- Thread starter
- #21
Yaaan balaa muwe mmeshazeeka lazima upagawe maana mnakuwa mshawekezaYaani ni hatari. Na wakikutana kwenye matukio hayo ya kifamilia kama ni kijijini wanalazwa chumba kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan balaa muwe mmeshazeeka lazima upagawe maana mnakuwa mshawekezaYaani ni hatari. Na wakikutana kwenye matukio hayo ya kifamilia kama ni kijijini wanalazwa chumba kimoja
Hilo la bikira halina reference kama la watotothere is no past kwenye mapenzi....fikiria hata ujue aliyemtoa bikira mkeo na mke anakwenda mitaa jamaa anakoishi..........!!!!!!!!!!!!!!!?????
Ukioa mwanamke mzuri unakuwa mwanaume mwenye furaha.Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!
Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!
Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!
Hata umhudumieje, utembee nae vipi, umpetpet vipi lakini mkikutana na msukosuko midogo tu ya maisha hawezi kuuvumilia anarudi zero,
utasikia naenda kuonana/ kujadiliana na mzazi mwenzangu kuhusu watoto!
Mbinu pekeee ya kuishi na mtalaka ni kuhakikisha hukutani na vizuizi njiani na hata kama vipo wee pita na mia ili mshale usirudi chini Lakini tambua kwamba chombo yako haitadumu! (Chombo yenyewe ni wewe mwenyewe)
Maisha ya kumvumilia mtu anaekupa stress yanauwa taratibu kama kansa!
.......Do it at you're own risky!..….
Solution ni kumuua x wakemhhh huyo mtalaka ana jozi mbili za wakwe, ana divided loyalty. Sidhani kama sugu anaweza akalala usingizi mnono mke akimuaga kwamba anakwenda kumsalimia mkwe wa zamani-anaumwa yuko hoi ilhali anajua mume wa zamani naye atakuwa huko.....bado ni tatizo.
Ni bora sana kuoa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa wala kuzaa, maana hata single maza nao ni shida ni majeruhi kwao kila mwanaume ni walewale-adui.
Kama ni lazima uone aliyewahi kuolewa, ni bora utafute aliyefiwa mume.
Kuna jamaa yangu aliwahi pata mwanamke alikuwa katoka kuolewa ...akamshauri wakamuue aliyekuwa Mme wake!....jamaaa aliwaza sana akamshauri asifanye hivyo!Solution
Solution ni kumuua x wake
Bro hakuna kanuni ila historia itakutesa kidogoHakunaga jibu la aina moja kwenye mambo ya mahusiano.
Hakunaga kanuni ya aina moja.
Mwanamke Mtalaka inawezekana alisndwana na Mwanaume mmoja lakini akikutana na mwingine wanaweza kuelewana vizuri tu.
Unless mseme wanaume wote ni wakamilifu na kwamba hakuna wakorofi extremely.
Uwe na HAKIKA lazima mtu huyo alikupata kabla hujampata.Kuoana na mtalaka yataka moyo sana! Yaani hakuna tofauti na mshale wa speed!
Jaza mafuta mengi, tembea ujuavyo lakini mashimo kidogo tu lazima mshale urudi chini!
Maisha ya mtalaka mnapoanza safari ni matam sana!
Lakini kadri mnavyokwenda taratibu ndiyo unagundua kwanini ulimkuta single!
Hata umhudumieje, utembee nae vipi, umpetpet vipi lakini mkikutana na msukosuko midogo tu ya maisha hawezi kuuvumilia anarudi zero,
utasikia naenda kuonana/ kujadiliana na mzazi mwenzangu kuhusu watoto!
Mbinu pekeee ya kuishi na mtalaka ni kuhakikisha hukutani na vizuizi njiani na hata kama vipo wee pita na mia ili mshale usirudi chini Lakini tambua kwamba chombo yako haitadumu! (Chombo yenyewe ni wewe mwenyewe)
Maisha ya kumvumilia mtu anaekupa stress yanauwa taratibu kama kansa!
.......Do it at you're own risky!..….
Uwe na HAKIKA akimpata mwingine, nawe utaliwa KICHWA.Solution
Solution ni kumuua x wake
Wengi wanakomenti huu Uzi ni vijana chini ya miaka 30,hivi visingo lady hamna kitu kabisaHakunaga jibu la aina moja kwenye mambo ya mahusiano.
