Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Huu ujumbe ungewaandikia huko huko kwenye group la wasap ingeleta maana

Hii inaonesha huna msimamo na unaendeshwa na jamii,, jisimamie mwenyewe
Ungeshaleft siku nyingi ujiweke kwenye ka Dunia Kako binafsi tuone kama hutakujahitaji watu maishani
 
Acha ujinga.

Hao ndiyo real friends utakaoambatana nao hadi uzeeni.

Kumbuka, hakuna marafiki wa kweli wa uzeeni bali marafiki wa kweli ni wa utotoni na ujanani.

Hayo maongezi ya mwalimu fulani alikuwa anachapa, ni mazungumzo ya msimu. Itakuja phase mazungumzo ya hivyo yatakoma, itakuja phase ya namna ya kusaidiana, phase ya kucheza mabonanza, phase ya kusaidiana katika misiba, phase ya kutakiana hali ukiumwa, phase ya kuzikana. Na hivyo vyote ukiwa mtu mzima ni vitu muhimu sana.

Mwanadamu ni social creature, usipokuwa na social cycle yako utapata tabu sana umri ukisogea. Utakuwa depressed mno!.
Sio kila uliyesoma utahitaji urafiki nae
Marafiki wanakuja
Maadui wanakuja
Hayo ndo maisha
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Uhakika kabisa🤝
 
Huu ujumbe ungewaandikia huko huko kwenye group la wasap ingeleta maana

Hii inaonesha huna msimamo na unaendeshwa na jamii,, jisimamie mwenyewe
Ungeshaleft siku nyingi ujiweke kwenye ka Dunia Kako binafsi tuone kama hutakujahitaji watu maishani
Habari yako admin
Shusha mkeka wa mchango
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Umeeleweka mkuu, kama ulivosema unaleft itakuwa njia sahihi.
 
Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii

Suala la michango
Michango haikauki
Tulisoma wote baada ya hapo hatuwasilian, Leo unaona upo Mtwara nipo Musoma nitumie mchango ili iweje
Zaidi ya miaka 15 hujategeneza circle mpya ya kukuchangia mpaka muweke mikeka ya michango na kutuchoresha sisi makauzu tusiochanga
Mikeka ya michango ya misiba
Usipoonekana kwenye mikeka kinyongo

Mikeka ya michango ni kero
Me siwezi kukosa kumchangia rafiki na jirani yangu Aboubakar akiwa anaona nikamchangia mtu aliyeko Tandahimba kisa nilisoma nae

Tukiwa in touch nitachanga
Lakini siyo nione jina nianze kukumbuka eti huyu Rehema yule mfupi alikuwa anakaa mbele anaolewa sheria tuchange laki 10000, me sichangi hata 100


Ma groups yote Nina mpango wa ku left kama haya ma kero ya mikeka ya michango yataendelea
Nachukia sana wale wanaokuja kwenye facebook na kuweka friend request!!!!! Ahhh jamaa eti tulikuwa mwaka mmoja college au university, so what? Miaka yote tulipokuwa tukisoma hata salamu hatukuwa tukipeana leo tuko nje na majukumu yetu ndio unataka kunijua? No way! Wengine eti tukikaa mtaa mmoja! So what? tulicheza pamoja? No! Kuna chochote tulichokuwa tukifanya pamoja tulipokuwa wadogo? No! Sasa unaniomba friend request ili iwe nini? Tuzungumze nini ilhali hatuna anything in common?
 
Back
Top Bottom