Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

Nyie mnao kwenda kuoa single mother huo ujasiri hua mnautoa wapi 🤔🤔 wale walioko single hamu waoni 🤔🤔 yani hapo ni sawa na unakua umenunua uwanja wenye mti, kuna siku alie kuuzia atakuja kudai alikuuzia uwanja sio mti 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Screenshot_20230627-112431_Telegram.jpg

Watu tayari wana hizi memories, unadhani ni breackables hizi kweli? Hawa wameoumzishana tu, lazima wataanza kukumbukana qakati umembeba mbija wao.
 
Mwanamke aliyezaa au aliyewahi kuolewa hafai milele kuolewa, sana sana mzalishe na umtelekeze kama alivyo achwa... Ni wapumbavu singo maza
Wanasema huwa wameshajieekebisha kutoka kosa LA kwanza
 
Wakati mwngne ss wanaume tuna makosa,ila lawama tunawapa wanawake.tumejijengea mfumo dume,kuna jamaa alikuwa anamwibia mke wake pesa anaenda kulewea mwanamke kamkimbia ila lawama zimeenda
sasa oa huyo mwanamke uone shida atakayokupa. Hata wewe atakuona ni mwizi tu kama mumewe wa zamani. Upuuzi wote wa ex wake atakutwisha wewe. ndipo utajuta
 
sasa oa huyo mwanamke uone shida atakayokupa. Hata wewe atakuona ni mwizi tu kama mumewe wa zamani. Upuuzi wote wa ex wake atakutwisha wewe. ndipo utajuta
Yaan kila ufanyacho anakompea na ku-peste waah! Full visasi
 
Hiyo kitu niliipinga sana maana nilijua ipo siku itaniumiza tu. Mara mtoto akupe stress, mara mama nae asumbue.

Ni kweli ndoa ya mtalaka yahitaji moyo, kuna wakati lazima arudishe masheji kwa mzazi mwenzie.
Raha ni muoane watalaka wote.
 
Raha ni muoane watalaka wote.
mtauana baada ya fungate maana kila mmoja atamuona mwenzake ni mpuuzi kama ex wake. Mtaishi kwa mashaka na kuviziana sana.....ndiyo maana si kila wakati talaka ni suluhisho la migogoro ktk ndoa. iwe suluhisho la mwisho maana ni doa la ndani na nje.
 
Sawa

Kwenye Barabara tunaita vizibiti mwendo(alama za barabarani)

Kwenye mapenzi tuvipe jina lipi
 
mtauana baada ya fungate maana kila mmoja atamuona mwenzake ni mpuuzi kama ex wake. Mtaishi kwa mashaka na kuviziana sana.....ndiyo maana si kila wakati talaka ni suluhisho la migogoro ktk ndoa. iwe suluhisho la mwisho maana ni doa la ndani na nje.
Ebo! Mtalaka hatongozwi
 
Back
Top Bottom