Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyo anatafuta uteuzi tu wala hana lolote, mbona wakiwa Tanzania hawapandi mabasi au Tanzania hakuna mabasi?Sawa tunakubali kaka. Siye tumeona yawezekana viongozi wetu wanaweza bana matumizi kwenye shughuli kama hizo. Iwe mikutano ya chama. Kumpokea rais kutoka nje. Na hafla nyingine zozote kubwa. Yawezekana wakakwea hiace. Coaster na hata daladala. Kumbuka nchi yetu maskini wa kutupa. Kuna ubaya gani viongozi wetu wenye weledi wakaamuwa kufanya hivyo kama ulaya?!
Ya nini kumpa shida zaidi mlalahoi wakati yawezekana?!
Niliishawahi kupanda na treni na mfalme wa nchi Moja hivi na alilipa nauli.Watu hawaelewi kwa vile hawana experience ya kusafiri au kukaa hizi nchi zilizoendelea. Kwani nini cha ajabu kwa viongozi kupanda bus, trams au trains/subways? Ebu waafrika muwe wastaarabu, au kwa sababu mmezoea corruptions. Maisha ni ku-simplify. Ya nini kufanya maisha yawe complex? Paskali, asante kwa andiko lako.
Kweli kabisa.JF ni vyema ikawa moderated. Hii forum imeanza kugeuka kama mkutano wa wendawazimu.
Ni vyema ikawa forum ya critical arguments na mawazo yenye kujenga. Hii trend ya utoto utoto imeanza kushika kasi ya ajabu mno.
Kweli.Ndugu yangu nisaidie kusema. Pamoja na kuwa uhuru wa kila mtu kutoa mawazo yake ni jambo jema na ndiyo lengo hasa la JF, lakini siku hizi kuna thread zainaanzishwa inakuwa ni aibu kabisa kwa hii forum. Tungeomba sana ma-moderator wawe wanaondoa thread za kipuuzi. Watu wenye busara na akili wengi wamekimbia hapa kwa sababu ya thread za kupuuzi.
Tatizo letu huku Africa magari ya anasa huwa tunaona ndio maisha lakini kwa wenzetu mabasi na Trums ndio big deal !!Mnachanganya mambo sana, kwenye msiba wa Jana hakukuwa na maraisi wengi kulinganisha na mikutano ya UN. Ila issue Ni utaratibu tu ambao wenyewe uingereza wameweka na sioni shida ya hilo. Ila pia wangeweza kuwapa magari napo kusingekua na shida yoyote.
Mikutano ya UN inakusanya maraisi wengi duniani na wote hupewa magari, hivyo Ni jambo la utaratibu tu
Huyu lazima asifie anataka na yeye asali kidogoWewe nawe
Sasa kwani wewe ni rais wa kujifananisha. Ulipanda so what?
Wewe ndio mshamba hujaelewa kwa nini watu wa Nazungumzia marais kupandishwa kwenye bus wakati wakiwa nchini mwao misafara mikubwa… Ujumbe wanapewa wajifunze kubana matumizi…
Sasa nani mshamba hapa kama sio wewe na mwenzio fulani…
Kuwaita WaTz washamba kwa kuwa ninyi mlifika Ulaya basi mnaona mnajjua sanaaaa
Punguza dharau bro..
Amemiss misafara mirefu huku na kuchezea mali za ummaHatushangai pekeetu, Kiongozi wetu pia ameonekana kwenye basi akishangaa kupandishwa humor na kutofurahia kuchukuliwa picha!
Kama ni kweli ni jambo la kawaida kupanda basi, mbona hawapandi mabasi special kwenda Dodoma bungeni Ili kupunguza gharama na kuacha a na V8?
Huku wanaishi maisha ya anasa snSawa tunakubali kaka. Siye tumeona yawezekana viongozi wetu wanaweza bana matumizi kwenye shughuli kama hizo. Iwe mikutano ya chama. Kumpokea rais kutoka nje. Na hafla nyingine zozote kubwa. Yawezekana wakakwea hiace. Coaster na hata daladala. Kumbuka nchi yetu maskini wa kutupa. Kuna ubaya gani viongozi wetu wenye weledi wakaamuwa kufanya hivyo kama ulaya?
Ya nini kumpa shida zaidi mlalahoi wakati yawezekana?
We na mshamba mwenzako ndiyo hamuelewi, kwanini wakiwa Tz hawapandi mabasi? jibu swali hapoWatu hawaelewi kwa vile hawana experience ya kusafiri au kukaa hizi nchi zilizoendelea. Kwani nini cha ajabu kwa viongozi kupanda bus, trams au trains/subways? Ebu waafrika muwe wastaarabu, au kwa sababu mmezoea corruptions. Maisha ni ku-simplify. Ya nini kufanya maisha yawe complex? Paskali, asante kwa andiko lako.
Huku ni msafara wa zaidi ya magari 150 kumfuata na kumsifiaKwa namna wanavyojikweza kwenye nchi zao, ubaya upo sana...
Wajibu hoja wote wa CCM ni wajinga tupuSijui kwanini wana CCM mmejipambanua kuwa watu wa kuitetea serikali na kuwananga wananchi, mnajua malengo ya chama from the first place??
Watu hawashangai hayo mnayodhani wanashangaa, infact wanawakejeli kama ninyi mnavyowakejeli na kuwaita wajinga na washamba.
Mnahamisha mjadala wa msingi kwamba kumbe inawezekana kubana matumizi na kupunguza kadhia tunayosababishiwa na viongozi wetu kwa kupunguza misafara?
Acheni kuhamisha magoli.
Tena itakuwa vizuri viongozi wetu wakiwa dodoma kwenye vikao vyao wawe wanatumia,baiskeli kwenda mjengoniUncle mayalla unajua watu wanakuheshimu? Acha nyuzi za kishamba sasa, Hawa jamaa hata uwatetee vp watakuchinja tuu, wajifunze kubana matumizi wakija huku Africa Kama Wana akili lakini.
Pili sio ushamba kutoa mtazamo wa picha ya Marais wakiwa kwenye basi[emoji23], Bali ushamba ni kumuona atoaye maoni kakosea utadhani wote mna akili moja.
In short ni kwamba wameyumba sana
Kinachokera ni kwamba wakiwa hapa nchini ulinzi ni mkali na msafara wa magari ya kifahari zaidi ya 30. Wanapopita barabarani wengine mtakaa pembeni zaidi ya masaa 2 lakini wakiwa kwa wenzetu huko Ulaya wanapandishwa kwenye daladala. Aiseee? Sasa kwanini watumiaga kodi zetu kwa ulinzi usio wa lazima hapa nchini? Misafara mirefu bila sababu za msingi?Tumezoea utumwa wa kuwaona watawala kama miungu na ni kwa vile wanagawa vyeo. Mwafrika hakupashwa kuumbwa.
Hatushangai pekeetu, Kiongozi wetu pia ameonekana kwenye basi akishangaa kupandishwa humor na kutofurahia kuchukuliwa picha!
Kama ni kweli ni jambo la kawaida kupanda basi, mbona hawapandi mabasi special kwenda Dodoma bungeni Ili kupunguza gharama na kuacha a na V8?
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319] Ili watupunguzie maumivu sisi walipa kodi,wanatuumiza sana kwasababu ya mabavu waliyonayo kwetu mbona huko majuu wameufyata.Swala hata huku wakirudi waanze kufanya hivo.