Uislamu unamkubalije Yesu na Ukristo unamkataa vipi Yesu ?Soma vizuri torati au agano la kale au taurat ulinganishe, pia jikumbushe uislam unavyomkubali Yesu wakati ukristo ukigoma kutofanya hivyo. Jielimishe kwanza badala ya kuhoji bila kujua unachohoji mwanangu. Simpo.
Nakuelewa ila uliposema wasihusishwe wachina kwa sababu wana dini yao ndio nikakumbusha tu kwamba hiyo ni jamii hivyo wapo waislamu na wakristo miongoni mwao.Umewahi Kufika China?
Tamaduni za Kichina Unazijua?
Sijakataa Ni jamii kinachozungumzwa Ni majority..
Asilimia 80 ya Wachina hawana Dini ya Ukristo wala Uislamu..
Nilivyoelewa mimi hapo umefanya kuwa kuna Uungu na kuna hao watatu wanaoshiriki hiyo asili ya Uungu, na ndipo najiwa na swali la hao watatu ni kina nani ambao ndio hushiriki uungu? Maana ukitamka binaadamu inajulikana unazungumzia mtu na watu tupo wengi.Hapo kinachoangaliwa ni Asili
Wanaoshiriki hiyo Asili ni Watatu
Wote Wana Asili Moja,sifa Moja na wanafanya kitu kimoja kwa wakati mmoja,
Binadamu ni Asili na wanaoshiriki hiyo Asili ni wawili
Mwanaume na mwanamke
Hao wanafanana kila kitu wote ni fresh na intelligent
Kungekua na viumbe tofauti wanaoshiriki hii Asili ndio tungesema tupo wengi
Kwa mfano huo nadhani angalau umeelewa!
Ikiwa unamaanisha mungu wa Vatican,hapo sawa.Muhammad kapewa utume moja kwa moja kutoka kwa Mungu
Kama Yesu ni tofauti na Isa japo waislamu humkusudia Yesu wanapomtaja Isa, sasa mbna majini huwa mnasema ndio malaika waiyoasi japo waislam wenyewe wanasema majini ni viumbe tofauti na malaika na binaadamu? Huo ufanani wa majini na malaika waliyoasi ni upi?Uislamu unamkubalije Yesu na Ukristo unamkataa vipi Yesu ?
YESU ndiye mwanzilishi wa Ukristo
Waislamu hawamtambui Yesu kama mwana wa Mungu na anayeondoa dhambi
Waislamu wanamtambua jamaa mmoja anaitwa Isa ,ambaye ni tofauti kabisa na Yesu
Vatican mungu wao naniIkiwa unamaanisha mungu wa Vatican,hapo sawa.
Mm sio muislamuKama Yesu ni tofauti na Isa japo waislamu humkusudia Yesu wanapomtaja Isa, sasa mbna majini huwa mnasema ndio malaika waiyoasi japo waislam wenyewe wanasema majini ni viumbe tofauti na malaika na binaadamu? Huo ufanani wa majini na malaika waliyoasi ni upi?
Asante sana.Nenda kasome Ufunuo 2-12-13 utajua shetani makazi yake yako wapi.
Vatican mungu wao nani
Nawewe ni muumini wa Dini ya Mwenyezi Mungu?Kwa mara nyingine Tena makafiri wameshamkumbuka Papa wao kutoka Vatican na tayari vinyeo vimeshaanza kuwawasha hapa ndugu mtazamaji wanakusanyika kwa wingi hapa na kuanza kumchokonoa Baasha ili aje awakune ila mpaka sasa naona mabaasha hawajotekea nadhani wako vibanda umiza wanaabgalia Game ya Mabaasha wakuu wakicheza na Utopolo haya ngoja tuone kwa hali hii naona Makafiri yakipata tabu na kuruka ruka wakidai wanawashwa sijui nani ajitokeze awaondoe huu wahka unaowakuta ndugu makafiri.Nikilipoti kutoka kusikojulikana mi mimi ripota inch 9 wa kitaa media.
Ndio maana nikakuuliza hilo swali.Mm sio muislamu
Unataka kusema hata muarabu asiye muislamu pia anasali mara tano kwa siku kama utamaduni wa kiarabu?Uidlamu ni tamaduni ya mwarabu full stop.
Mungu atawasikiliza tu kwani siku ya pentecostal si waliongea lugha nyingi lakini walielewana mkuu!?Kila mtu akiongea lugha yake huko mbinguni hali itakuaje si inaweza kuwa fujo?
Ukristo umetokana na KRISTO sasa utaitenga vipi Bible AGANO la Kale n AGANO JIPYA? Aliyeandika vitabu 5 vya mwanzo ni Musa na huyo ni mmoja ya uzao wa waisrael na ndiye aliyetumwa kuwatoa huko Egypt na YESU kazaliwa katika mlolongo huo unatenga vipi?Ni vitu common kweli, sasa nashangaa inakuaje inaoneka uislamu umekopy maandiko ya wakristo kwa kumaanisha biblia hali ya kuwa biblia huo mkusanyiko wake una vitabu hadi ambavyo vilikuwepo kabla ya ukristo?
Na hapo ndipo inapokuja hoja ya kujimilikisha vitabu au maandiko ambayo yalikuwepo kabla hata ya kuwepo ukristo.
Nilikuwa huko nilishatokaNdio maana nikakuuliza hilo swali.
Yenyewe imejitenga kwa maana hakuna kitabu cha Mungu chenye kuitwa biblia, ndio maana ni muhimu kuzingatia biblia imekusanya vitabu hadi barua. Sijazungumzia ukristo umetokana na nini bali ukristo umeanza lini.Ukristo umetokana na KRISTO sasa utaitenga vipi Bible AGANO la Kale n AGANO JIPYA? Aliyeandika vitabu 5 vya mwanzo ni Musa na huyo ni mmoja ya uzao wa waisrael na ndiye aliyetumwa kuwatoa huko Egypt na YESU kazaliwa katika mlolongo huo unatenga vipi?
Swali langu linatokana na maelezo yako wala sio dini yako.Nilikuwa huko nilishatoka
Rudia swali lako liweke vizuriSwali langu linatokana na maelezo yako wala sio dini yako.
Unachokiongea Unakijua??Ukatoliki ulianzisha Uislamu kama njia ya kisiasa na kidini ya kudhoofisha nguvu za Ukristo na Uprotestanti. Matukio mbalimbali, kama vile Constantine (306-337 AD), Mapinduzi ya Uprotestanti (1500s), Migogoro ya Dola la Ottoman (1200-1300s), na Kuanzishwa kwa Uislamu (622 AD) yanaweza kuunganishwa kupitia mtindo wa kudhoofisha nguvu za dini na kisiasa, na kuonyesha jinsi mikakati ya Ukatoliki ilivyokuwa na athari kwa kuanzishwa kwa Uislamu.