Hakuna umeme toka asubuhi, tatizo ni nini?

Hakuna umeme toka asubuhi, tatizo ni nini?

Lazima kutakuwa na shida, kwa maana kwa siku za hivi karibu haijawahi kutokea. Lakini suala la utoaji wa taarifa kwa wakati kutoka katika uongozi wa TANESCO, hicho sasa ni kipengele kingine!
Ni mwezi sasa Mbagala unakatwa mara tatu kwa wiki, huenda fundi Maiko anahusika.
 
Back
Top Bottom