Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

Nina group tulimaza wote drsa la saba tuko 76,halipo active kivile ila ikitokea member kafiwa na mke,mtoto,baba,au mama haipiti siku nne una laki 7 kibindoni....yaani tulisema kila mmoja atoe 10 tu!wana muitikio sijawahi ona kabisa
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasiliani, leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujatengeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae.

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Sisi bana
Tuna group letu tuliomaliza form 4 miaka hiyooo....

Mpaka wengine wamepata wenza na tukawafungisha ndoa. Darasa letu lilikuwa special na tumekutana tukiwa wakubwa tena tumejikuta ni ndugu.

Nyie mlikuwa hamna umoja na mlikamiana sana shuleni ndo maana mpaka leo mpo mpo tu wala hamuwezi kuelewana
 
Kuna kipindi nilikua jobless wakaniunga group la form 4 kuna mbwa 2 ziko ulaya zina sifaa kuposti!! ndo zilinifanya ni left kwa wivu bora group la pilau za watu maarufu almaarufu connection
 
Nina group tulimaza wote drsa la saba tuko 76,halipo active kivile ila ikitokea member kafiwa na mke,mtoto,baba,au mama haipiti siku nne una laki 7 kibindoni....yaani tulisema kila mmoja atoe 10 tu!wana muitikio sijawahi ona kabisa
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom