Pre GE2025 Hakuna Uadui wala Urafiki wa Kudumu kwenye Siasa Lissu karibu CCM ulitumikie Taifa kwa maono uliyonayo

Pre GE2025 Hakuna Uadui wala Urafiki wa Kudumu kwenye Siasa Lissu karibu CCM ulitumikie Taifa kwa maono uliyonayo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngoja túone
Dhahiri,Haya mataifa yetu ni kichekesho,mtu akiwa chama tofauti na kinachotawala utaifa wake unakoma,Jambo analoliweza kuliko Mcomoro mara elfu Moja atachuliwa mkomoro eti wanakwepa isije ikaonekana wale wa upande mwingine wanaweza kuliko.Wakibanwa kama kwa nyayo ndipo akili zinarudi na wanatambua vyama siyo taifa,Kila fito inajenga nyumba Moja.
 
Kwa namna Mch Peter Msigwa kada mpya wa CCM anavyoieleza CHADEMA ilivyo.

Mhe Tundu Lissu sioni haja ya wewe kuendelea kujitesa ndani ya CHADEMA wakati wewe kwenye Taifa hili ni hazina Kila mmoja anajua na kukubaliana na hili.

Mhe Tundu Lissu siku ukija CCM utapokelewa na marafiki zako akiwemo Mzee wako Waryoba, Mzee Pinda, Mzee Wassira na hata dada yako kipenzi Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo.

Soma Pia: Lissu karibu CCM Upumzike

Mimi na kaka yangu Peter Msigwa pamoja na Dkt Vicente Mashinji tutakuwepo kwenye mapokezi yako hakika Taifa litazizima kwa furaha.

Karibu CCM Mzalendo Lissu.

CHADEMA ni chama Cha familia utaumizwa bure ukitetea familia ya mtu halafu faida wapate wengine.​
Jana tu niliandika humu kuwa kila Kiongozi wa Upinzani ana "price tag" yake. Na naendelea kushikilia msimamo wangu.
 
Back
Top Bottom