Hakunaga kanuni ya aina moja.
Mwanamke Mtalaka inawezekana alisndwana na Mwanaume mmoja lakini akikutana na mwingine wanaweza kuelewana vizuri tu.
Unless mseme wanaume wote ni wakamilifu na kwamba hakuna wakorofi extremely.
Inashangaza sana!Kwanini uoe mtalaka utakuwa huna akili timamu kabisa
Kuna wanaume wasumbufu sana na wao ndo chqnzo Cha ndoa kuvunjika,Kuna wanawake wanavumilia sana mwisho wanashindwa wanaamua kuondoka inamaana wakiondoka wmekosa sifa za kuwa wanawake Bora hebu mtuqmbie huo ukamilifu na matendoyenu safi mlonayo tujifunze kisha muendelew kuhukumu waliotalikiwaInashangaza sana!
Pamoja na serikali kutangaza ktk sensa ya watu na makazi kwamba idadi ya wanaume imezidiwa na jinsia pinzani lakini bado tupo wanaume tunajadili haya masuala ya kuoa single mama's na watalaka(wajane hawaingii ktk hili kundi maana wao hawakutaka shari).
Unaoa mwanamke aliyezalishwa?ana nini cha ziada amekupa!unaoa aliyeachwa?yaani unaamini mwanamke aliyemshindwa mwanaume mwenzako wewe unammudu!tena hawa unawapiga mkia unaacha huko chini linagaragara maana sometimes huko lilikotoka kuna mwamba amegawana nae mali akamtia njaa.
Kama ni mumeo, mweke katika maombi, Mungu atambadili TABIA.Kuna wanaume wasumbufu sana na wao ndo chqnzo Cha ndoa kuvunjika,Kuna wanawake wanavumilia sana mwisho wanashindwa wanaamua kuondoka inamaana wakiondoka wmekosa sifa za kuwa wanawake Bora hebu mtuqmbie huo ukamilifu na matendoyenu safi mlonayo tujifunze kisha muendelew kuhukumu waliotalikiwa
Kama ni mumeo, mweke katika maombi, Mungu atambadili TABIA.
Mungu anachukia kutengana.
For better, for Worse,
Ni msalaba wako huo, kama umekushinda wewe, uwe na HAKIKA atakuwa tatizo zaidi Kwa wengine pia.
Kama hutaki kurudi Kwa mumeo, Baki mjane maisha Yako yote Hadi mumeo atoweke duniani ndipo uombe Kwa Mungu mume mwingine.
Toka enzi na enzi imeandikwa kuwa wanawake wanapenda wanaume wasumbufu, wanao wachachafya. Siku moja atamkumbuka huyo msumbufu wake na wewe good guy utabaki unashangaa ulipokosea. Unashangaa anarudije alikoteswa. Ni bora aliyeachwa na mpole kuliko aliyeachwa na msumbufu.Kuna wanaume wasumbufu sana na wao ndo chqnzo Cha ndoa kuvunjika,Kuna wanawake wanavumilia sana mwisho wanashindwa wanaamua kuondoka inamaana wakiondoka wmekosa sifa za kuwa wanawake Bora hebu mtuqmbie huo ukamilifu na matendoyenu safi mlonayo tujifunze kisha muendelew kuhukumu waliotalikiwa
HatariToka enzi na enzi imeandikwa kuwa wanawake wanapenda wanaume wasumbufu, wanao wachachafya. Siku moja atamkumbuka huyo msumbufu wake na wewe good guy utabaki unashangaa ulipokosea. Unashangaa anarudije alikoteswa. Ni bora aliyeachwa na mpole kuliko aliyeachwa na msumbufu.
Wakati mwngne ss wanaume tuna makosa,ila lawama tunawapa wanawake.tumejijengea mfumo dume,kuna jamaa alikuwa anamwibia mke wake pesa anaenda kulewea mwanamke kamkimbia ila lawama zimeendathere is no past kwenye mapenzi....fikiria hata ujue aliyemtoa bikira mkeo na mke anakwenda mitaa jamaa anakoishi..........!!!!!!!!!!!!!!!?????
Ni wengi tuWakati mwngne ss wanaume tuna makosa,ila lawama tunawapa wanawake.tumejijengea mfumo dume,kuna jamaa alikuwa anamwibia mke wake pesa anaenda kulewea mwanamke kamkimbia ila lawama zimeenda