Hakuna Ubishi Mwabukusi ni Mwanaharakati, Je TLS Yake Iwe ya Kiharakati, Au Asilete Harakati Zake kwenye TLS Yetu, Ibaki Kuwa Profesheno Body?

Hakuna Ubishi Mwabukusi ni Mwanaharakati, Je TLS Yake Iwe ya Kiharakati, Au Asilete Harakati Zake kwenye TLS Yetu, Ibaki Kuwa Profesheno Body?

Ukiwa kama mwanasheria mtanganyika ukapanua mdomo kupongeza Mzanzibari anayeuza mali za Tanganyika, bandari, airports, misitu, madini nk, huku akijaza wazanzibari wenzie kwenye ajira za watanganyika, unastahili kuitwa chawa mwenye njaa kama jina lako, anayekaa kwenye nywele chafu
Mkuu Gulwa, with due respect, hizi za kumuita ntu kwa utambulisho wa eneo analotoka kwa ubara na Uzanzibari, ni ubaguzi!, nimekusamehe kwasababu sio wewe tuu, wengi hawajui, unahitaji sana elumu ya uraia, baada ya Tanganyika na Zanzibar kuungana kuwa Tanzania, uraia ni mmoja tuu, Utanzania, na Watanzania wote wana haki sawa za uraia ndani ya JMT, hakuna Mzanzibari wala Mtanganyika kuna raia mmoja tuu Mtanzania, hivyo kwanza tuache ubaguzi kisha ndipo tujadiliane hayo mengine,
P
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Nipashe la leo
[

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.
"Kwa vile yeye ni Mwanaharakati, namuomba sana, chonde chonde asituletee uana harakati wake kwenye TLS yetu , TLS sio chama cha siasa, sio chama cha ki harakati, TLS ni a Professional Body"! Mathlani angekuwa mlokole, ungeandika asituletee ulokole wake! Uandishi wako unakiharufu cha hasira za kushindwa. Kila mtu anazo pande mbili za maisha na pande hizo ndizo zinazotukutanisha, mfano ninaweza kuwa na rafiki mzuri kwangu kumbe ni jambazi yaani mwema kwangu huku kazini kwake mkatiri. Wapo pia majaji wanahukumu vifo watuhumiwa na huku ni walokole, hata hivyo ulokole wao hawaufanyii ndani ya mahakama. Kwa kifupi komenti yako ni ya hasira na inakolezwa na "asituletee uanaharakati wake"!
 
Hakuna tatizo lolote kwa mtu kuwa mwanaharakati kwasababu harakati hazina tatizo kwa taasisi za ki harakati, TLS sio taasisi ya kiharakati, its a professional body. Professional bodies zinaendesha mambo yake professionally na harakati ndio zinaendeshwa ki harakati.
Mwana harakati kama Mwabukusu anapochaguliwa kuendesha a professiona body, there is a very thin line kati ya professionalism and activism!.
P
Kaka PASCO,Uanaharakati wa MWABUKUSI ni upi?.
 
Mkuu Gulwa, with due respect, hizi za kumuita ntu kwa utambulisho wa eneo analotoka kwa ubara na Uzanzibari, ni ubaguzi!, nimekusamehe kwasababu sio wewe tuu, wengi hawajui, unahitaji sana elumu ya uraia, baada ya Tanganyika na Zanzibar kuungana kuwa Tanzania, uraia ni mmoja tuu, Utanzania, na Watanzania wote wana haki sawa za uraia ndani ya JMT, hakuna Mzanzibari wala Mtanganyika kuna raia mmoja tuu Mtanzania, hivyo kwanza tuache ubaguzi kisha ndipo tujadiliane hayo mengine,
P
Wewe unaweza kugombea cheo chochote Zanzibar? Wao wana rais wao, serikali yao, bunge lako, bendera yao nk. Acheni unafiki na uchawa
 
