imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Uisilamu umeanza Karne ya Saba.tu,halafu Quran Inasema musa alikua muislam si myahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uisilamu umeanza Karne ya Saba.tu,halafu Quran Inasema musa alikua muislam si myahudi
Kasema nani,wewe?Uisilamu umeanza Karne ya Saba.
Acheni kusambaza ConfusionKasema nani,wewe?
Nimekuuliza kasema nani?Acheni kusambaza Confusion
Islam was established in 610 CE when the Prophet Muhammad received his first revelationNimekuuliza kasema nani?
Kasema nani?.. simple questionIslam was established in 610 CE when the Prophet Muhammad received his first revelation
Yaqeen Institute of Islamic Research.Kasema nani?.. simple question
Ndiyo msemaji wa uislam?Yaqeen Institute of Islamic Research.
Imepenya?!Hapa natakiwa kujibu kwa hoja au nikuite tu Kafiri?
Umekosa Hoja.Ndiyo msemaji wa uislam?
Katika historia nayofahamu walijikita katika viunga vya Sinai hadi mto Jordan hadi Jerusalem.Wana wa Israel waliishi wapi?
Uzi una mkanganyiko daktari.Uzi Unaukweli kwa 100%
Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana...
Mleta Mada Hongera Sana
Unaweza niletea aya Moja tu iliyoitaja Nchi Israel katika Qur’an?Nyuzi mujarab Facts tupu kwenye Quruani hakuna Palestina kwenye Arabic Language hakuna herufi "P"
Israel imetajwa mara nyingi sana kwenye Quruani.
Halafu sarafu imeandikwa kiyahudi na kiarabu.Uzi Unaukweli kwa 100%
Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana kwa ajili ya Elimu
Mleta Mada Hongera Sana..
Ila Mleta Mada britanicca nataka Kukuuliza maswali ya Kisomi kidogo ningeomba Unijibu Ukiweza..
Kama Hakukuwahi Kuwa na state au Serikali ya Palestina.. kwanini Kulikuwa na mamlaka inayoitwa Hivyo mpaka Kufikia mwaka 1948 ambapo ilivunjwa..
Ilikuwaje Kukawa na Serikali ya Palestina
ushahidi hii chini Ni leseni ya Udereva maka 1936 imeandikwa The Government of Palestine
View attachment 3139999
Ushahidi wa Pili ni currencies na Coin zinazoonyesha Mamlaka ya Nchi hiyo..
View attachment 3140003
Sawa hilo kutokea nchi gani sasa twambieIsraeli imetajwa wapi kwenye Quran kuwa ni taifa?! Acheni kuzungumza mambo msiyokuwa na elimu nayo! Wengi wenu hiyo Quran hata kuishika hamjui lakini mmekaa kuisingizia mambo ya uongo tu.
بنو إسرائيل ( banuu Iraaiyl, watoto au kizazi cha Israaiyl ambaye ni Nabii Yaaquwb) wametajwa kama kabila na siyo taifa wala siyo nchi.
Tayari nimetoa Clarification..Uzi una mkanganyiko daktari.
Kwa asiyeweza kuchambua anaweza kudhani himaya zote alizotaja mleta mada zilitokea sehemu moja ambayo inadaiwa kuitwa Palestina.
Kwani kwa mfano kwenye Historia tukataja Wasukuma Watakuwa Wanatokea nchi ya wasukuma..?Sawa hilo kutokea nchi gani sasa twambie
Ona huyu naye mropokaji mwingine.KILA KITU ALIKOPY KUTOKA JUDAISM LEO HII KAFA BADO WAFUASI KIBAO