Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Uislamu ni zao la Roman Catholic,uliundwa kwa lengo la kuvuruga vuguvugu la harakati za kuipinga taasisi ya RC na makasisi wake waliokuwa wanawatesa na kuuwa watu waliokuwa wanapinga uongo na upagani wa RC uliokuwa umeingizwa kwenye taratibu za ibada.
Bahati mbaya sana ni kuwa, baada ya kumpika vizuri Mudy [Mohammed]kimafunzo na akaiva, jamaa alivuruga mpango mzima wa makasisi wa RC,ambao walitaka liwe zoezi la muda mfupi, lakini mudy akajirasimishia mamlaka na kutumia nguvu kubwa sana [kwa kumwaga damu sana]ili kulazimisha watu kuwa waislamu.Makasisi wa RC walishindwa kumdhibiti huyo kijana [Mudy], ndiyo maana uislamu upo hadi sasa.
Huu ni ukweli ambao viongozi wakubwa wa RC na hata wa uislamu [baadhi]wanaujua.
Rabbish from kafiri
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
 
Umeleta hoja bila ushahidi kitaalam tunaita "RANTING" au kwa kiswahili "KUROPOKA".
Sijui kama umeelewa hoja tangia mwanzo. RANTING au RAVING vinatoka wapi hapa? Tatizo ni kujibu bila kusoma between the lines mwanangu. Tokana na ushabiki na imani, wengi wanajibu bila kufikiri na ndiyo maana ilikuwa rahisi kuwaingiza kwenye utumwa wa kutumikia mila za watu na kukimbia zao zikiwamo imani.
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
Hakuna aliye sahihi hasa ikizingatiwa kuwa zote ni ngano za kubuni mwanangu.
 
Unajua Maana ya Iqra Bismi Rabbika?
Ngoja nikusaidie Neno ulilotaja Tafsiri yake ni "Soma kwa jina la Mola wako mlezi"

Yaani Hiyo ndo kauli aliyoambiwa na Malaika ila sio kwanba alishindwa Kutamka hayo maneno..Sijui kama unaelewa ?
Nisingejua maana ya iqra bismi rabbika nisingelitumia mwanangu. Tumia akili japo kidogo. Unawezaje kuwambia mtu asiyejua kusoma soma wakati hajui? Itakuwa ima hujui au anayeripoti hajui au anakosea. Nani asiyejua kuwa Mohamed alikuwa kihiyo?
 
Kama kitu huelewi kaa kimya na uulize aliyekuambia wakristo Wana Miungu watatu alikudanganya,
Mungu ni mmoja ila wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu

Baba (The source)

Eternal son (Word,YAHUSHA )
( HAMASHIACH)
Holly Spirit (The creator,Nguvu ya uumbaji na mtendaji wa kazi zote, ultimate Power)

Mungu ni Asili na wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu katika mmoja,

Hii siri ya Uungu ipo wazi kwa watu waliofunuliwa tu wengine hata mkipigiwa Ngoma hamtakaa muelewe

Asili ndio inabeba maana

Mungu
Baba (wanaoshiriki Asili ni 3)
Mwana
Roho Mtakatifu

Mwanadamu
Mwanaume (Asili ni 2)
Mwanamke

Malaika
Serafi ( wanaoshiriki Asili 1)
Cherubim
Nk nk.......

Hii elimuna maarifa hamuwezi yapata kanisani wala Misikitini kwenu ndio maana maswala ya Spiritual Enlightenment yanawapiga chenga hamauelewi huu mtiririko mnaishia kubishana morals and dogma za dini ambazo zilitungwa na watu tu
Ukitaka kumjua Mungu sharti umjue YAHUSHA HAMASHIACH (Jesus Christ)
Na umkiri kwa moyo wako wote ndipo utakapopewa Roho Mtakatifu atakaye kufunulia siri za ufalme wa Mungu automatic!
Mbona wanasema kuwa mungu wao ni mmoja katika utatu? Tupe na sifa za allah ambaye bila kumtaja mohamed huwezi kuwa muislam? Nadhani waislam wana miungu miwili lakini hawajui. Maana bila kusema ashhadu alla ilaha illallah wa ashhadu anna muhammadarrasulullah hujawa muislam.
 
Kama kitu huelewi kaa kimya na uulize aliyekuambia wakristo Wana Miungu watatu alikudanganya,
Mungu ni mmoja ila wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu

Baba (The source)

Eternal son (Word,YAHUSHA )
( HAMASHIACH)
Holly Spirit (The creator,Nguvu ya uumbaji na mtendaji wa kazi zote, ultimate Power)

Mungu ni Asili na wanaoshiriki Asili ya Uungu ni Watatu katika mmoja,

Hii siri ya Uungu ipo wazi kwa watu waliofunuliwa tu wengine hata mkipigiwa Ngoma hamtakaa muelewe

Asili ndio inabeba maana

Mungu
Baba (wanaoshiriki Asili ni 3)
Mwana
Roho Mtakatifu

Mwanadamu
Mwanaume (Asili ni 2)
Mwanamke

Malaika
Serafi ( wanaoshiriki Asili 1)
Cherubim
Nk nk.......