"Kwa vile yeye ni Mwanaharakati, namuomba sana, chonde chonde asituletee uana harakati wake kwenye TLS yetu , TLS sio chama cha siasa, sio chama cha ki harakati, TLS ni a Professional Body"! Mathlani angekuwa mlokole, ungeandika asituletee ulokole wake! Uandishi wako unakiharufu cha hasira za kushindwa. Kila mtu anazo pande mbili za maisha na pande hizo ndizo zinazotukutanisha, mfano ninaweza kuwa na rafiki mzuri kwangu kumbe ni jambazi yaani mwema kwangu huku kazini kwake mkatiri. Wapo pia majaji wanahukumu vifo watuhumiwa na huku ni walokole, hata hivyo ulokole wao hawaufanyii ndani ya mahakama. Kwa kifupi komenti yako ni ya hasira na inakolezwa na "asituletee uanaharakati wake"!
Mkuu Hismastersvoice, kwanza asante sana kwa post yako hii, kiukweli wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye uwezo wa kusoma andiko la mtu na kubaini the motives behind, uwezo huo ni kipaji unaitwa graphology, unasoma andiko la mtu, unajua the moods and emotional status ya mwandishi. You are very right, haswa ukizingatia mimi ni member wa TLS na nilipiga kura.

Kwa vile hii sii mara ya kwanza kwa TLS kuongozwa na mwanaharakati, hatutaki kurudia kosa, hivyo tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu Mwabukusi aendeshe TLS yetu ki professional na sio kiharakati.
P
 
Mkuu Black Label (jina lako umenikumbusha mambo yangu na Joni Mtembezi, lebo nyeusi ndio mapigo yangu), kwenye hili la kupongeza, I'd like to differ, kuna pongezi za aina mbili hata kwa mtu anayetekeleza majukumu yake,
1. Pongezi za kwanza ni appreciation, kuwa mtu wa shukrani, shukuru kwa kila kitu. Mimi baba nina jukumu la kuleta mkate mezani kwangu, nikiwasili napokelewa na kuambiwa asante kwa huu mkate, hata kwenye yale mengineyo ya mtu kutimiza wajibu wake, vipi wewe huwa haushukuru baada ya kuhudumiwa?.

Inaendelea
Mkuu Hismastersvoice, kwanza asante sana kwa post yako hii, kiukweli wewe ni miongoni mwa wana jf wachache wenye uwezo wa kusoma andiko la mtu na kubaini the motives behind, uwezo huo ni kipaji unaitwa graphology, unasoma andiko la mtu, unajua the moods and emotional status ya mwandishi. You are very right, haswa ukizingatia mimi ni member wa TLS na nilipiga kura.

Kwa vile hii sii mara ya kwanza kwa TLS kuongozwa na mwanaharakati, hatutaki kurudia kosa, hivyo tuna wajibu wa kumsaidia rais wetu Mwabukusi aendeshe TLS yetu ki professional na sio kiharakati.
P
Maisha ya nje ya ujuzi ni tofauti na ya ndani ya ujuzi, ni vigumu sana wewe kumkubali mwenye vinasaba vya Chadema hata angekuwa dakitari wa wanyama.
Mbona uwekaji picha ya mtu kwenye bendera ya Tanzania hatujadili pamoja na kuwa la kisheria na katiba tunamjadili mtu Mwabukusi!
 
1. Pongezi za kwanza ni appreciation, kuwa mtu wa shukrani, shukuru kwa kila kitu. Mimi baba nina jukumu la kuleta mkate mezani kwangu, nikiwasili napokelewa na kuambiwa asante kwa huu mkate, hata kwenye yale mengineyo ya mtu kutimiza wajibu wake, vipi wewe huwa haushukuru baada ya kuhudumiwa?.
Kama inabidi tupongezane kwenye majukumu ya job description basi makazini tutatumia muda mwingi kwenye kupongezana kuliko kufanya kazi husika: (karani) "pongezi kwa kupiga photocopy" (cleaner) " pongezi kwa kufagia" (bank teller) "pongezi kwa kudeposit na kutoa hela" nk nk. Ni chawa nation hiyo.
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3060994
Hii ni makala yangu ya pongezi kwa Wakili Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS, na kumpa ushauri wa bure, aibadili TLS kutoka kule juu ilipo, aishushe chini ground zero Ihudumie wananchi wa kawaida wanaohitaji huduma za kisheria, badala ya kuhudumia wanachama wake tuu.

