Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Duh Kweli Elimu Inahitajika!
Ukristo na Agano la kale wapi na wapi..
Ni bora hata Ungesema Wayahudi..
Bora hata wayahudi Ndo wangesema Bila wao hakuna Dini za Ibrahimic zote..

Ningekuona Msomi kama Ungesema Bila Ukristo hakuna Dini ya Wamormons
 
Duh Kweli Elimu Inahitajika!
Ukristo na Agano la kale wapi na wapi..
Ni bora hata Ungesema Wayahudi..
Bora hata wayahudi Ndo wangesema Bila wao hakuna Dini za Ibrahimic zote..

Ningekuona Msomi kama Ungesema Bila Ukristo hakuna Dini ya Wamormons
Bila ukristo biblia tungeijua wapi? Unajua nani waliiandika au unahoji kuhoji tu kibubusha mwanangu? Usomi unaomaanisha hapa ni upi mwanangu? Bila agano la kale hakuna uislam wala ukristo maana ngano zake za uumbaji huanzia hapo. Ni rahisi hivyo hata bila kuwa na PhD kama mimi mwanangu.
 
Tatizo lako wew unajua kusoma ni mpaka mtu aende darasani, Nabii muhammadi alisoma na mwalimu wake alikua gibril/ gabriel, yesu sijamfuatilia sana ila alisoma, plato alikua mwanafunzi wa socrates kwa hiyo wewe ndo hujasoma na unaongelea vitu usivyo na elimu navyo
Yeye Mohamed alisema hakusoma ndiyo maana hata alishindwa kutamka Iqra Bismi Rabikka alipambiwa asome wewe unasema alikuwa amesoma. Vipi mwanangu kama siyo kudanganya na kujidanganya?
 
Bila ukristo biblia tungeijua wapi? Unajua nani waliiandika au unahoji kuhoji tu kibubusha mwanangu? Usomi unaomaanisha hapa ni upi mwanangu? Bila agano la kale hakuna uislam wala ukristo maana ngano zake za uumbaji huanzia hapo. Ni rahisi hivyo hata bila kuwa na PhD kama mimi mwanangu.
Kiumri Mimi Ni babu yako!
ila Ki Jf ni Member Mwenzako tumia tu Neno Mkuu Litaeleweka zaidi!

USomi naomaanisha hapo ni Usomi wa Elimu yaani Ujuzi,
Namaanisha Ungekuwa na Ujuzi wa Maarifa ya Abrahimic religion zilivyoanza Nafikiri Neno sahihi Lilikuwa Ni Bila Wayahudi (Jews) Ukristo Usingekuwepo wala Uislamu..
Na Bila Ukristo Wa Mormons wasingekuwepo..

Kitu ambacho unashindwa Kuelewa Ni kwamba Kipindi ukristi kabla Haujaenea wala Kuwaza Kuanzishwa Paulo na Baadhi ya wanafunzi walienda Uarabuni Kujifunza Ustarabu kabla ya Kuanza kueneza Injili..
Unafahamu Hilo??
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Umeleta mada bila ushahidi kitaalam tunaita "RANTING" au kwa kiswahili "KUROPOKA".
 
Yeye Mohamed alisema hakusoma ndiyo maana hata alishindwa kutamka Iqra Bismi Rabikka alipambiwa asome wewe unasema alikuwa amesoma. Vipi mwanangu kama siyo kudanganya na kujidanganya?
Unajua Maana ya Iqra Bismi Rabbika?
Ngoja nikusaidie Neno ulilotaja Tafsiri yake ni "Soma kwa jina la Mola wako mlezi"

Yaani Hiyo ndo kauli aliyoambiwa na Malaika ila sio kwanba alishindwa Kutamka hayo maneno..Sijui kama unaelewa ?
 
