Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!

Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!

Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!

Hata umhudumieje, utembee nae vipi, umpetpet vipi lakini mkikutana na msukosuko midogo tu ya maisha hawezi kuuvumilia anarudi zero,
utasikia naenda kuonana/ kujadiliana na mzazi mwenzangu kuhusu watoto!

Mbinu pekeee ya kuishi na mtalaka ni kuhakikisha hukutani na vizuizi njiani na hata kama vipo wee pita na mia ili mshale usirudi chini Lakini tambua kwamba chombo yako haitadumu! (Chombo yenyewe ni wewe mwenyewe)

Maisha ya kumvumilia mtu anaekupa stress yanauwa taratibu kama kansa!
.......Do it at you're own risky!..….
 
Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!

Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!

Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!

Hata umhudumieje, utembee nae vipi, umpetpet vipi lakini mkikutana na msukosuko midogo tu ya maisha hawezi kuuvumilia anarudi zero,
utasikia naenda kuonana/ kujadiliana na mzazi mwenzangu kuhusu watoto!

Mbinu pekeee ya kuishi na mtalaka ni kuhakikisha hukutani na vizuizi njiani na hata kama vipo wee pita na mia ili mshale usirudi chini Lakini tambua kwamba chombo yako haitadumu! (Chombo yenyewe ni wewe mwenyewe)

Maisha ya kumvumilia mtu anaekupa stress yanauwa taratibu kama kansa!
.......Do it at you're own risky!..….
ukweli mchungu unaouma waswahili walisema
"Heri ukweli ulio mchungu kuliko uongo ulio mtamu
 
Hiyo kitu niliipinga sana maana nilijua ipo siku itaniumiza tu. Mara mtoto akupe stress, mara mama nae asumbue.

Ni kweli ndoa ya mtalaka yahitaji moyo, kuna wakati lazima arudishe masheji kwa mzazi mwenzie.
 
Hiyo kitu niliipinga sana maana nilijua ipo siku itaniumiza tu. Mara mtoto akupe stress, mara mama nae asumbue.

Ni kweli ndoa ya mtalaka yahitaji moyo, kuna wakati lazima arudishe masheji kwa mzazi mwenzie.
Maisha ni uvumilivu! Sasa kama ameweza kuvumilia misukosuko hukoooo hada wakazalishana mitoto miwili mitatu, lakini wakaachana!
Atawezaje kukuvumilia wewe kwanza kutokana na majeraha ile sehemu ya uvumilivu moyoni kwake inakuwa full (hawezi)

Pili kila mfanyacho hataacha kukuringanisha!
 
Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!

Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!

Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!

Hata umhudumieje, utembee nae vipi, umpetpet vipi lakini mkikutana na msukosuko midogo tu ya maisha hawezi kuuvumilia anarudi zero,
utasikia naenda kuonana/ kujadiliana na mzazi mwenzangu kuhusu watoto!

Mbinu pekeee ya kuishi na mtalaka ni kuhakikisha hukutani na vizuizi njiani na hata kama vipo wee pita na mia ili mshale usirudi chini Lakini tambua kwamba chombo yako haitadumu! (Chombo yenyewe ni wewe mwenyewe)

Maisha ya kumvumilia mtu anaekupa stress yanauwa taratibu kama kansa!
.......Do it at you're own risky!..….
na kwa nini uoe mtalaka ilhali singles wako kibao.
kuoa mtalaka ni ujuha ni sawa na kununua gari iliyonock injini unajifanya kwako itabadilika ghafla itakuwa injini mpya. Ukiona mwanaume mwenzio amemkimbia mwanamke kaa mbali na huyo mwanamke.
 
Hapa ni bora sugu alijiolea zake mtalaka asiye na mtoto vile vile bado ana vipesa vya mafao ya ubunge na miradi ya kila aina
mhhh huyo mtalaka ana jozi mbili za wakwe, ana divided loyalty. Sidhani kama sugu anaweza akalala usingizi mnono mke akimuaga kwamba anakwenda kumsalimia mkwe wa zamani-anaumwa yuko hoi ilhali anajua mume wa zamani naye atakuwa huko.....bado ni tatizo.

Ni bora sana kuoa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa wala kuzaa, maana hata single maza nao ni shida ni majeruhi kwao kila mwanaume ni walewale-adui.

Kama ni lazima uone aliyewahi kuolewa, ni bora utafute aliyefiwa mume.
 
mhhh huyo mtalaka ana jozi mbili za wakwe, ana ivided loyalty. Sidhani kama sugu anaweza akalala usingizi mnono mke akimuaga kwamba anakwenda kumsalimia mkwe wa zamani-anaumwa yuko hoi ilhali anajua mume wa zamani naye atakuwa huko.....bado ni tatizo.