Kwa vile yeye ni Mwanaharakati, namuomba sana, chonde chonde asituletee uana harakati wake kwenye TLS yetu , TLS sio chama cha siasa, sio chama cha ki harakati, TLS ni a Professional Body.

Hapa naomba kumtumia rais wangu wa TLS, rais wa r ndogo, Salaam rais wangu Mwanaharati Wakili Boniphase Mwabukusi, kutoka kwa Rais wa R kubwa, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu TLS ya chama cha wanasheria na TLS ya chama cha kiharati
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fkur0u0qguoovPMo
Ila pia naishauri Serikali yetu tukufu na mihimili yake ya Bunge na Mahakama, sasa ikae mguu sawa, usiempenda kaja!, lazima ijifunze kusikiliza na kuwa sikivu kwa hoja za kiprofesheni za kisheria za TLS, kwasabu kwa hapa tulipo, tumeshuhudia, Serikali, Bunge na Mahakama Kiburi na Jeuri, yenye Madharau kuidharau TLS na hoja za TLS baada ya kufanikiwa kuwachomeka machawa wake kwenye uongozi wa juu wa TLS, hivyo kuiweka TLS mfukoni!.

Lakini safari hii, sisi wanasheria mawakili tunaotaka mabadiliko, tumewagomea kutupandikizia viongozi vibaraka, na kuamua kumchagua mtu independent, jasiri na mwanaharakati Mwabukusi, hivyo vyombo hivi vikiendeleza ile tabia yake mbaya ya kiburi na jeuri, this time around, watakula jeuri yao!, Mwabukusi sio mtu wa mchezo mchezo, wakileta zile za kuleta, hachelewi kuwapelekea moto na kuwawasha!.

Wiki hii, kumefanyika uchaguzi wa chama cha mawawili Tanzania, TLS, mmoja wa wagombea, alikuwa ni mtu “asietakiwa” (naomba nisiseme asietakiwa na nani), lakini zilifanyika juhudi mbalimbali kumkwamisha asigombee, Mahakama ndio ikaokoa jahazi kwa kumtendea haki, huyu si mwingine ni Wakili Msomi, Boniface Mwabukuzi, ambaye amechaguliwa kwa kishindo, hivyo sasa “usiemtaka kaja”, itakuwaje?.

Hivyo mimi mwandishi wako wa makala hizi, nikiwa pia ni mwanasheria, wakili na mwanachama wa TLS, pia nimeufurahia ushindi huu, nikiamini ni Mungu ndio amewezesha, kuna jambo la kisheria Mungu anataka kulifanya kwa watanzania, baada ya serikali yetu tukufu, kushindwa kulifanya tangu tulirejesha mfumo wa vyama vingi.

Ushindi wa Mwabukusi umepokelewa na vifijo na nderemo ukumbi mzima, hivyo unatuma ujumbe mzito kwa waliokuwa hawamtaki Mwabukusi kuwa sasa ndio yeye, ndiye kaja.

Mimi kama mwanachama wa TLS, sio mara moja au mbili, nimeeleza kupitia maandiko yangu mbalimbali jinsi TLS inavyonyamazia madudu ya kisheria yanayofanywa na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama zetu.

Kwa vile mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa TLS alipangwa awe Rais Samia, mimi niliwaandikia Waraka TLS, wamwambie nini Rais Samia Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi
Hii ni sehemu ya waraka huo.


Hii maana yake ni Chama cha Mawakili Tanzania, TLS, kinaadhimisha miaka 70!, hiki ni moja ya vyama vikonge kabisa vilivyoanzishwa hata kabla ya Tanganyika kupata uhuru.

Kwenye Majukumu ya TLS, mimi naomba kujikita kwenye jukumu moja tuu, "to support the State Organs in legislation and administration of justice and the rule of law" kuisaidia serikali kwenye utungaji wa sheria na utawala wa sheria.

