Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasiliani, leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujatengeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae.

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
 
Unatakiwa kuwa na magroup ya circle yako ya sasa, kule unachukua wachache tu ambao mnaendana.
Kuwa na commitment nyingi nako kunanyonya nguvu. Mfano wengine kuna stage ya elimu group letu tulikuwa zaidi ya ndugu. Hata ukitoka mwenyewe unajishtukia.
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Hutaki kuview status mkuu🤣
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Hili nalo la kuandika jf na id feki?
 
Nakuunga mkono , kwenye magroup ni watu wa karibu wa sasa ndio nitakuwa active ...Kwanza mimi sina magroup kwa sababu nimeleft nikiona watu wanajadili mtu basi nasepa ...Groups ninazo mbili tu zote ni mambo ya kusoma na watu hawajuani , wapo watu wanatoa darasa bure za mambo ya kiteknolojia na jingine la dini hasa kusaidia jamii kama watoto yatima .

Nilifanya kazi nikahamishwa taasisi fulani kwama 2019 , eti wanalazimisha tubki katika group hilo na watu wapo mpaka leo ni miaka 5 ...Nimegoma ni ujinga sio lazima tulishapita .

Kwenye mchango ninatoa kwa vile angalau nina kipato kidogo , ikitokea mtu akanifuata basi nitatoa maana sioni shida mtu akakamilisha jambo ..Haya ni maisha ya kupita tu .!
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Wewe ungeleft kimya kimya sio lazima ulete uzi
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Ni kweli kabisa hakuna la maana kwenye magroup ya shule. Nina mwaka na miezi 10 nime left magroup yote kama kuna shida watanitafuta. Kimsingi Tanzania tunaishi kijamaa sana na huu ujamaa ndio unazaa Uchawa, majungu na kudharauliana.
 
Ni kweli kabisa hakuna la maana kwenye magroup ya shule. Nina mwaka na miezi 10 nine left magroup yote kama kuna shida watanitafuta. Kimsingi Tanzania tunaishi kijamaa sana na huu ujamaa ndio unazaa Uchawa, majungu na kudharauliana.
Mimi nili left group la ukoo wakadai nikifa nani atanizika as if nikifa wakiniacha apo nitanukiwa mimi😁😁😁😁😁
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea

Acha ujinga.

Hao ndiyo real friends utakaoambatana nao hadi uzeeni.

Kumbuka, hakuna marafiki wa kweli wa uzeeni bali marafiki wa kweli ni wa utotoni na ujanani.

Hayo maongezi ya mwalimu fulani alikuwa anachapa, ni mazungumzo ya msimu. Itakuja phase mazungumzo ya hivyo yatakoma, itakuja phase ya namna ya kusaidiana, phase ya kucheza mabonanza, phase ya kusaidiana katika misiba, phase ya kutakiana hali ukiumwa, phase ya kuzikana. Na hivyo vyote ukiwa mtu mzima ni vitu muhimu sana.

Mwanadamu ni social creature, usipokuwa na social cycle yako utapata tabu sana umri ukisogea. Utakuwa depressed mno!.
 
Back
Top Bottom