OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mkuu usihairishe suala la kuoa kwako kwa sababu ya maneno ya kuambiwa. Shauri yako, maamuzi ni ya kwako mzee..Kuna binti nilitarajia kwenda kumtolea mahari mwezi wa 10 lakini baada ya kusoma huu uzi, acha nijitafakari upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio maamuzi ya kipuuzi zaid kama yataamuliwa na wengi kama nyie.Hapa wanawake ndio waathirika wakubwa wakuonewa huruma thamani yao imeisha. Cha msingi sisi wanaume tuwazalishe tuwachukue watoto wetu tuwape bekitatu watulelee na huyohuyo bek3 mara moja moja ukijisikia unakula
Hili jambo wazungu walishaliona mapema ndo maaana wakawa na ndoa za mikataba. Baada ya kuoana, kutifuana na kuchokana, kama mliweka mkataba wa miaka miwili ikiisha unachukua mtoto/mrembo mwengine laini kabisa
Na huku bongo kwa namna hali ilivyo ni heri tukawa na ndoa za mkataba.
Hakuna kitu Kama hicho .huu ni ukweli mtupu na pia Kama hayakusibu unaweza kuona mleta mada anaharibu ustawi wa jamiiHuu Uzi sio mzuri, kwasababu ni adui wa ustawi wa Familia.
Tia mimba chukua wanao Lea ukisikia hamu unatafuta mtoto mzuri unachimbaHaya ndio maamuzi ya kipuuzi zaid kama yataamuliwa na wengi kama nyie.
Sio kweli!Kuporomoka kwa maadili kwa kasi na wanawake kupenda kuwa sawa na wanaume kumewafanya wanaume wengi kuogopa ndao.Hakuna mwanaume anaye penda kuwa sawa na mwanamke au kutawaliwa na mwanamke in any way.Mbona leo andiko lako fupiiii sanaaaa jamani!? Anyways, umuhimu wa ndoa kamwe haujawahi kupungua, hauwezi kupungua na hautakuja upungue. Tunza uzi wako huu, sawa? 🙂 Takwimu!? Takwimu zinaonesha kwamba kwa sasa asilimia 70 hadi 83 (70-83%) ya vijana na watu wazima wenye umri wa kuoa na kuolewa hadi umri wa kati na utu uzima wanathamini sana ndoa kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa kweli huyu mleta uzi anaharibu ustawi wa jamii.Hakuna kitu Kama hicho .huu ni ukweli mtupu na pia Kama hayakusibu unaweza kuona mleta mada anaharibu ustawi wa jamii
Kuna binti nilitarajia kwenda kumtolea mahari mwezi wa 10 lakini baada ya kusoma huu uzi, acha nijitafakari upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kama mwenendo wake sio mzuri saaana. Ulichokiandika hapo kimeniongezea hofu sana juu yake.Kwa nini Mkuu
Of course kadri siku zinavyo songa sioni umuhimu wa kuoa sababu napata kila kitu wanacho pata wenye ndoa ,in addition napata varieties of papuchi
Na wengi hawajui madhara ya zinaa..moja ya madhara ni Ufukara,magonjwa.Malipo hapa hapa kwa wanao,Na bado siku ya hesabu utapata malipp yako maovuNdio maana katika misingi ambayo dini inafundisha kwanza ni Hofu ya Mungu.
Ukiwa na hofu ya Mungu utazini kwa kujifucha ama hautazink kabisa.
Kama hauna hofu ya Mungu utazini kwa kujitapa na kutangaza zinaa na kuivutia ili wangine wafanye,hii ia ni mbaya inaharibu jamii.
Dini bila hofu haisimami sawasawa.
Naona kama mwenendo wake sio mzuri saaana. Ulichokiandika hapo kimeniongezea hofu sana juu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaendeleza kizazi ambacho hakina maadiliTia mimba chukua wanao Lea ukisikia hamu unatafuta mtoto mzuri unachimba
Mm nadhan utubu hapo ulipo coz mauti yanakuja ghaflaNitatubu