Kabla sheria yoyote haijatungwa, TLS kama wadau wa sheria, inapitishwa kwao, TLS wanatupa wanachama wao wote, fursa ya kutoa maoni, kisha TLS, wanapeleka maoni yake ya kisheria, ndipo sheria inatungwa.

Ushauri wangu wa kwanza kwa Wakili Mwabukusi, kwa vile hakuna ubishi kumhusu yeye kuwa ni mwanaharakati, ombi la kwanza, asiigeuze TLS kuwa TLS ya kiharakati, TLS ni profesheno body, lazima ifanye mambo yake ki profeshenali na sio kiharakati.

Kitu cha pili, aibadili TLS kutoka kuwa chama cha mawakili wasomi, kugeuka ni taasisi ya kuwahudumia wananchi, hivyo aishushe TLS took huko juu ilipo, aiteremshe chini kwa wananchi ikiwemo matumizi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili kwenye tovuti yake, kw asana ni kimombo tuu!.

Tangu nimejiunga TLS kuwa mwanachama wao, nomekuwa nahudhuria vikao vya kukusanya maoni ya TLS kuhusu ule mkataba wa IGA ya DPW na Bandari zetu, nikaipongeza TLS kwa maoni yake mazuri ya kisheria kwa mkata ule, , lakini pia nikauliza swali Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? . TLS ya Mwabukusi, hili sio la kulinyamazia.

Yakaja mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, kama kawaida TLS ikatoa fursa kwa sisi wanachama wake kutoa maoni yetu, siku ya siku serikali ikaitisha kikao kupokea maoni, TLS wakatoa maoni yake, serikali ikayapuuza na TLS wakanyamaza!. TLS ya Mwabukusi, tukitoa maoni ya kisheria kwa serikali yetu, isipotusikilize, tusinyamaze, tuibananishe kisheria.

Ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria, na Kilio cha Haki
Kwa muda mrefu, nimekuwa nikipigia kelele ubatili wa katiba yetu, na ubatili wa sheria zetu uliopoka haki. kuu ya mzingi, haki ya kuchagua na kuchaguliwa iliyotolowe na ibara ya 5 ya katiba, inayompa kila Mtanzania haki na uhuru wa kuchagua viongozi anaowapenda kwa kuwapigia kura, na ibara ya 21 inayompa kila Mtanzania haki na uhuru wa kushiri kwenye kwenye serikali, toka serikali ya mtaa hadi serikali kuu kwa haki ya kugombea uongozi, lakini haki hizo kuu mbili, zikaja kupokwa na ibara ya 39 na 63, zilizochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu, ambazo zinakwenda kinyume cha katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Kwa mujibu wa katiba yetu hii yenye ubatili, ile haki ya kuchagua yaani haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi yoyote unayempenda imepokwa na kukasimiwa kwa vyama vya siasa, kuwa Mtanzania hayuko huru tena kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyepitishwa na chama cha siasa. Na kwenye kugombea uongozi, Mtanzania hana haki ya kugombea kwa mujibu wa ibara ya 21, ili Mtanzania kugombea uongozi, analazimishwa, lazima ajiunge na chama cha siasa, hicho chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!

Marais Sio Wanasheria, Wanaijua Katiba
Japo Marais Wetu Sio Wanasheria, Lakini Katiba Wanaijua, Kati ya Marais wote watano wa Tanzania, ni Rais Mwalimu Nyerere Pekee, Ndiye Aliitambua Haki hii imepokwa, Wanasheria Tumweleze Rais Samia, Airejeshe na kutuondolea ubatili huu ndani ya Katiba yetu.

Hili la ubatili wa katiba ni jambo kubwa na very serious, kabisa ambalo TLS ilibidi, wa deal nalo toka pale mahakama kuu iliutamka ubatili huo wa katiba na sheria hiyo ya TLS yetu ilinyamaza, TLS ya Mwabukusi, hili sio la kulinyamazia.

