Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Nini mbona kama kuna rangi unataka kuionesha, usijisahau mkuu.Tulia dogo
Tuambie basi huwa wanaambiwa nini?Hii Siri hawawezi kukupa
Hujanipa Bei ya ile naniliu😊Kwanza umaskini ni uchawi
🤣🤣🤣
Exactly 💯Hizi dhana huwa zina sikika umatumbini tu tena zaidi kwa jamii za kinakajamba nan.
Tajiri ni mtu ambae Kila dakika anaingiza hela na hela inagia kwenye accTajiri ana pesa kiasi gani? Kila mtu ana maana tofauti ya tajiri. Kwa mmoja mtu anayepata chakula kila siku ni tajiri kwa mwingine mtu mwenye bilioni 100 tsh ndo tajiri, mwingine atamwona huyo ni masikini bado....Utajiri ni kama urefu, hata mbilikimo ni mrefu kwa mbilikimo mwingine, na mfupi kwa mtu mwingine
🤣🤣🤣🤣 kwani na wewe ni modi!😹😹Sema Mimi ni mE kama sijakupiga ban
Hutaki kusema bei au?😹😹😹Una Hela au?!
Tena ni Laana kabisaKwanza umaskini ni uchawi
🤣🤣🤣
Sawa natulia😹😹Tulia ww
wewe ni fukara na utakufa ukiwa fukara kwa kuamini madhabahu huleta utajiri.Utajiri ni sayansi.Hakuna tajiri aliyefanikiwa bila madhabahu
Hii matajiri hawawezi kukuambia
Uzi umeisha
Wee jamaa🤣🤣wanawake na imani potofu
View attachment 3258877