Yeye Mohamed alisema hakusoma ndiyo maana hata alishindwa kutamka Iqra Bismi Rabikka alipambiwa asome wewe unasema alikuwa amesoma. Vipi mwanangu kama siyo kudanganya na kujidanganya?
Sasa hapo si ndo wakati anaanza kusomeshwa au we umeelwaje
 
Yeye Mohamed alisema hakusoma ndiyo maana hata alishindwa kutamka Iqra Bismi Rabikka alipambiwa asome wewe unasema alikuwa amesoma. Vipi mwanangu kama siyo kudanganya na kujidanganya?
Inaonekana hujui historian ya dini yoyote Bora ungenyamaza na ulivo mbishimbishi Sasa iqra bismi rabikka unajua maana yake? Nenda katafute maana ndo uje uropoke vizur
 
Mambo mengi ktk uislam nayakubali ila lile la kudai kwamba lugha itakayo kuwa inazungumza huko mbinguni ni kiarabu tu.
Sasa wachina zaidi ya billion moja watakuwa wanazungumza lugha gani.
Au tutajikuta tu tunazungumza kiarabu?
 
Mambo mengi ktk uislam nayakubali ila lile la kudai kwamba lugha itakayo kuwa inazungumza huko mbinguni ni kiarabu tu.
Sasa wachina zaidi ya billion moja watakuwa wanazungumza lugha gani.
Au tutajikuta tu tunazungumza kiarabu?
Wachina wana imani Yao msiwaingize kwenye Ibrahimic Religion wao hata Mbingu hawaijui kama Ipo 🤣
 
Dini zote ni TAKATAKA, zilichokifanya ni kumkopi mtangulizi wake, ukristo ni Copy ya Imani za wagiriki+warumi ambao nao walicopy Imani kutoka Misri, ambayo nayo Misri ilicopy Imani halisi ya Uafrika katika nyakati na Falme kabla yake, ndiomana hizo stories zote za hayo mafundisho na hizo dini zinafanana sehemu fulani Fulani na baadhi ya sehemu ya hizo hadithi zinapingana.

Baada ya ukristo ndipo wakaibuka hao vilaza wa mwisho huko uarabuni waliokopi ukristo wa urumi na kuunda hiyo Quran na stories zake zilizochanganywa na tamaduni za uarabu.

Dini zote kuanzia ukristo, uislam, uhindu, rastafar, ubudha, uyahudi na TAKATAKA zifananazo zimeundwa kwa stories Moja kutoka Misri+Afrika ya kale ambayo Leo hii majambazi wa kiarabu wanaikalia kimabavu kwa kuharibu historia na kuifanya ionekane ni Yao

Pia mjue kuwa history haijaanzia Misri ya kale Bali kulikuwako Falme na staarabu mbalimbali kubwa zaidi ya hiyo Misri ambayo wazungu+waarabu wamewakalilisha kuwa hiyo ndiyo Falme pekee ya kale Afrika, kumbe zilikuwako nyingi, mfano Falme za huko Kushi, Falme za Babel ama East Afrika, Falme za Central Afrika ambayo wao kidini wamechange wanaita Israel, pia Falme za South na Central Afrika zilishakuwepo zilizokuwa na Ukubwa na utajiri wa Kila aina, kuanzia technologies ambazo kwa sasa hazipo na hatuna uwezo wa kuzifikia.

Kiufupi kizazi cha Sasa tunaishi katika UONGO by 100, maana historia ya dunia imepotoshwa Kila jambo linaelezwa ndivyo sivyo.

Historia ya muafrika imeporwa na kupewa hao wazungu+waarabu, huku sisi tukipewa sifa mbaya na historia ya uzushi waliyoitunga wao inayoanza pale walipoanza kuitawala Afrika kimabavu, lkn hawaelezi ukweli Nini kilikuwepo Afrika kabla ya utumwa,

Afrika ndiko makazi halisi ya viumbehai, Afrika ndiko kituo cha Miungu wote ambao ktk dini zenu mnawaita malaika, ambao walikuwa wakitoka ktk uhalisia wa Ulimwengu wao na kuingia duniani kupitia Afrika.

Afrika ndiko kitovu cha Maisha ya dunia na lango kuu la kuingia ktk Ulimwengu wa Miungu(mbingu), baadhi ya wazungu wanalijua hili ndiomana wanaendelea kuikalia Afrika kimabavu wakijua siku watapata Siri za Nguvu za ASILI za Ulimwengu kupitia Afrika.

