Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
True words have never been said
 
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
Soma vizuri torati au agano la kale au taurat ulinganishe, pia jikumbushe uislam unavyomkubali Yesu wakati ukristo ukigoma kutofanya hivyo. Jielimishe kwanza badala ya kuhoji bila kujua unachohoji mwanangu. Simpo.
 
Ishu ni kuwa ukiristu umekuwepo miaka 600 kabla ya Islam. Ila Hawa jamaa wanakuambia uislam ulianza tangu kuumbwa kwa ulimwengu
Kama ni kweli uislam ulikuwepo tangia Adam, iweje uletwe na Mohamed? Quran ni biblia iliyoandikwa kishairi na Biblia ni Quran iliyoandikwa kwenye prose. Simpo. Ukweli ndo huo japo unauma na kuumiza hasa kwa wale wapenda au wafia dini. Tusameheane. Ndiyo madhara ya kujua na kutojua.
 
Kuna nadharia nyinhi kuhusu uislam. Pia waumini wamedangantwa sana kwenye uislam, mpaka kuambiwa kuwa quran ilishushwa toka kwa Mungu, wakati ndani ya quran, imasema eti Mohmd alikutana na malaika Gibril, akamwambia aandike atakayomwambia, lakini Mohmd akamwambia kuwa hana kalamu. Halafu kumbukumbu nyingine ndani ya qurani Mohm anaeleza kuwa yeye hakuwahi kujua kuandika wala kusoma, ila alimwomba mtu mwingine aandike aliyokuwa ameambiwa!
 
Kuna nadharia nyinhi kuhusu uislam. Pia waumini wamedangantwa sana kwenye uislam, mpaka kuambiwa kuwa quran ilishushwa toka kwa Mungu, wakati ndani ya quran, imasema eti Mohmd alikutana na malaika Gibril, akamwambia aandike atakayomwambia, lakini Mohmd akamwambia kuwa hana kalamu. Halafu kumbukumbu nyingine ndani ya qurani Mohm anaeleza kuwa yeye hakuwahi kujua kuandika wala kusoma, ila alimwomba mtu mwingine aandike aliyokuwa ameambiwa!
Hii inafikirisha na kufichua uongo uliodumu miaka mingi. Tujuavyo, malaika ni kama kompyuta ya Mungu. Hivyo, kitendo cha malaika na yule aliyemprogram na kumtuma kutojua kuwa Mohamed hakuwa anajua kusoma na kuandika kinaonyesha wazi kuwa huyo jibril anatia shaka. Maana, tunaambwa Mungu anajua yote yaliyopo na yajayo. Iweje alisindwa kujua kuwa Mohamed alikuwa ki-hiyo?
 
Ni kweli uislamu umejengwa Kwa msingi wa Ukristo na uko hapo kubishana na KRISTO, kumkataa, kumkanusha, kusema hakufa Wala si Mungu.

Yani ule ukiri utakaompatia mtu uzima wa milel, Katika uislamu unatakiwa uukanushe, alafu unapewa mambo ya kimaadili na Sheria za namna ya kuishi.

Kimsingi hili linahusu uzima wa milele dhidi ya mauti ya milele Moja Kwa Moja.

Inasemekana Mtume Muhammad alikuwa na rafiki Mkristo na ndiye aliyemfundisha haya mambo ya Kibiblia uyaonayo katika Quran.
 
Ni kweli uislamu umejengwa Kwa msingi wa Ukristo na uko hapo kubishana na KRISTO, kumkataa, kumkanusha, kusema hakufa Wala si Mungu.

Yani ule ukiri utakaompatia mtu uzima wa milel, Katika uislamu unatakiwa uukanushe, alafu unapewa mambo ya kimaadili na Sheria za namna ya kuishi.

Kimsingi hili linahusu uzima wa milele dhidi ya mauti ya milele Moja Kwa Moja.

Inasemekana Mtume Muhammad alikuwa na rafiki Mkristo na ndiye aliyemfundisha haya mambo ya Kibiblia uyaonayo katika Quran.
Umenichekesha na kuniacha hoi. Eti uzima wa milele! Vipi wakati akizikwa mtu wakristo husema apumzike milele kwenye nyumba yake ya milele. Hapa kuna uzima? Kuna umilele wowote katika uzima au ufu?
 
Kuna nadharia nyinhi kuhusu uislam. Pia waumini wamedangantwa sana kwenye uislam, mpaka kuambiwa kuwa quran ilishushwa toka kwa Mungu, wakati ndani ya quran, imasema eti Mohmd alikutana na malaika Gibril, akamwambia aandike atakayomwambia, lakini Mohmd akamwambia kuwa hana kalamu. Halafu kumbukumbu nyingine ndani ya qurani Mohm anaeleza kuwa yeye hakuwahi kujua kuandika wala kusoma, ila alimwomba mtu mwingine aandike aliyokuwa ameambiwa!
Msijitie ujuaji kwenye vitu msivyovijua, halafu wewe ni mzee mzima unaona upo sahihi kuzungumzia kitu ambacho huna elimu nacho?
 
Msijitie ujuaji kwenye vitu msivyovijua, halafu wewe ni mzee mzima unaona upo sahihi kuzungumzia kitu ambacho huna elimu nacho?
Umejuaje kuwa hana elimu na haya ayasemayo? Kwani kila kitu lazima kusomea au vingine ni kutumia akili ya kawaida tu?
 
Sasa bila kusoma utajuaje?
Kujua nini na kwanini? Kuna wazee wengi ambao hawakujua kusoma na kuandika lakini waliwapeleka watoto wao wakasoma hadi vyuo vikuu. Akina Plato tunaowakariri kila uchao hawakuwa wamesoma. Yesu na Mohamed wanaofuatwa walikuwa maamuma wa kawaida tu wasio na shahada wala cheti chochote mwanangu. Akina Mkwawa na Mirambo wala hawakuona darasa lakini walifanya makubwa kuliko hao wasomi wako.
 
Kujua nini na kwanini? Kuna wazee wengi ambao hawakujua kusoma na kuandika lakini waliwapeleka watoto wao wakasoma hadi vyuo vikuu. Akina Plato tunaowakariri kila uchao hawakuwa wamesoma. Yesu na Mohamed wanaofuatwa walikuwa maamuma wa kawaida tu wasio na shahada wala cheti chochote mwanangu. Akina Mkwawa na Mirambo wala hawakuona darasa lakini walifanya makubwa kuliko hao wasomi wako.
Tatizo lako wew unajua kusoma ni mpaka mtu aende darasani, Nabii muhammadi alisoma na mwalimu wake alikua gibril/ gabriel, yesu sijamfuatilia sana ila alisoma, plato alikua mwanafunzi wa socrates kwa hiyo wewe ndo hujasoma na unaongelea vitu usivyo na elimu navyo
 
Back
Top Bottom