Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Hakuna ubishi, bila biblia, hakuna uislam. Kama ukristo ungedukua na kukopi na kupaste quran, hali ingekuwaje?

Uislam ulianzishwa na dola ya Rumi ili kuupa Ukristo changamoto au upinzani. Uislam hautoki kwa Mungu, maandalizi ya dini ya shetani yalianzia huko na sasa shetani ka advance sana.

Iko hivi; baada ya wanafunzi wa Yesu kuuawa sana na dola ya Rumi, hasa mfalme wa wakati huo (cheo cha mfalme those days wao walikua wanaita Kaisari ) bwana Nero, aliona ni kama kadiri anavyo watisha kwa kuwaua ndio wanaongezeka zaidi, wahubiri wao wanaongezeka na kupata ujasiri zaidi, think tank ya dola la Rumi likaja na option ya kutengeneza dini nyingine ambayo itakua against na Ukristo. Muulize muislam yeyote hata anae anza kujifunza Uislam leo, atakwambia hivi, "miongoni mwa watu wa kwanza ku justify utume wa Mohammed ni padre wa Roman Catholic aliyekua anahudumu pale Makkah na Madina. Now why padre? It is because waasisi wa Uislam ni Vatcan
Bwana NERO alitawala kuanzia 13 October 54 – 9 June 68 AD
Halafu Ukristo Ukaanza kuwa Dini ya Serikali Mwaka 380 AD na baada ya Hapo hakuna Mkristo alieuliwa Tena..zaidi ya Wayahudi na wengine waliopingana na Ukristo..

Halafu from No where, How Comes Waje Kuleta Suluhisho Hao unaowaita Think Tank kwamba wautafutie Ukristo (Wakati huo tayar ni Dini ya Serkali) Mpinzani Mwaka 622 AD..(Dini ya kiislamu Ilipoanza)

Yaani Tangazo rasmi la Ukristo kuwa dini ya serikali ya Dola ya Kirumi lilitolewa mwaka 380 AD kupitia Amri ya Thesalonike (Edict of Thessalonica). Amri hii ilitolewa na Kaisari Theodosius I, pamoja na Kaisari Gratian na Valentinian II..

Nashindwa Kuconnect Dot ya Facts zako..

Yaani Logic Yako haiji kabisa..hata Kidogo yaani Tayari Ukristo Umekuwa Dini ya Kiserkali kwa Amri maalumu ya Kifalme takribani miaka 242 halafu baadae Walete dini ya Kupingana nayo..
Hapo Kiukweli Your logic is non sequitur
 
Sijui kama umeelewa hoja tangia mwanzo. RANTING au RAVING vinatoka wapi hapa? Tatizo ni kujibu bila kusoma between the lines mwanangu. Tokana na ushabiki na imani, wengi wanajibu bila kufikiri na ndiyo maana ilikuwa rahisi kuwaingiza kwenye utumwa wa kutumikia mila za watu na kukimbia zao zikiwamo imani.
Ona umeishia kutotoa ushahidi kuhusu mada yako uliyoianzisha , wacha kuzunguka weka ushahidi unaothibitisha hayo uliyoandika.
 
Bila biblia na ukristo, hakuna quran wala uislam. Quran na uislam vimejengwa kwenye torati ambayo ilianzia kwenye ukristo. Hadithi zake kuu kama vile uumbaji wa Adam na Hawa, ukuu wa Ibrahim kama baba wa wote, sharia, tabia na mengine vina asili kwenye torati. Najiuliza. Kama ukristo ungedukua quran, ingekuwaje?
Kwani mungu amewahi kubadilika?
 
Uislam unasema Ibrahim alitaka kumchinja Ismail kwaajili ya sadaka
Ukristo unasema Ibrahim alitaka kumchinja Isaka kwaajili ya sadaka
Nani yupo sahihi? Kwa rejea ipi?
Uyahudi na Ukristo ni dini za kale zaidi kuliko Uislamu.
 
