Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Kwa hiyo Hawa Wazayuni, Wayahudi, au ' Waua YESU KRISTO, hawataki kuishi na hao Waarabu/Wapalestina?!
 
Uzi Unaukweli kwa 100%

Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana...

Mleta Mada Hongera Sana
Uzi una mkanganyiko daktari.
Kwa asiyeweza kuchambua anaweza kudhani himaya zote alizotaja mleta mada zilitokea sehemu moja ambayo inadaiwa kuitwa Palestina.
 
Uzi Unaukweli kwa 100%

Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana kwa ajili ya Elimu

Mleta Mada Hongera Sana..

Ila Mleta Mada britanicca nataka Kukuuliza maswali ya Kisomi kidogo ningeomba Unijibu Ukiweza..

Kama Hakukuwahi Kuwa na state au Serikali ya Palestina.. kwanini Kulikuwa na mamlaka inayoitwa Hivyo mpaka Kufikia mwaka 1948 ambapo ilivunjwa..
Ilikuwaje Kukawa na Serikali ya Palestina

ushahidi hii chini Ni leseni ya Udereva maka 1936 imeandikwa The Government of Palestine
View attachment 3139999

Ushahidi wa Pili ni currencies na Coin zinazoonyesha Mamlaka ya Nchi hiyo..

View attachment 3140003
Halafu sarafu imeandikwa kiyahudi na kiarabu.
Kabla waarabu na wayahudi walikua wakiishi poa sana bila tabu yeyote.
Hii zionism movement ndio imekuja kuleta balaa pale mashariki ya kati.
 
Israeli imetajwa wapi kwenye Quran kuwa ni taifa?! Acheni kuzungumza mambo msiyokuwa na elimu nayo! Wengi wenu hiyo Quran hata kuishika hamjui lakini mmekaa kuisingizia mambo ya uongo tu.
بنو إسرائيل ( banuu Iraaiyl, watoto au kizazi cha Israaiyl ambaye ni Nabii Yaaquwb) wametajwa kama kabila na siyo taifa wala siyo nchi.
Sawa hilo kutokea nchi gani sasa twambie
 
Back
Top Bottom