Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Lugha nyingine za kaananin zilikufa baada ya uislamu na tamaduni za kiarabu kusambaa fahamu wayahudi ndo jamii pekee iliyokataa uislamu na tamaduni za waarabu ndo maana mpaka leo lugha yao ipo
Walitumia gharama kubwa sana kuilinda
Nop Hapana..
Lugha Zote za Canaanite zilikufa ila Karne ya 19 kuelekea ya 20 Zionist wakiongozwa na Theodor Herzi ndo waliirudisha Lugha ya Kiebrania..

Ndo ikawa Lugha Iliyorudi ya Kikaanani baada ya Kupotea..
So Hebrew Is the Revival Cananiite Language not a Retain cananite Language..

Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya Retention na Revival..

Hebrew sio Retention Canaanite language ila Ni Revived Canaanite language..

Means Ilipotea then Brought back to life again..

Nimekuambia Kwakuw Sisi wngi ni wavivu kusoma Kagoogle Revived CANANIITE LANGUUAGE..

tena Imerudishwa Juzi tu hapa Karne ya 19 mpaka karne ya 20..

Ambayo tangu ilipopotea Kipindi cha Utawala wa Rumi....

Usisahau Hata Yesu Hakuongea Kiebrania Ila alikuwa Anaongea Kiaramu Au mpaka Hilo pia Nikwambie??

Na usisahau Agano jipya Lote Wale wanaoitwa Mitume waliandika Kw Lugha ya Kigiriki na Sio kiebrania
 
Baadhi ya waethiopia ndo waisrael na wengi wao walishaamia israel
Bado hawajaamia Israel mkuu..
Kuna siku nilikuwa namsikiliza Kiongozi mmoja wa kiyahudi akisema wanashawishi wahamie ila hawajafanikiwa bado siku wakifanikiwa watahamia ila kama wako confortable walipo ni sawa..

Na nikurekebishe kuwa Idadi kubwa ya Ethipia ni waisrael na idadi ndogo ni wa Kushi
 
Mkuu kwani issue hapa ni eneo likiloitwa Palestina au nchi ikiyoitwa Palestina? Maana kwa mipaka ya sasa ya Israel iliitwa na Palestina na Dola la Roma sehemu iliyokuwa Yudea na kuipa jina Syria-Palestina maana eneo lote lile kikikuwa makao makuu yapo Syria.
Sijaelewa swali vizuri lakini naweza toa majibu kwa uchache sana nadhani unaweza kuendelea kutafuta zaidi kama majibu yatakuwa bado hayakupi picha kwa uzuri

Palestine(modern Palestine) was the land that has been under dorminance of different masters(umetajiwa baadhi kwenye mada).Swali lenye utata sana ni who has the right to be in the land so called Palestine?

Jibu la swali hili lina mitazamo mingi na yote ina madhaifu yake.Palestine once belonged to Jews,arabs and christians(hapa ni mtazamo wa jumla bila kujali upande wowote).Utata unatokea wapi sasa?nadhani kama utapata mda kasome impact of world war 1 na kivipi Palestine iliwekwa chini ya uangalizi wa waingreza pia pitia six-day war utajua nini kilitokea.

Lakini jibu linakuwa rahisi sana,wengi conflict hii wanaichukulia kwa mtazamo wa dini na kama ni dini ndio sababu ya yote basi the modern Palestine belongs to Jews and not Arabs(simple like this).The book of exodus in the bible does tell everything.The land that was promised to Israelites(majority Jews) after leaving Egypt by God extends far beyond modern Israel(modern Palestine inclusively)
 
Nop Hapana..
Lugha Zote za Canaanite zilikufa ila Karne ya 19 kuelekea ya 20 Zionist wakiongozwa na Theodor Herzi ndo waliirudisha Lugha ya Kiebrania..

Ndo ikawa Lugha Iliyorudi ya Kikaanani baada ya Kupotea..
So Hebrew Is the Revival Cananiite Language not a Retain cananite Language..

Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya Retention na Revival..

Hebrew sio Retention Canaanite language ila Ni Revived Canaanite language..

Means Ilipotea then Brought back to life again..

Nimekuambia Kwakuw Sisi wngi ni wavivu kusoma Kagoogle Revived CANANIITE LANGUUAGE..

tena Imerudishwa Juzi tu hapa Karne ya 19 mpaka karne ya 20..

Ambayo tangu ilipopotea Kipindi cha Utawala wa Rumi....

Usisahau Hata Yesu Hakuongea Kiebrania Ila alikuwa Anaongea Kiaramu Au mpaka Hilo pia Nikwambie??

Na usisahau Agano jipya Lote Wale wanaoitwa Mitume waliandika Kw Lugha ya Kigiriki na Sio kiebrania
Biblia agano la kale lilikua kiebrania
Imeanza kutafsiriwa miaka ya 1300's mtu wa kwanza aliuliwa it means watu walikua wanajifunza kiebrania ili wasome biblia

kabla haijatafsiriwa ili usome agano la kale unatakiwa uelewe kiebrania na karamic kwa kitabu cha daniel na ezra
 
Biblia agano la kale lilikua kiebrania
Imeanza kutafsiriwa miaka ya 1300's mtu wa kwanza aliuliwa it means watu walikua wanajifunza kiebrania ili wasome biblia

kabla haijatafsiriwa ili usome agano la kale unatakiwa uelewe kiebrania na karamic kwa kitabu cha daniel na ezra
Sio Zamani Mkuu Hata sasa Ili uweze Kusoma Biblia TANAKH inabidi Usome Kiebrania..

Kuna tofauti kubwa sana Kati ya Kiebrania Cha Sasa na Kile cha Zamani Kimuundo, Kimaneno na hata Kimisemo...

So Hebrew Modern and Hebrew Old Viko Tofauti sana in Grammar, Syntax ,Vocabulary, Pronunciation,Script and Punctuation..

In Moden Hebrew Hakuna Nikkud au kwa Kiswahili Tingesema Irabu..
Japo kwenye Old Hebrew Kuna nikkud na kama hujasoma Huwezi kujua Wapi ni wapi na Inakaa wapi na Ikikaa hapa inamaanisha nini..

So ni lugha mbili ambazo ziko sawa Hapo zinatifautiana kidogo..

Nikurekebishe Kidogo hakukuwahi kuwepo na Agano la Kale wale Jipya Mpaka Pale Lilipokaliwa Council of Rome 382 AD,Councils of Hippo (393 AD) na Carthage (397 AD)
 
Mtoa mada kakuwekea sehemu alipotoa hiki kitu kaleta hapa,sasa ugomvi wenu ni kwa mtoa mada au source ya mtoa mada ndio iko debated?

Religious point of view:there is no such thing like Palestine.However,in history there might be the so called Palestine and so do politics acknowledge presence of Palestine

Issue inakuwa ni approach gani utatumia kueleza hili jambo.Umepewa facts katika mada hii kama una-doubt yoyote onyesha weakness yoyote katika hizo facts then ntakupa majibu kwanini Palestine is real in some situations and not real in other approaches
[/QUOTE]
Mbona kwenye bandiko hakuna nukuu za kidini bali historical facts tupu.
 
Back
Top Bottom