Dini zote ni TAKATAKA, zilichokifanya ni kumkopi mtangulizi wake, ukristo ni Copy ya Imani za wagiriki+warumi ambao nao walicopy Imani kutoka Misri, ambayo nayo Misri ilicopy Imani halisi ya Uafrika katika nyakati na Falme kabla yake, ndiomana hizo stories zote za hayo mafundisho na hizo dini zinafanana sehemu fulani Fulani na baadhi ya sehemu ya hizo hadithi zinapingana.
Baada ya ukristo ndipo wakaibuka hao vilaza wa mwisho huko uarabuni waliokopi ukristo wa urumi na kuunda hiyo Quran na stories zake zilizochanganywa na tamaduni za uarabu.
Dini zote kuanzia ukristo, uislam, uhindu, rastafar, ubudha, uyahudi na TAKATAKA zifananazo zimeundwa kwa stories Moja kutoka Misri+Afrika ya kale ambayo Leo hii majambazi wa kiarabu wanaikalia kimabavu kwa kuharibu historia na kuifanya ionekane ni Yao
Pia mjue kuwa history haijaanzia Misri ya kale Bali kulikuwako Falme na staarabu mbalimbali kubwa zaidi ya hiyo Misri ambayo wazungu+waarabu wamewakalilisha kuwa hiyo ndiyo Falme pekee ya kale Afrika, kumbe zilikuwako nyingi, mfano Falme za huko Kushi, Falme za Babel ama East Afrika, Falme za Central Afrika ambayo wao kidini wamechange wanaita Israel, pia Falme za South na Central Afrika zilishakuwepo zilizokuwa na Ukubwa na utajiri wa Kila aina, kuanzia technologies ambazo kwa sasa hazipo na hatuna uwezo wa kuzifikia.
Kiufupi kizazi cha Sasa tunaishi katika UONGO by 100, maana historia ya dunia imepotoshwa Kila jambo linaelezwa ndivyo sivyo.
Historia ya muafrika imeporwa na kupewa hao wazungu+waarabu, huku sisi tukipewa sifa mbaya na historia ya uzushi waliyoitunga wao inayoanza pale walipoanza kuitawala Afrika kimabavu, lkn hawaelezi ukweli Nini kilikuwepo Afrika kabla ya utumwa,
Afrika ndiko makazi halisi ya viumbehai, Afrika ndiko kituo cha Miungu wote ambao ktk dini zenu mnawaita malaika, ambao walikuwa wakitoka ktk uhalisia wa Ulimwengu wao na kuingia duniani kupitia Afrika.
Afrika ndiko kitovu cha Maisha ya dunia na lango kuu la kuingia ktk Ulimwengu wa Miungu(mbingu), baadhi ya wazungu wanalijua hili ndiomana wanaendelea kuikalia Afrika kimabavu wakijua siku watapata Siri za Nguvu za ASILI za Ulimwengu kupitia Afrika.
Mambo haya kwa bahati mbaya hayafundishwi mashuleni maana sisi waafrika tumebaki kutegemea elimu ya mzungu ambayo ameshachuja mambo ambayo anataka tujue na yapi tusijue, bahati mbaya kwao, hivi Sasa kizazi hiki tuna bahati maana ukweli umeanza kufunuliwa.
Achaneni na hizo dini mnapotezewa muda.