Hakuna Timu ya kuifunga Simba SC, Kituo kinachofuata ni Iringa, Kila timu ishinde mechi zake!

Kumbe Kamwene ni Yanga kizungu[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Yanga wanatamani kusema Simba SC, imenunua mechi ya Lipuli FC, lakini wakikumbuka hata wao tuliwanunua wanaishia kukaa kimya.
 
Kwahivyo alipochezesha Taifa na matokeo yakawa droo mkashangilia mlijua Kesho ndo Jana [emoji23] [emoji23]

Soma heading utaelewa mkuu..SimbaNguvuMoja
Mbona Yanga Na Mikia yule Dada hakuchezesha tena!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…