Kweli wewe ni mjinga. Hujui kama yule mkuresh asiyejua kusoma wala kuandika alisomewa Biblia na Padri wa Kirumi mkuu?
Huoni huo ni dalili na miujiza kutoka kwa mungu kama mtu asiyejua kusoma na kuandika kaleta kitabu kisichokuwa na shaka , ewe kafir unataka dalili gani mungu wako akuletee ndio uelewe
 
Bwana NERO alitawala kuanzia 13 October 54 – 9 June 68 AD
Halafu Ukristo Ukaanza kuwa Dini ya Serikali Mwaka 380 AD na baada ya Hapo hakuna Mkristo alieuliwa Tena..zaidi ya Wayahudi na wengine waliopingana na Ukristo..

Halafu from No where, How Comes Waje Kuleta Suluhisho Hao unaowaita Think Tank kwamba wautafutie Ukristo (Wakati huo tayar ni Dini ya Serkali) Mpinzani Mwaka 622 AD..(Dini ya kiislamu Ilipoanza)

Yaani Tangazo rasmi la Ukristo kuwa dini ya serikali ya Dola ya Kirumi lilitolewa mwaka 380 AD kupitia Amri ya Thesalonike (Edict of Thessalonica). Amri hii ilitolewa na Kaisari Theodosius I, pamoja na Kaisari Gratian na Valentinian II..

Nashindwa Kuconnect Dot ya Facts zako..

Yaani Logic Yako haiji kabisa..hata Kidogo yaani Tayari Ukristo Umekuwa Dini ya Kiserkali kwa Amri maalumu ya Kifalme takribani miaka 242 halafu baadae Walete dini ya Kupingana nayo..
Hapo Kiukweli Your logic is non sequitu
👍👍👍
 
yaani Iko hv
Myahudi, Mrumi, Mkristo ,Mohamad, ongeza na dini unazozijua , hawajawahi kum kumuelewa huyu mwamba anaitwa Yesu Kristo
wote wanampinga
 
Kweli wewe ni mjinga. Hujui kama yule mkuresh asiyejua kusoma wala kuandika alisomewa Biblia na Padri wa Kirumi mkuu?
Baada ya kusomewa ndo akachukua mafundisho ya biblia?kachukuaje wakati hajui kusoma Wala kuandika?
 
Uislamu umebuniwa miaka 500 baada ya Kristo, ukaja na mafundisho tofauti yanayokinzana na kila kitu alichofundisha Yesu.
Na ukristo ulianzishwa na wazungu miaka 400 baada ya Torati ndio maana wazayuni alikotokea yesu hawautaki ukristo, sababu bibilia ya agano jipya imejaa pumba tupu ...

1733651930550.png

1733652106406.png
 
Kuna nadharia nyinhi kuhusu uislam. Pia waumini wamedangantwa sana kwenye uislam, mpaka kuambiwa kuwa quran ilishushwa toka kwa Mungu, wakati ndani ya quran, imasema eti Mohmd alikutana na malaika Gibril, akamwambia aandike atakayomwambia, lakini Mohmd akamwambia kuwa hana kalamu. Halafu kumbukumbu nyingine ndani ya qurani Mohm anaeleza kuwa yeye hakuwahi kujua kuandika wala kusoma, ila alimwomba mtu mwingine aandike aliyokuwa ameambiwa!
Kuna ni Oral tradition toka miaka hio hadi leo, vitu vidogo kama hivi hamvijui mnaanza tu ku spread mi's information.
 
Umenichekesha na kuniacha hoi. Eti uzima wa milele! Vipi wakati akizikwa mtu wakristo husema apumzike milele kwenye nyumba yake ya milele. Hapa kuna uzima? Kuna umilele wowote katika uzima au ufu?
Biblia haisemi kuwa kifo/kaburi ni nyumba ya milele, Biblia inasema wafu wote watafufuliwa. Kufufuka kwa Yesu ni uthibitisho kuwa wafu watafufuliwa. Wanaosema kuwa kaburi ni nyumba ya milele sio Wakristo, bado wanahitaji elimu ya Ukristo na Maandiko Matakatifu.

Vv
 
Back
Top Bottom