Mambo haya kwa bahati mbaya hayafundishwi mashuleni maana sisi waafrika tumebaki kutegemea elimu ya mzungu ambayo ameshachuja mambo ambayo anataka tujue na yapi tusijue, bahati mbaya kwao, hivi Sasa kizazi hiki tuna bahati maana ukweli umeanza kufunuliwa.

Achaneni na hizo dini mnapotezewa muda.
 

Attachments

  • 1732474571493.jpg
    1732474571493.jpg
    337.6 KB · Views: 6
Torati na Ukristo wapi na wapi ndugu?

Wakati wa Musa Ukristo ulikuwepo? Ndiyo ulivyofundishwa Sunday School?
Uislamu ni zao la Roman Catholic,uliundwa kwa lengo la kuvuruga vuguvugu la harakati za kuipinga taasisi ya RC na makasisi wake waliokuwa wanawatesa na kuuwa watu waliokuwa wanapinga uongo na upagani wa RC uliokuwa umeingizwa kwenye taratibu za ibada.
Bahati mbaya sana ni kuwa, baada ya kumpika vizuri Mudy [Mohammed]kimafunzo na akaiva, jamaa alivuruga mpango mzima wa makasisi wa RC,ambao walitaka liwe zoezi la muda mfupi, lakini mudy akajirasimishia mamlaka na kutumia nguvu kubwa sana [kwa kumwaga damu sana]ili kulazimisha watu kuwa waislamu.Makasisi wa RC walishindwa kumdhibiti huyo kijana [Mudy], ndiyo maana uislamu upo hadi sasa.
Huu ni ukweli ambao viongozi wakubwa wa RC na hata wa uislamu [baadhi]wanaujua.
 
Waislam wanaabudu Mungu mmoja tu, hao wengine wana miungu watatu mwana Baba na roho
Kama kitu huelewi kaa kimya na uulize aliyekuambia wakristo Wana Miungu watatu alikudanganya,
Mungu ni mmoja ila wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu

Baba (The source)

Eternal son (Word,YAHUSHA )
( HAMASHIACH)
Holly Spirit (The creator,Nguvu ya uumbaji na mtendaji wa kazi zote, ultimate Power)

Mungu ni Asili na wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu katika mmoja,

Hii siri ya Uungu ipo wazi kwa watu waliofunuliwa tu wengine hata mkipigiwa Ngoma hamtakaa muelewe

Asili ndio inabeba maana

Mungu
Baba (wanaoshiriki Asili ni 3)
Mwana
Roho Mtakatifu

Mwanadamu
Mwanaume (Asili ni 2)
Mwanamke

Malaika
Serafi ( wanaoshiriki Asili 1)
Cherubim
Nk nk.......

Hii elimuna maarifa hamuwezi yapata kanisani wala Misikitini kwenu ndio maana maswala ya Spiritual Enlightenment yanawapiga chenga hamauelewi huu mtiririko mnaishia kubishana morals and dogma za dini ambazo zilitungwa na watu tu
Ukitaka kumjua Mungu sharti umjue YAHUSHA HAMASHIACH (Jesus Christ)
Na umkiri kwa moyo wako wote ndipo utakapopewa Roho Mtakatifu atakaye kufunulia siri za ufalme wa Mungu automatic!
 
Uislamu ni zao la Roman Catholic,uliundwa kwa lengo la kuvuruga vuguvugu la harakati za kuipinga taasisi ya RC na makasisi wake waliokuwa wanawatesa na kuuwa watu waliokuwa wanapinga uongo na upagani wa RC uliokuwa umeingizwa kwenye taratibu za ibada.
Bahati mbaya sana ni kuwa, baada ya kumpika vizuri Mudy [Mohammed]kimafunzo na akaiva, jamaa alivuruga mpango mzima wa makasisi wa RC,ambao walitaka liwe zoezi la muda mfupi, lakini mudy akajirasimishia mamlaka na kutumia nguvu kubwa sana [kwa kumwaga damu sana]ili kulazimisha watu kuwa waislamu.Makasisi wa RC walishindwa kumdhibiti huyo kijana [Mudy], ndiyo maana uislamu upo hadi sasa.
Huu ni ukweli ambao viongozi wakubwa wa RC na hata wa uislamu [baadhi]wanaujua.
🤣🤣🤣.kwa hyo Muhammad Ali weka kwenye utumie na roman Catholic.
Vichekesho hivi.
 
