Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazo £ za kutosha ambazo ni ghali kuliko dollarsSisemei senti nasemea dollars
Namshukuru Mungu sijawahi kukosa helaKataa umaskini
Una hela eh?!
😹Asking for a friend!!!
kuna hili silitumiagi liko parking tu si litakufaa?Hapa ni mbususu kwa range
😄 🤣 hela zinaanzia ngapi maana mimi sijakosa kitu kama roho inataka hata wewe (just kiddingKulingana na huo muelezo hela huna😹😹afu wewe
NakaziaAlie kuroga kakuonea tu 😂
kwa kweli wanawake mna madhabahu yenu ipo katikati ya mapaja.
Umemaliza mtu yoyote mwenye kiwango kikubwa cha fedha hategemei chanzo kimoja cha fedhaMadhabau -alter
Utajiri upo wa aina mbalimbali
Utajiri wa mali na pesa
Utajiri wa watu
Utajiri wa akili na maarifa
Utajiri wa kiroho.
Utajiri wa Afya mwili na Akili
So ni utajiri gani hapo unahotaji madhabau.
Watu wanafanya Kazi kwa bidii na hawategemei Biashara moja .
So ni muhimu tukaelewa na hilo swala.
mwenye mikosi na asiyefanikiwa ana madhabahu pia inayomHakuna tajiri aliyefanikiwa bila madhabahu
Hii matajiri hawawezi kukuambia
Uzi umeisha
Kama ni kila mwezi au wiki?Tajiri ni mtu ambae Kila dakika anaingiza hela na hela inagia kwenye acc
😹😹Afu ww sio tajiri au?
Ya hayo madhabahuYa Nini sasa