Ni bora sana kuoa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa wala kuzaa, maana hata single maza nao ni shida ni majeruhi kwa kila mwanaume ni walewale-adui.

Kama ni lazima uone aliyewahi kuolewa, ni bora utafute aliyefiwa mume.
Well
 
mhhh huyo mtalaka ana jozi mbili za wakwe, ana ivided loyalty. Sidhani kama sugu anaweza akalala usingizi mnono mke akimuaga kwamba anakwenda kumsalimia mkwe wa zamani-anaumwa yuko hoi ilhali anajua mume wa zamani naye atakuwa huko.....bado ni tatizo.

Ni bora sana kuoa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa wala kuzaa, maana hata single maza nao ni shida ni majeruhi kwa kila mwanaume ni walewale-adui.

Kama ni lazima uone aliyewahi kuolewa, ni bora utafute aliyefiwa mume.
Ni kweli kabisa, issue siyo mtoto. Issue ni kwamba tayari ana family commitments tena ni family other than her own family, harusi, misiba, mawifi, mashemeji, lazima ashiriki mambo yanayowahusu, maana aliishi nao vyema na akienda huko atakutana tu ex-wake.
Ndugu yao akiwa desperate lazima wampigie mkeo, wakati mwingine huanza kumtongoza mkeo awe karibu na ex wake, unaweza ukaja kutengenezewa tukio ufariki dunia mapema au hata mambo yako wakayabongonyoa hadi uhisi labda umerogwa.
Mwanamke kama amewahi kuolewa huyo si wa kuoa, jitafutie wa kwako tu
 
Nyie mnao kwenda kuoa single mother huo ujasiri hua mnautoa wapi 🤔🤔 wale walioko single hamu waoni 🤔🤔 yani hapo ni sawa na unakua umenunua uwanja wenye mti, kuna siku alie kuuzia atakuja kudai alikuuzia uwanja sio mti 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Ni kweli kabisa, issue siyo mtoto. Issue ni kwamba tayari ana family commitments tena ni family other than her own family, harusi, misiba, mawifi, mashemeji, lazima ashiriki mambo yanayowahusu, maana aliishi nao vyema na akienda huko atakutana tu ex-wake.
Ndugu yao akiwa desperate lazima wampigie mkeo, wakati mwingine huanza kumtongoza mkeo awe karibu na ex wake, unaweza ukaja kutengenezewa tukio ufariki dunia mapema au hata mambo yako wakayabongonyoa hadi uhisi labda umerogwa.
Mwanamke kama amewahi kuolewa huyo si wa kuoa, jitafutie wa kwako tu
Yaani ni hatari. Na wakikutana kwenye matukio hayo ya kifamilia kama ni kijijini wanalazwa chumba kimoja
 
Hakunaga jibu la aina moja kwenye mambo ya mahusiano.

Hakunaga kanuni ya aina moja.

Mwanamke Mtalaka inawezekana alisndwana na Mwanaume mmoja lakini akikutana na mwingine wanaweza kuelewana vizuri tu.

Unless mseme wanaume wote ni wakamilifu na kwamba hakuna wakorofi extremely.
 
wenye hoja hizo huwa nawaambia wasubiri kwanza genye ziwashuke ndipo wafanye maamuzi....
Kuna jamaa ana uzi anatafuta mwanamke hata aliemzidi umri, Ni genye tu hizo zikiisha ataanza muona takataka

Hao singo maza huwa ni rahisi kuwapata, sasa wenye genye mahindo wakiwapata ndo huhisi wameokota dodo kisa mwanamke yuko available 24/7
 
Nadhani kwa sasa zaidi ya 50% ya wanawake wanaoolewa ni watalaka wasio rasmi.

Yaani, hapo kabla walikuwa kwenye mahusiano mazito, ya kina au marefu na wanaume wengine (wakipigwa miti kwa kwenda mbele, jamii ikijua ni wapenzi, wakiishi pamoja kwa vipindi kadhaa, kuchumbiwa kimtindo nk). Na hilo ni tatizo kubwa sana ikiwa mwanaume wa kuoa atajiingiza kichwa kichwa.

Ni mabinti wachache sana wanaoolewa wakiwa kwenye neutral gear, na hao hawanaga mbambaga na drama za ovyo ovyo.
 
Back
Top Bottom