Naiomba sana TLS ya Mwabukusi iwe makini sana kwa kujipusha na uanaharakati, rudia tena kuusikiliza huu msimamo wa Rais Samia, kwa wanasheria wanaharakati wakileta za kuleta, na yeye atatumia sheria hizo hizo kuwabananisha.
Rudia kumsikiliza
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fkur0u0qguoovPMo

Tunaomba TLS ya Mwabukusi isiturudishe huko. Tunaomba tujikite kwenye profeshenolizimu Hivyo ujio wa rais Mwabukusi hii miaka 70 ya TLS ni fursa, kwa TLS kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kuwawezesha Watanzania wapate haki zao zilizoporwa kipindi kirefu.
Kwa heri Wakili Harold Sungusia, Karibu Wakili Mwabukusi

Mungu Mbariki Mwabukusi,

Mungu Ibariki TLS

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

Duu swali kifikirishi neno rubber stamp hutumikaje kisheria mfano utakaposema, that organization is just a rubber stamp, this question is related to silent society when deprived the right to know about the where about of their leader's health, what will happen if TLS decides to also keep quite
 
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Nipashe la leo
View attachment 3060994
Hii ni makala yangu ya pongezi kwa Wakili Mwabukusi kuchaguliwa kuwa rais wa TLS, na kumpa ushauri wa bure, aibadili TLS kutoka kule juu ilipo, aishushe chini ground zero Ihudumie wananchi wa kawaida wanaohitaji huduma za kisheria, badala ya kuhudumia wanachama wake tuu.

Kwa vile yeye ni Mwanaharakati, namuomba sana, chonde chonde asituletee uana harakati wake kwenye TLS yetu , TLS sio chama cha siasa, sio chama cha ki harakati, TLS ni a Professional Body.

Hapa naomba kumtumia rais wangu wa TLS, rais wa r ndogo, Salaam rais wangu Mwanaharati Wakili Boniphase Mwabukusi, kutoka kwa Rais wa R kubwa, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu TLS ya chama cha wanasheria na TLS ya chama cha kiharati
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fkur0u0qguoovPMo
Ila pia naishauri Serikali yetu tukufu na mihimili yake ya Bunge na Mahakama, sasa ikae mguu sawa, usiempenda kaja!, lazima ijifunze kusikiliza na kuwa sikivu kwa hoja za kiprofesheni za kisheria za TLS, kwasabu kwa hapa tulipo, tumeshuhudia, Serikali, Bunge na Mahakama Kiburi na Jeuri, yenye Madharau kuidharau TLS na hoja za TLS baada ya kufanikiwa kuwachomeka machawa wake kwenye uongozi wa juu wa TLS, hivyo kuiweka TLS mfukoni!.

Lakini safari hii, sisi wanasheria mawakili tunaotaka mabadiliko, tumewagomea kutupandikizia viongozi vibaraka, na kuamua kumchagua mtu independent, jasiri na mwanaharakati Mwabukusi, hivyo vyombo hivi vikiendeleza ile tabia yake mbaya ya kiburi na jeuri, this time around, watakula jeuri yao!, Mwabukusi sio mtu wa mchezo mchezo, wakileta zile za kuleta, hachelewi kuwapelekea moto na kuwawasha!.

Wiki hii, kumefanyika uchaguzi wa chama cha mawawili Tanzania, TLS, mmoja wa wagombea, alikuwa ni mtu “asietakiwa” (naomba nisiseme asietakiwa na nani), lakini zilifanyika juhudi mbalimbali kumkwamisha asigombee, Mahakama ndio ikaokoa jahazi kwa kumtendea haki, huyu si mwingine ni Wakili Msomi, Boniface Mwabukuzi, ambaye amechaguliwa kwa kishindo, hivyo sasa “usiemtaka kaja”, itakuwaje?.

Hivyo mimi mwandishi wako wa makala hizi, nikiwa pia ni mwanasheria, wakili na mwanachama wa TLS, pia nimeufurahia ushindi huu, nikiamini ni Mungu ndio amewezesha, kuna jambo la kisheria Mungu anataka kulifanya kwa watanzania, baada ya serikali yetu tukufu, kushindwa kulifanya tangu tulirejesha mfumo wa vyama vingi.

