Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo tupate na bia basi 😎😎You have a long way to GO
Kuja pm 😎😎Nitumie hio hela
Unaniambiaje kitu ambacho hukijui hujioni kua wewe ni tapeli.I don't know
Madhabahu ndiyo nn wewe, acha ujinga. Fanya kazi kwa bidii na akili kubwa utatoboa.
Ninyi ndiyo mnategemea miujiza ili mtoboe. Chini na Japan watu wanafanya akazi usiku na mchana, ninyi waafrika mnafanya ngono na kulewa mipombe usiku na mchana, halafu maendeleo mnategemea ujinga huo mnaoutita madhabbahu.
Mbwa × 3😹😹😹Niite mbwa kama kweli
kama kuna utajiri wa madhabahuni na wao wakachukue ausiyo bhanaHizi dhana huwa zina sikika umatumbini tu tena zaidi kwa jamii za kinakajamba nan.