Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hii iko Africa huku kwasababu ya kukosa maarifa na kuwaza mambo ya giza muda wote.
Kwahiyo hawa akina Mr X, Mr Facebook, Steve Job, Jack Ma nk nao wana madhabahu?.
Maendeleo ya technolojia duniani yanahitaji akili na maarifa, huku tumeachwa mbali maana watawala hawataki kuwapa watu Elimu iliyokomaa ili waweze kutumia bongo zao kwa upana zaidi.
Kwahiyo hawa akina Mr X, Mr Facebook, Steve Job, Jack Ma nk nao wana madhabahu?.
Maendeleo ya technolojia duniani yanahitaji akili na maarifa, huku tumeachwa mbali maana watawala hawataki kuwapa watu Elimu iliyokomaa ili waweze kutumia bongo zao kwa upana zaidi.