Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwa rafiki au kuwajibika Kwa kuwachangia Kwa kila uliyesoma naeMa-group ya WhatsApp ya watu wa zamani ni poa sana, ukisoma vitu unapata flash back ya nguvu, mnakutana mnachoma nyama na kupunguza stress, wachumba wa zamani una wamega, ni unyama sana unless kama haukusoma mjini
Huwezi kuwa rafiki au kuwajibika Kwa kuwachangia Kwa kila uliyesoma nae
Utakuwa nao baadhi mnaoendana
Mtu ni watu. Jitahidi kuwa karibu na wenzako, usijitengeTulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii
Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasiliani, leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujatengeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo
Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae.
Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100
Ma groups yote nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Weeeeeeeeee...mbona humu huwa tunapoa sanaaaaa na kumbe una namna nzuri ya kutuchangamsha!!!sijawahi kuwa kwenye group lolote la shule!,hata kama ningekuwepo wangenitoa tu maana nikiona limepoa nalichangamsha kwa kutuma pilau!.
shida humu wanakulamba ban!Weeeeeeeeee...mbona humu huwa tunapoa sanaaaaa na kumbe una namna nzuri ya kutuchangamsha!!!
Hivi lile jukwaa pendwa lilifutwa?!shida humu wanakulamba ban!
melo aliniuliza kama ndo jukwaa gani hilo...?Hivi lile jukwaa pendwa lilifutwa?!
🤣🤣🤣🤣🤣mweeeMimi nili left group la ukoo wakadai nikifa nani atanizika as if nikifa wakiniacha apo nitanukiwa mimi😁😁😁😁😁
Mi Fb ndo imenishinda kabisa sipogo hukoNachukia sana wale wanaokuja kwenye facebook na kuweka friend request!!!!! Ahhh jamaa eti tulikuwa mwaka mmoja college au university, so what? Miaka yote tulipokuwa tukisoma hata salamu hatukuwa tukipeana leo tuko nje na majukumu yetu ndio unataka kunijua? No way! Wengine eti tukikaa mtaa mmoja! So what? tulicheza pamoja? No! Kuna chochote tulichokuwa tukifanya pamoja tulipokuwa wadogo? No! Sasa unaniomba friend request ili iwe nini? Tuzungumze nini ilhali hatuna anything in common?