Dini zote ni TAKATAKA, zilichokifanya ni kumkopi mtangulizi wake, ukristo ni Copy ya Imani za wagiriki+warumi ambao nao walicopy Imani kutoka Misri, ambayo nayo Misri ilicopy Imani halisi ya Uafrika katika nyakati na Falme kabla yake, ndiomana hizo stories zote za hayo mafundisho na hizo dini zinafanana sehemu fulani Fulani na baadhi ya sehemu ya hizo hadithi zinapingana.

Baada ya ukristo ndipo wakaibuka hao vilaza wa mwisho huko uarabuni waliokopi ukristo wa urumi na kuunda hiyo Quran na stories zake zilizochanganywa na tamaduni za uarabu.

Dini zote kuanzia ukristo, uislam, uhindu, rastafar, ubudha, uyahudi na TAKATAKA zifananazo zimeundwa kwa stories Moja kutoka Misri+Afrika ya kale ambayo Leo hii majambazi wa kiarabu wanaikalia kimabavu kwa kuharibu historia na kuifanya ionekane ni Yao

Pia mjue kuwa history haijaanzia Misri ya kale Bali kulikuwako Falme na staarabu mbalimbali kubwa zaidi ya hiyo Misri ambayo wazungu+waarabu wamewakalilisha kuwa hiyo ndiyo Falme pekee ya kale Afrika, kumbe zilikuwako nyingi, mfano Falme za huko Kushi, Falme za Babel ama East Afrika, Falme za Central Afrika ambayo wao kidini wamechange wanaita Israel, pia Falme za South na Central Afrika zilishakuwepo zilizokuwa na Ukubwa na utajiri wa Kila aina, kuanzia technologies ambazo kwa sasa hazipo na hatuna uwezo wa kuzifikia.

Kiufupi kizazi cha Sasa tunaishi katika UONGO by 100, maana historia ya dunia imepotoshwa Kila jambo linaelezwa ndivyo sivyo.

Historia ya muafrika imeporwa na kupewa hao wazungu+waarabu, huku sisi tukipewa sifa mbaya na historia ya uzushi waliyoitunga wao inayoanza pale walipoanza kuitawala Afrika kimabavu, lkn hawaelezi ukweli Nini kilikuwepo Afrika kabla ya utumwa,

Afrika ndiko makazi halisi ya viumbehai, Afrika ndiko kituo cha Miungu wote ambao ktk dini zenu mnawaita malaika, ambao walikuwa wakitoka ktk uhalisia wa Ulimwengu wao na kuingia duniani kupitia Afrika.

Afrika ndiko kitovu cha Maisha ya dunia na lango kuu la kuingia ktk Ulimwengu wa Miungu(mbingu), baadhi ya wazungu wanalijua hili ndiomana wanaendelea kuikalia Afrika kimabavu wakijua siku watapata Siri za Nguvu za ASILI za Ulimwengu kupitia Afrika.

Mambo haya kwa bahati mbaya hayafundishwi mashuleni maana sisi waafrika tumebaki kutegemea elimu ya mzungu ambayo ameshachuja mambo ambayo anataka tujue na yapi tusijue, bahati mbaya kwao, hivi Sasa kizazi hiki tuna bahati maana ukweli umeanza kufunuliwa.

Achaneni na hizo dini mnapotezewa muda.
Wahi kitanda pale Dom.
 
Kujua nini na kwanini? Kuna wazee wengi ambao hawakujua kusoma na kuandika lakini waliwapeleka watoto wao wakasoma hadi vyuo vikuu. Akina Plato tunaowakariri kila uchao hawakuwa wamesoma. Yesu na Mohamed wanaofuatwa walikuwa maamuma wa kawaida tu wasio na shahada wala cheti chochote mwanangu. Akina Mkwawa na Mirambo wala hawakuona darasa lakini walifanya makubwa kuliko hao wasomi wako.
Yesu alisoma usimlinganishe na maamuma mwamwedi
 
Back
Top Bottom