Hii elimuna maarifa hamuwezi yapata kanisani wala Misikitini kwenu ndio maana maswala ya Spiritual Enlightenment yanawapiga chenga hamauelewi huu mtiririko mnaishia kubishana morals and dogma za dini ambazo zilitungwa na watu tu
Ukitaka kumjua Mungu sharti umjue YAHUSHA HAMASHIACH (Jesus Christ)
Na umkiri kwa moyo wako wote ndipo utakapopewa Roho Mtakatifu atakaye kufunulia siri za ufalme wa Mungu automatic!
Upumbavu wa wahuni kina gamanywa na mwamposa huu
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
Mudi boy ni muongo ...ukitumia akili na logic utagundua uongo wa mudi boy
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
Agano la kale lipo sahihi.
 
Upumbavu uko hapa..
bibilia imekopi Torati na kujfanya ni toleo la kale lakini wenye Torati hawaikubali bibilia wala mtumishi wake .....
Hata wao wanafikiri ingekuwaje kama Torati ingekopi bibilia

1733618297443.png
 
Upumbavu uko hapa..
bibilia imekopi Torati na kujfanya ni toleo la kale lakini wenye Torati hawaikubali bibilia wala mtumishi wake .....
Hata wao wanafikiri ingekuwaje kama Torati ingekopi bibilia

View attachment 3171712
Hujui kama Genesis ni sehemu ya Torah ?

Au hujui kama Habari za Abraham na Isaac zimeandikwa kwenye Genesis ?

Mimi mtu hawezi kunishawishi kusoma Quran.
 
Upumbavu uko hapa..
bibilia imekopi Torati na kujfanya ni toleo la kale lakini wenye Torati hawaikubali bibilia wala mtumishi wake .....
Hata wao wanafikiri ingekuwaje kama Torati ingekopi bibilia

View attachment 3171712

Uislamu umebuniwa miaka 500 baada ya Kristo, ukaja na mafundisho tofauti yanayokinzana na kila kitu alichofundisha Yesu.
 
Mambo mengi ktk uislam nayakubali ila lile la kudai kwamba lugha itakayo kuwa inazungumza huko mbinguni ni kiarabu tu.
Sasa wachina zaidi ya billion moja watakuwa wanazungumza lugha gani.
Au tutajikuta tu tunazungumza kiarabu?

Hiyo ni hoja ambayo huwa hawajawahi kuijibu hata siku moja.
Lkn naona Kwamba hiyo ni mbinu ya waarabu kutumia uislam kama chombo au mpango wa kueneza tamaduni,mila na desturi za wao. Wee huwezi unaamka saa kumi alfajili na kuanza kuimba na ma loudspeakers 📢 🔊 🔈 na kuanza kutamka maneno yale yale miaka nenda miaka rudi bila reasoning. Wee unafikiri kuna ibada hapo. Kama siyo mental hijack na waarabu ni nini?
 
Hiyo ni hoja ambayo huwa hawajawahi kuijibu hata siku moja.
Lkn naona Kwamba hiyo ni mbinu ya waarabu kutumia uislam kama chombo au mpango wa kueneza tamaduni,,mila na desturi za kiarabu. Wee huwezi unaamka saa kumi alfajili na kuanza kuimba na ma loudspeakers 📢 🔊 🔈 na kuanza kutamka maneno yale yale miaka nenda miaka rudi bila reasoning. Wee unafikiri kuna ibada hapo. Kama siyo mental hijack na waarabu ni nini?
elliakim una bonge la pwenti. Hii inaitwa conditioning ambapo mtu akiiimba wimbo ule ule hutokea kuwa sehemu ya maisha yake. Hata watekwaji kwenye kinachoitwa stockholm syndrome, kwa kuzoea kuwaona na kuintract na watekaji wao, hutokea kuwapenda na kuwaona kama wenzao wasio na kosa.
 
Nisingejua maana ya iqra bismi rabbika nisingelitumia mwanangu. Tumia akili japo kidogo. Unawezaje kuwambia mtu asiyejua kusoma soma wakati hajui? Itakuwa ima hujui au anayeripoti hajui au anakosea. Nani asiyejua kuwa Mohamed alikuwa kihiyo?
Habari Mjukuu wangu!
Umesahau kuwa Mungu alijua Kuwa Mariam hana Mume na Ni bikra ila alimwambia Atapata mimba na atamzaa Yesu?
Je mungu alikuwa Hajui kama Mariam ni bikra na Hana Mume wakati huo?
Tena jambo hilo linatukia kwa malaika yuleyule aliyekwwnda Kwa Mohamedi na Kumwambia Asome wakati anajua kuwa hajui kusoma?

