Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo mbabeSina group hata moja .wali ni add la ukoo nika left .sijakaa vzuri baba mwenye nyumba kani add nika left. Hata bado sija jigeuza vzuri kazini waka ni add kwa heshima ya boss nka subiri hadi giza liingie. Wameamka asubh sha left zamani .
Itakuwa kazi unazofanya ni ngumu sana huna hata mood ya kuzungumza na watuAchilia mbali ma group ya shule Yani nina namba nne tu za watu niliosoma nao. Yani hizo namba zinajumuisha wanafunzi niliosoma nao kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu.
Atakuwa hana hela mleta mada ndio maana kawa mkali sana😅Wewe ungeleft kimya kimya sio lazima ulete uzi
Sisi banaTulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii
Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasiliani, leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujatengeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo
Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae.
Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100
Ma groups yote nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Saivi umejipata.Kuna kipindi nilikua jobless wakaniunga group la form 4 kuna mbwa 2 ziko ulaya zina sifaa kuposti!! ndo zilinifanya ni left kwa wivu bora group la pilau za watu maarufu almaarufu connection
Hongera mkuuNina group tulimaza wote drsa la saba tuko 76,halipo active kivile ila ikitokea member kafiwa na mke,mtoto,baba,au mama haipiti siku nne una laki 7 kibindoni....yaani tulisema kila mmoja atoe 10 tu!wana muitikio sijawahi ona kabisa