Ushindi wa Mwabukusi umepokelewa na vifijo na nderemo ukumbi mzima, hivyo unatuma ujumbe mzito kwa waliokuwa hawamtaki Mwabukusi kuwa sasa ndio yeye, ndiye kaja.

Mimi kama mwanachama wa TLS, sio mara moja au mbili, nimeeleza kupitia maandiko yangu mbalimbali jinsi TLS inavyonyamazia madudu ya kisheria yanayofanywa na serikali yetu, Bunge letu na Mahakama zetu.

Kwa vile mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa TLS alipangwa awe Rais Samia, mimi niliwaandikia Waraka TLS, wamwambie nini Rais Samia Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi
Hii ni sehemu ya waraka huo.


Hii maana yake ni Chama cha Mawakili Tanzania, TLS, kinaadhimisha miaka 70!, hiki ni moja ya vyama vikonge kabisa vilivyoanzishwa hata kabla ya Tanganyika kupata uhuru.

Kwenye Majukumu ya TLS, mimi naomba kujikita kwenye jukumu moja tuu, "to support the State Organs in legislation and administration of justice and the rule of law" kuisaidia serikali kwenye utungaji wa sheria na utawala wa sheria.

Kabla sheria yoyote haijatungwa, TLS kama wadau wa sheria, inapitishwa kwao, TLS wanatupa wanachama wao wote, fursa ya kutoa maoni, kisha TLS, wanapeleka maoni yake ya kisheria, ndipo sheria inatungwa.

Ushauri wangu wa kwanza kwa Wakili Mwabukusi, kwa vile hakuna ubishi kumhusu yeye kuwa ni mwanaharakati, ombi la kwanza, asiigeuze TLS kuwa TLS ya kiharakati, TLS ni profesheno body, lazima ifanye mambo yake ki profeshenali na sio kiharakati.

Kitu cha pili, aibadili TLS kutoka kuwa chama cha mawakili wasomi, kugeuka ni taasisi ya kuwahudumia wananchi, hivyo aishushe TLS took huko juu ilipo, aiteremshe chini kwa wananchi ikiwemo matumizi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili kwenye tovuti yake, kw asana ni kimombo tuu!.

Tangu nimejiunga TLS kuwa mwanachama wao, nomekuwa nahudhuria vikao vya kukusanya maoni ya TLS kuhusu ule mkataba wa IGA ya DPW na Bandari zetu, nikaipongeza TLS kwa maoni yake mazuri ya kisheria kwa mkata ule, , lakini pia nikauliza swali Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya? . TLS ya Mwabukusi, hili sio la kulinyamazia.

Yakaja mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, kama kawaida TLS ikatoa fursa kwa sisi wanachama wake kutoa maoni yetu, siku ya siku serikali ikaitisha kikao kupokea maoni, TLS wakatoa maoni yake, serikali ikayapuuza na TLS wakanyamaza!. TLS ya Mwabukusi, tukitoa maoni ya kisheria kwa serikali yetu, isipotusikilize, tusinyamaze, tuibananishe kisheria.

Ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria, na Kilio cha Haki
Kwa muda mrefu, nimekuwa nikipigia kelele ubatili wa katiba yetu, na ubatili wa sheria zetu uliopoka haki. kuu ya mzingi, haki ya kuchagua na kuchaguliwa iliyotolowe na ibara ya 5 ya katiba, inayompa kila Mtanzania haki na uhuru wa kuchagua viongozi anaowapenda kwa kuwapigia kura, na ibara ya 21 inayompa kila Mtanzania haki na uhuru wa kushiri kwenye kwenye serikali, toka serikali ya mtaa hadi serikali kuu kwa haki ya kugombea uongozi, lakini haki hizo kuu mbili, zikaja kupokwa na ibara ya 39 na 63, zilizochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu, ambazo zinakwenda kinyume cha katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Kwa mujibu wa katiba yetu hii yenye ubatili, ile haki ya kuchagua yaani haki ya kupiga kura kumchagua kiongozi yoyote unayempenda imepokwa na kukasimiwa kwa vyama vya siasa, kuwa Mtanzania hayuko huru tena kumchagua kiongozi anayemtaka, analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyepitishwa na chama cha siasa. Na kwenye kugombea uongozi, Mtanzania hana haki ya kugombea kwa mujibu wa ibara ya 21, ili Mtanzania kugombea uongozi, analazimishwa, lazima ajiunge na chama cha siasa, hicho chama kimdhamini ndipo aruhusiwe kugombea!

