisha wanaanza siku nyingine zinaitwa siku za Upatanisho Yom Kippur (Days of Atonement) kwahiyo watatumia na siku hizo kuomba kupatana na Mung_ na baada ya hapa wanaanza maisha mapya ya mwaka bila dhambi..

kumbuka kwamba myahudi hatahukumiwa/ wala Hahukumiwa kwa kuwa tayari walishafanya Yom kippur na Rosh Hashanah..

So Yes wanaamini Kwamba Wakifa wanaenda Mbinguni so Do Hindu and Budha On the concepts Of Reincarnation..

Nakaribisha Maswali Young boy
 
KWanini unasema Ilibidi wafukuzwe 😅😅

Wangoni Asili yao ni Afrika ya Kusini,Amakonde asili yao ni Msumbiji, Wamakua Asili yao ni Msumbiji na Zambia, Wamasai asili yao ni Ethipia, Hakuna Kabila Tanzania Lililokuwa na Asili yake hapa..

Swali Baada ya Kupata Uhuru Tanganyika Ilibidi Tuwafukuze makabila ya Nje kwakuwa Yapo kwenye Ardhi yetu??

Pengine Hata Hatukuwahi kuikaa Ardhi hiyo ila Ni ardhi ya Kihistoria??

Nazungumzia Palestine/Paleshit/Ardhi ya wafilisti ni tofauti na Taifa la Samaria ambalo ni wayahudi waliokengeuka
Wote ilipaswa waondolewe. Na wengineo ambao hujawaweka.


Baada ya kupewa nchi israel ililazimu wawe watu wa vita mara kwa mara. Ili kuyaondoa mataifa mengine. Ili yale makabila 12.

Kusema wasamaria pia walikuwa wayahudi hapo ndipo natapata mkanganyiko.

Kila kabila lipate eneo leke kadri ilivyofaa.
 
Hivi hilo taifa la palestina wanalosema lilikuwepo kabla ya 1948 Rais/mfalme/kiongozi wake wa kwanza alikuwa nani (kabla yasir araphat)?

Je walikuwa na hela yao (currency)? Ilikuwa inaitwaje? (Archeological findings kwenye maeneo hayo zinaonyesha hela ilikuwa inaitwa 'shekel' toka kitambo. Shekel ni neno la kiyahudi)

Lugha kubwa ya taifa hilo ilikuwa ipi? Mbona wanabonga kiarabu ambacho hakina uhusiano wowote na jina la 'Yerusalem'?

Basi turudi kwenye Quran na Biblia. Hivi Palestina imetajwa mara ngapi na Israel imetajwa mara ngapi kwenye vitabu hivyo?
 
Wote ilipaswa waondolewe. Na wengineo ambao hujawaweka.


Baada ya kupewa nchi israel ililazimu wawe watu wa vita mara kwa mara. Ili kuyaondoa mataifa mengine. Ili yale makabila 12.

Kusema wasamaria pia walikuwa wayahudi hapo ndipo natapata mkanganyiko.

Kila kabila lipate eneo leke kadri ilivyofaa.
Samahani, na wewe ni kabila gani na asili yako ni wapi ili tuanze na kabila lako kulivurumisha mrudi kwenye nchi ya asili yenu. Kwa sisi Watanzania hamna mwenye asili ya Tanzania, hivyo Watanzania wote na wote watakaokuja Tanzania kwa kufuata utaratibu tutaishi wote humu humu kwa kupendana na kushirikiana.
 
Dunia imeumbwa lini?
Ulimwengu kwa maana ya Universe ulijiumba/uliumbwa Miaka Bilioni 13.8 iliyopita.

Sayari hii ya Dunia na hii Solar system tuliyomo imeumbwa na Nyota kubwa iliyolipuka miaka Bilioni 5 iliyopita.
 
sasa nani anajua kila kitu cha miaka 13.8 Bilioni iliopita?
Scientists estimate that the universe is 13.8 billion years old by combining data from multiple sources, including:
  • Cosmic microwave background (CMB)
    The leftover light from the Big Bang. By measuring how far away the scattered light is, scientists can estimate the age of the universe.






  • Globular clusters
    These dense collections of stars formed at roughly the same time, so they can be used as cosmic clocks. By looking at the cooler, fainter stars that remain, scientists can estimate the age of the universe.












    • Friedmann equations
      These equations relate how the universe has expanded over time to how fast it's expanding today.






    • Hubble constant
      This describes the expansion of the universe.

 
Back
Top Bottom