Hakuna Timu ya kuifunga Simba SC, Kituo kinachofuata ni Iringa, Kila timu ishinde mechi zake!

Hii ya KITUO KINACHOFUATA NI IRINGA ungemalizia kabisa ni kwa sauti ya yule mdada wa mabasi ya Mwendokasi (UDART)
 
Hii ya KITUO KINACHOFUATA NI IRINGA ungemalizia kabisa ni kwa sauti ya yule mdada wa mabasi ya Mwendokasi (UDART)
Naam [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Leo ni leo Uwanja wa Samora..Lipuli FC dhidi Simba SC, kwa waliojirani wajongee kushuhudia kipute hicho

Kumbuka mechi kuanzia saa kumi jioni.
 
Ni mapumziko Lipuli FC 1-2 Simba SC
 
What a coincidence!!! Refa aliyechezesha Mikia na Lipuli Taifa....kachezesha tena leo Iringa
 
What a coincidence!!! Refa aliyechezesha Mikia na Lipuli Taifa....kachezesha tena leo Iringa
Kwahivyo alipochezesha Taifa na matokeo yakawa droo mkashangilia mlijua Kesho ndo Jana [emoji23] [emoji23]

Soma heading utaelewa mkuu..SimbaNguvuMoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…