Lengo la Kumwambia Mariam Atazaa wakati hana uwezo wa Kifanya Hivyo ndo lengo hilo hilo la kumwambia Mohamedi asome wakati hawezi kusoma..

Na mara nyingi walipokuwa wanahoji au Kuuliza kuhusu Ishara ya mambo hayo walipewa Kumbuka Kuhusu Zakaria kuhusu Kumzaa Yohana..
 
Upumbavu wa wahuni kina gamanywa na mwamposa huu
Upumbavu?Hapa huyo Mwamposa & co wanaingiaje?
Upo serious kweli Mwamba
Haya Naomba niletee Rank za Divine Katika Spiritual Realm/God Kingdom
Kama unajua mkuu,
Mimi nitakuletea
Hapa hapa namna ya kufika higher consciousness na kua attach spiritual Enlightenment!

Nipo tayari kwa kujifunza kwako!
 
Habari Mjukuu wangu!
Umesahau kuwa Mungu alijua Kuwa Mariam hana Mume na Ni bikra ila alimwambia Atapata mimba na atamzaa Yesu?
Je mungu alikuwa Hajui kama Mariam ni bikra na Hana Mume wakati huo?
Tena jambo hilo linatukia kwa malaika yuleyule aliyekwwnda Kwa Mohamedi na Kumwambia Asome wakati anajua kuwa hajui kusoma?

Lengo la Kumwambia Mariam Atazaa wakati hana uwezo wa Kifanya Hivyo ndo lengo hilo hilo la kumwambia Mohamedi asome wakati hawezi kusoma..

Na mara nyingi walipokuwa wanahoji au Kuuliza kuhusu Ishara ya mambo hayo walipewa Kumbuka Kuhusu Zakaria kuhusu Kumzaa Yohana..
Uwe na adabu mwanangu. Mie ni baba yako na siyo babu yako hadi uniite mjuku. Mariam aliza baada ya kuzingirwa na roho mtakatifu na kupata mimba. Je alipomzingira alimfanya nini? Tutajuaje kama aliyemzingira alikuwa roho mtakatifu na si mbakaji au mshikaji? Tutajuaje kama hii hadi ya kupata mimba kwa roho mtakatifu ilitengezwa kumuepusha na kashfa ya kuzaa kabla ya ndoa.
 
Uwe na adabu mwanangu. Mie ni baba yako na siyo babu yako hadi uniite mjuku. Mariam aliza baada ya kuzingirwa na roho mtakatifu na kupata mimba. Je alipomzingira alimfanya nini? Tutajuaje kama aliyemzingira alikuwa roho mtakatifu na si mbakaji au mshikaji? Tutajuaje kama hii hadi ya kupata mimba kwa roho mtakatifu ilitengezwa kumuepusha na kashfa ya kuzaa kabla ya ndoa.
Wewe Ni Mjukuu wangu na Hilo Usibishe kabisa..
Wewe Ni mtoto mdogo sana kwa Jinsi unavyojenga hoja Miaka yako haizidi 40 kwahyo Bado mtoto sana...

Ila nimefurahi jinsi ulivyojenga hoja ya Mariam..
Sasa kama Ukimkana mariam Kubeba mimba Maana Yake unakana imani ya Kikristo yaani Msingi wa Imani ya Kikristo..

Kwahyo umesema Mariam alibakwa?🤣🤣🤣
Dah kuna Vijana Akili mmezificha wapi? 🤣🤣🤣

Kwahyo Conclusion yako ni Kwamba Roho Mtakatifu alimbaka Mariam?? Dah Hii kali sana 🤣🤣
 
Wewe Ni Mjukuu wangu na Hilo Usibishe kabisa..
Wewe Ni mtoto mdogo sana kwa Jinsi unavyojenga hoja Miaka yako haizidi 40 kwahyo Bado mtoto sana...

Ila nimefurahi jinsi ulivyojenga hoja ya Mariam..
Sasa kama Ukimkana mariam Kubeba mimba Maana Yake unakana imani ya Kikristo yaani Msingi wa Imani ya Kikristo..

Kwahyo umesema Mariam alibakwa?🤣🤣🤣
Dah kuna Vijana Akili mmezificha wapi? 🤣🤣🤣

Kwahyo Conclusion yako ni Kwamba Roho Mtakatifu alimbaka Mariam?? Dah Hii kali sana 🤣🤣
Nasema tena mwanangu. Niheshimu. Ungejua kwangu mtu mwenye miaka 40 au 50 ni kichanga kama wewe. Laiti ungekutana nami, ungesema babu badala ya kujihadaa eti mie mjukuu wako kumbaff kabisa. Umeniudhi hadi nikatukani. Nyambaff kabisa chika adabu na adabu ikuchike.
 
Back
Top Bottom