Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nop Hapana..Lugha nyingine za kaananin zilikufa baada ya uislamu na tamaduni za kiarabu kusambaa fahamu wayahudi ndo jamii pekee iliyokataa uislamu na tamaduni za waarabu ndo maana mpaka leo lugha yao ipo
Walitumia gharama kubwa sana kuilinda
Bado hawajaamia Israel mkuu..Baadhi ya waethiopia ndo waisrael na wengi wao walishaamia israel
Sijaelewa swali vizuri lakini naweza toa majibu kwa uchache sana nadhani unaweza kuendelea kutafuta zaidi kama majibu yatakuwa bado hayakupi picha kwa uzuriMkuu kwani issue hapa ni eneo likiloitwa Palestina au nchi ikiyoitwa Palestina? Maana kwa mipaka ya sasa ya Israel iliitwa na Palestina na Dola la Roma sehemu iliyokuwa Yudea na kuipa jina Syria-Palestina maana eneo lote lile kikikuwa makao makuu yapo Syria.
Biblia agano la kale lilikua kiebraniaNop Hapana..
Lugha Zote za Canaanite zilikufa ila Karne ya 19 kuelekea ya 20 Zionist wakiongozwa na Theodor Herzi ndo waliirudisha Lugha ya Kiebrania..
Ndo ikawa Lugha Iliyorudi ya Kikaanani baada ya Kupotea..
So Hebrew Is the Revival Cananiite Language not a Retain cananite Language..
Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati ya Retention na Revival..
Hebrew sio Retention Canaanite language ila Ni Revived Canaanite language..
Means Ilipotea then Brought back to life again..
Nimekuambia Kwakuw Sisi wngi ni wavivu kusoma Kagoogle Revived CANANIITE LANGUUAGE..
tena Imerudishwa Juzi tu hapa Karne ya 19 mpaka karne ya 20..
Ambayo tangu ilipopotea Kipindi cha Utawala wa Rumi....
Usisahau Hata Yesu Hakuongea Kiebrania Ila alikuwa Anaongea Kiaramu Au mpaka Hilo pia Nikwambie??
Na usisahau Agano jipya Lote Wale wanaoitwa Mitume waliandika Kw Lugha ya Kigiriki na Sio kiebrania
Sio Zamani Mkuu Hata sasa Ili uweze Kusoma Biblia TANAKH inabidi Usome Kiebrania..Biblia agano la kale lilikua kiebrania
Imeanza kutafsiriwa miaka ya 1300's mtu wa kwanza aliuliwa it means watu walikua wanajifunza kiebrania ili wasome biblia
kabla haijatafsiriwa ili usome agano la kale unatakiwa uelewe kiebrania na karamic kwa kitabu cha daniel na ezra
🙄🙄🙄😳You're right.
Leo mbona umeacha Ubishi au unaumwa?!You're right.
Dear; sikuelewi ujue?You're right.
Kama alivyoitambua Biafra!?Nyerere siyo Mungu kuna mambo alipuyanga tu hivo kwa Palestina yeye alifuata mkumbo wa East tu
You're Right too.You're right.
Wametajwa kama wana wa israeli wa Yakobo sio taifa la Israel.Waisrael wanaotajwa kwenye bible na kuruani wametokea wapi?
britanicca kuna baadhi ya nyuzi humu ndani zinaeleza kuwa Nyerere aliitambua Palestine 🇵🇸 kama nchi. Je Nyerere naye hakuelewa hili chimbuko hili!!
Mwalimu wako alipata kazi SanaaaaaaaMbona wao kwenye Meza yao UN wamejiandika PALESTINE STATE?!
View attachment 3139997
King Solomon wa Jerusalem?!Wametajwa kama wana wa israeli wa Yakobo sio taifa la Israel.
Wana wa israel walijulikana kama asili sio taifa.