Marais Sio Wanasheria, Wanaijua Katiba
Japo Marais Wetu Sio Wanasheria, Lakini Katiba Wanaijua, Kati ya Marais wote watano wa Tanzania, ni Rais Mwalimu Nyerere Pekee, Ndiye Aliitambua Haki hii imepokwa, Wanasheria Tumweleze Rais Samia, Airejeshe na kutuondolea ubatili huu ndani ya Katiba yetu.

Hili la ubatili wa katiba ni jambo kubwa na very serious, kabisa ambalo TLS ilibidi, wa deal nalo toka pale mahakama kuu iliutamka ubatili huo wa katiba na sheria hiyo ya TLS yetu ilinyamaza, TLS ya Mwabukusi, hili sio la kulinyamazia.

Naiomba sana TLS ya Mwabukusi iwe makini sana kwa kujipusha na uanaharakati, rudia tena kuusikiliza huu msimamo wa Rais Samia, kwa wanasheria wanaharakati wakileta za kuleta, na yeye atatumia sheria hizo hizo kuwabananisha.
Rudia kumsikiliza
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=Fkur0u0qguoovPMo

Tunaomba TLS ya Mwabukusi isiturudishe huko. Tunaomba tujikite kwenye profeshenolizimu Hivyo ujio wa rais Mwabukusi hii miaka 70 ya TLS ni fursa, kwa TLS kutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kuwawezesha Watanzania wapate haki zao zilizoporwa kipindi kirefu.
Kwa heri Wakili Harold Sungusia, Karibu Wakili Mwabukusi

Mungu Mbariki Mwabukusi,

Mungu Ibariki TLS

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.

P hofu yako nini au mshikamano wako na wala kwa kamba watafuna na wafujaji wa kodi zetu ni wa viwango vya juu kiwango ganiii?
 
Harold Sungusia nimemsikiliza mara chache akihojiwa lakini siku zote ana substance kichwani mwake.

Ni kichekesho mrithi wake kuwa Mwabukusi mwenye elimu za kuungauunga na asiye na utulivu wa kuongea mbele ya camera.

Hii ni aibu ya wanasheria wote waliopiga kura.
Ni kichekesho mrithi wake kuwa Mwabukusi mwenye elimu za kuungauunga
Basi ni kichekesho pia kama taifa kuwa na viongozi wakuu wenye elimu za kuunga unga!!!
Unalijua hilo la viongozi wakubwa wa serikali yako wenye elimu za kuungaunga!??
 
Maisha ya nje ya ujuzi ni tofauti na ya ndani ya ujuzi, ni vigumu sana wewe kumkubali mwenye vinasaba vya Chadema hata angekuwa dakitari wa wanyama.
Mbona uwekaji picha ya mtu kwenye bendera ya Tanzania hatujadili pamoja na kuwa la kisheria na katiba tunamjadili mtu Mwabukusi!
Mkuu Hismastersvoice , tuko humu pamoja na wewe for more than ten years now, kama unaamini siwakumbali wenye vinasaba na Chadema, then you are very wrong!, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, mimi sio ile type ya makada matutusa, kuna makada wanaoitwa ma lumpen, kuna ma prolétariat na kuna ma bourgeoisie, mimi niko kwenye kundi la ma proletariat, tunapenda CCM ipate credible opposition, kwa Tanzania, chama chenye kuonyesha hata dalili tuu, ni Chadema, hivyo kuna wana CCM wengi tuu wa type yangu, tunaikubali sana Chadema, na kuna Chadema nawajua, wanaikubali sana CCM.
Mtu anayeichukia Chadema, hawezi kupandisha, posts kama hizi
p.
 
