Hakuna Timu ya kuifunga Simba SC, Kituo kinachofuata ni Iringa, Kila timu ishinde mechi zake!

Hakuna Timu ya kuifunga Simba SC, Kituo kinachofuata ni Iringa, Kila timu ishinde mechi zake!

Ogopa sana ushamba..Hizo track simba huzivaa wakati wa baridi tena nchi kama arabuni..Lakini nyie joto la Bongo hili jamani inakuwaje? [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]

Halafu kuhusu Jezi, kaa kimya kabisa, Simba ndo klabu ya kwanza Tanzania kuvaa Jezi na Viatu wakati huo nyie mlikuwa mkicheza na Ndala na Mgongo Wazi..Chukua hiyo Flashback kabla sijakupa kombora la pili..SimbaNguvuMoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe hiyo hali ya hewa hapo unaionaje.. Unaona jua hapo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kati ya mimi na wewe nani anatoa porojo.? Nani alikwambia rangi inaleta heshima, wenzako wametafuta heshima kwenye makombe unaanza kujifananisha kwenye rangi ya jezi.
Naona sasa umeishiwa hoja, unapuyanga tu..Hivi ulipotoa zile picha za Track ulidhani Simba hawana eeeh..

Hiyo ni rangi yenye kuheshimiwa na Klabu kubwa dunia za Ujerumani, Uingereza, Hispania na Tanzania wanavaa Nyekundu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakujibu kulingana na akili yako au unavyojieleza, hivi nani alianza mambo ya rangi?

Kama ulikuwa unajua heshima ni makombe kwanini ulianza masuala ya rangi?
Sasa kati ya mimi na wewe nani anatoa porojo.? Nani alikwambia rangi inaleta heshima, wenzako wametafuta heshima kwenye makombe unaanza kujifananisha kwenye rangi ya jezi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na picha husika wewe unaona kuna hali yoyote ya joto hapo.? Tazama picha na ndicho nilicho maanisha wewe MJUAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue ni kwamba toka mmepata hizo Track hazibanduki mwilini, mechi ya Simba na Yanga, Yanga imetoka ilikujificha mchana hadi Taifa saa tisa, mpaka kuanza mechi saa kumi..

Sasa muda wote wa jua kali kiwango cha joto 35-36 hata mwanafunzi wa darasa la kwanza hawezi kuvaa..Jitambueni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetuma picha ya track wewe ukaanza kuzungumzia habari za rangi ya heshima. Heshima haijalishi unavaa rangi gani, heshima ni makombe.

Haya mambo ilikua huwezi kuyakuta kipindi chetu. Nyie ni limbukeni akili fupi. Ifike kipindi muanze kuzoea pesa sasa.
Nakujibu kulingana na akili yako au unavyojieleza, hivi nani alianza mambo ya rangi?

Kama ulikuwa unajua heshima ni makombe kwanini ulianza masuala ya rangi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huelewi chochote. Ngoja nikuache
Issue ni kwamba toka mmepata hizo Track hazibanduki mwilini, mechi ya Simba na Yanga, Yanga imetoka ilikujificha mchana hadi Taifa saa tisa, mpaka kuanza mechi saa kumi..

Sasa muda wote wa jua kali kiwango cha joto 35-36 hata mwanafunzi wa darasa la kwanza hawezi kuvaa..Jitambueni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali langu kwa nini mechi 99% kwa Mkapa ..Mikia wanapata kura ya kuchagua goli??? Mechi moja tu Na Lipuli ndio walikosa wakabanwa mbavu....Great thinkers mmeona hii
 
Nimetuma picha ya track wewe ukaanza kuzungumzia habari za rangi ya heshima. Heshima haijalishi unavaa rangi gani, heshima ni makombe.

Haya mambo ilikua huwezi kuyakuta kipindi chetu. Nyie ni limbukeni akili fupi. Ifike kipindi muanze kuzoea pesa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una matatizo kichwani..Hivi aliyeanza kuzungumza mambo ya rangi ni mimi kweli? Unaota nini..! Umetuma Track na nikakutumia track ya Simba

Ndo ukasema hiyo rangi kama wauza madafu wa pwani..Yaani wala hujui ulipoanzia, angalia maneno niliyoyasema baada kutuma track, sikuzungumzia rangi..!

Unalewa nini? Peleka mbele njaa yako huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga siku hizi mmekumbwa na nini sio wale Yanga wa 2015 kushuka chini? Mnajiita mabingwa wa kihistoria alafu kwa misimu mitatu hamjamfunga mtani wenu wa jadi, nyie kushinda kwenu ni sare lakini Leo mmefungwa goli moja na kumwachia point 3 bado mnaona sawa tu, afu cha ajabu baadhi ya mashabiki wanasema tulistaili hata tano.
Yanga mjitathmini kwa kweli si kwa mlivyo sasa. Miaka mitatu hamjamfunga simba kwenye ligi ila bado mnaona ni jambo la kawaida.
Yanga mmekumbwa na nini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi Kuu ya Tanzania kwa mzunguko huu wa lala salama, hakuna Klabu ya mpira yenye uwezo wa kuifunga Simba SC kutokana ubora wa kikosi.

••Watafanya Nini Sasa Uwezo Hamna

Simba SC imekuwa ikitandaza gozi la ng'ombe vema kabisa kwa viwango vya juu, huku wakipiga pasi za maana zilizothibitishwa na Shirikisho la soka Afrika (CAF) na kusababisha Simba SC kupata matokeo chanya.

Klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi wao wanachokifanya ni kutiririka tu kwenye mtelemko wa kuzoa pointi tatu kila mchezo, Yanga kachukua kidude 1-0 Uwanja wa Taifa, African Lyon kagaragazwa 3-0 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Azam FC kachapwa 3-1 Uwanja wa Taifa, klabu ambazo kidogo zilikuwa zikitegemewa kuleta upinzani wa kupata walau sare, kwa mukhadha huo hakuna kwa sasa timu ambayo itaifunga Simba SC kwenye TPL.


••Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa

Katika mwendelezo wa kukusanya pointi tatu tatu kila sehemu, kwa sasa kituo kinachofuta ni Ipogolo mkoani Iringa ambapo Lipuli watalazimika kushuka katika eneo lao nakuacha pointi tatu huku safari ya Watakatifu Simba ikiendelea.

Klabu ya Simba imeondoka leo kuelekea mkoani Morogoro ambapo leo jioni watafanya mazoezi kisha kesho asubuhi wataanza safari kuelekea mkoani Iringa ambako Jumanne itakipiga na Wanapaluhengo Lipuli FC.

Niiii Ghazwat kwa niaba ya sembo OKW BOBAN SUNZU Shunie King Ngwaba Sapta Sapta Tui tunawaambia watani zetu Sibonike Mwana Mtoka Pabaya Shadeeya Prince Kunta Kila timu ishinde mechi zake..!View attachment 1030312View attachment 1030313View attachment 1030314

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Zanna Coulibali Kamkalisha mwanaume Chini! ....afu kuna watu walimwita Zaina !
 
Back
Top Bottom