Mkuu Hismastersvoice , tuko humu pamoja na wewe for more than ten years now, kama unaamini siwakumbali wenye vinasaba na Chadema, then you are very wrong!, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, mimi sio ile type ya makada matutusa, kuna makada wanaoitwa ma lumpen, kuna ma prolétariat na kuna ma bourgeoisie, mimi niko kwenye kundi la ma proletariat, tunapenda CCM ipate credible opposition, kwa Tanzania, chama chenye kuonyesha hata dalili tuu, ni Chadema, hivyo kuna wana CCM wengi tuu wa type yangu, tunaikubali sana Chadema, na kuna Chadema nawajua, wanaikubali sana CCM.
Mtu anayeichukia Chadema, hawezi kupandisha, posts kama hizi
p.
Komenti zako dhidi ya wanachadema zinajieleza, kuuma na kupulizia ni jambo la kawaida. Mimi nilifikia kusema hayo muda mrefu sana na hata wewe mabandiko yako mengi yanaishutumu Chadema, anyway tukubaliane kutokubaliana.
 
Hakuna tatizo lolote kwa mtu kuwa mwanaharakati kwasababu harakati hazina tatizo kwa taasisi za ki harakati, TLS sio taasisi ya kiharakati, its a professional body. Professional bodies zinaendesha mambo yake professionally na harakati ndio zinaendeshwa ki harakati.
Mwana harakati kama Mwabukusu anapochaguliwa kuendesha a professiona body, there is a very thin line kati ya professionalism and activism!.
P
Wanasheria wenzako waliliona hilo na kufahamu kuwa yeye ni mwanahatakati na bado wakamchagua so sioni haja ya kumfundisha rais wako ni jinso gani ya kiemdesha taasisi yenu. Angalia body ya wanasheria Kenya ilivyo moto wa kutoea mbali na ikiongozwa na mwanaharakati mwanamke, je hutaki body yenu ichangamke kama ya Kenya? Au nawe ulikuwa machinery ya kuhakikisha Mwabakusi hashindi?
 
Komenti zako dhidi ya wanachadema zinajieleza, kuuma na kupulizia ni jambo la kawaida. Mimi nilifikia kusema hayo muda mrefu sana na hata wewe mabandiko yako mengi yanaishutumu Chadema, anyway tukubaliane kutokubaliana.
Everyone has the right to his opinions, I know myself and what I stand for, I don't have to justify to anybody, ila nimesema humu, kati ya wasifiaji na wakosoaji, nani wanamsaidia zaidi Chadema, usikute sisi wakosoaji ndio tunaisaidia zaidi chadema kuliko hao machawa na manyumbu,ila pia naheshimu mawazo yako
p
 
Mkuu Iki, IKINGO , unapaswa kuuliza maswali ili upatiwe majibu, hiki ulichouliza, sio swali, ni umeuliza jibu!, kuna mtu asiejua kuwa Mwabukusi ni Mwanaharakati?.
P
Mara nyingi msema kweli naye huwa anaitwa Mwanaharakati na mtu mpenda haki pia huitwa mwanaharakati.Na kama ni hivyo basi TLS ni body ambayo iko kiharakati zaidi kwa sababu iko katika mazingila ya kutaka kuona utawala wa sheria ukifuatwa na kuheshimiwa lkn pia kuona haki ikitendeka.
 
Everyone has the right to his opinions, I know myself and what I stand for, I don't have to justify to anybody, ila nimesema humu, kati ya wasifiaji na wakosoaji, nani wanamsaidia zaidi Chadema, usikute sisi wakosoaji ndio tunaisaidia zaidi chadema kuliko hao machawa na manyumbu,ila pia naheshimu mawazo yako
p
Kwa kulijua hilo nimemalizia kwa "anyway tukubaliane kutokubaliana".
 
Back
Top Bottom